Iran anachokifanya kwa nchi za Iraq na Pakistan, ni unafiki kusema kuna umoja wa nchi za Kiislamu

Iran anachokifanya kwa nchi za Iraq na Pakistan, ni unafiki kusema kuna umoja wa nchi za Kiislamu

aliharibu Nyerere au mvaa kobaz aliyerithi kiti ?
wewe ni mtoto , yaani hata huelewi sembe la yanga huelei kadi ya chakula huelewi chumvi kubadilisha na dhahabu , huelei kuvaa viatu matairi ya gari , huelewi kukaa foleni ya hata sigara, huelewi sigara kuuzwa kwa mkupuo , ni mengi ambayo laanatullahi Nyerere alituletea na mpaka leo mzimu wake bado unaitesa nchi kwa watu mnaomuabudu kama wewe
 
Ujinga tupu kama nchi yako ikajiunga na kuwa miongoni mwa nchi za Kiislam!

Aliyeikataa OIC nchini petu Tanzania, apewe mauwa yake.

Kinachofanyika na kufanywa na nchi ya Kiislamu IRAN kwa nchi za kiisilamu nyenzake, ni uhuni na ulimbukeni kuendelea kuamini kwamba hili nalo ni taifa linalounga mkono umoja huo wa Kiislamu na kwamba ukijiunga kwenye umoja huo unaweza kupata msaada wowote panapotokea mgogoro wa kivita na nchi nyingine.

Badala ya kuwa na umoja ili kuwalinda na kuwatetea Wapalestine, wao kwa wao tena wanainukiana kufyatuliana makombora! [emoji23] utadhani siyo waislamu kwa waislamu.

Aliyetaka kutuaminisha kuwa OIC ni suluhisho la ulinzi na kupewa nguvu zote za kiulinzi kutoka nchi washirika wa Kiislamu, alaaniwe mara elfu moja.

Palestine leo inaangamizwa huku nchi hizo za Kiislamu zikichekelea na kutwangana zenyewe kwa zenyewe.

Umoja wa Kiislamu unafaida zipi sasa?
Iran piga hayo magaidi yaliyojificha Nchi jirani
 
Ujinga tupu kama nchi yako ikajiunga na kuwa miongoni mwa nchi za Kiislam!

Aliyeikataa OIC nchini petu Tanzania, apewe mauwa yake.

Kinachofanyika na kufanywa na nchi ya Kiislamu IRAN kwa nchi za kiisilamu nyenzake, ni uhuni na ulimbukeni kuendelea kuamini kwamba hili nalo ni taifa linalounga mkono umoja huo wa Kiislamu na kwamba ukijiunga kwenye umoja huo unaweza kupata msaada wowote panapotokea mgogoro wa kivita na nchi nyingine.

Badala ya kuwa na umoja ili kuwalinda na kuwatetea Wapalestine, wao kwa wao tena wanainukiana kufyatuliana makombora! 😂 utadhani siyo waislamu kwa waislamu.

Aliyetaka kutuaminisha kuwa OIC ni suluhisho la ulinzi na kupewa nguvu zote za kiulinzi kutoka nchi washirika wa Kiislamu, alaaniwe mara elfu moja.

Palestine leo inaangamizwa huku nchi hizo za Kiislamu zikichekelea na kutwangana zenyewe kwa zenyewe.

Umoja wa Kiislamu unafaida zipi sasa?
Mnachokoseaga ni hapo hapo kwenye kuutaja taja uislam. Ubinadam na ustaaraabu wa kibinadam ni zaidi ya uislam.
 
wewe ni mtoto , yaani hata huelewi sembe la yanga huelei kadi ya chakula huelewi chumvi kubadilisha na dhahabu , huelei kuvaa viatu matairi ya gari , huelewi kukaa foleni ya hata sigara, huelewi sigara kuuzwa kwa mkupuo , ni mengi ambayo laanatullahi Nyerere alituletea na mpaka leo mzimu wake bado unaitesa nchi kwa watu mnaomuabudu kama wewe
Hii umesimliwa tu mkuu
 
Ujinga tupu kama nchi yako ikajiunga na kuwa miongoni mwa nchi za Kiislam!

Aliyeikataa OIC nchini petu Tanzania, apewe mauwa yake.

Kinachofanyika na kufanywa na nchi ya Kiislamu IRAN kwa nchi za kiisilamu nyenzake, ni uhuni na ulimbukeni kuendelea kuamini kwamba hili nalo ni taifa linalounga mkono umoja huo wa Kiislamu na kwamba ukijiunga kwenye umoja huo unaweza kupata msaada wowote panapotokea mgogoro wa kivita na nchi nyingine.

Badala ya kuwa na umoja ili kuwalinda na kuwatetea Wapalestine, wao kwa wao tena wanainukiana kufyatuliana makombora! [emoji23] utadhani siyo waislamu kwa waislamu.

Aliyetaka kutuaminisha kuwa OIC ni suluhisho la ulinzi na kupewa nguvu zote za kiulinzi kutoka nchi washirika wa Kiislamu, alaaniwe mara elfu moja.

Palestine leo inaangamizwa huku nchi hizo za Kiislamu zikichekelea na kutwangana zenyewe kwa zenyewe.

Umoja wa Kiislamu unafaida zipi sasa?
Mzozo baina ya Iran, Iraq, na Pakistan ukiutazama kwa jicho la kidini kamwe hutaweza kuuelewa.
 
Back
Top Bottom