Iran, Hezbollah na wenzao mfano mzuri wa upendo wa Yesu Kristo aliyetufia msalabani

Iran, Hezbollah na wenzao mfano mzuri wa upendo wa Yesu Kristo aliyetufia msalabani

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Hizbollah wameamua kufa na kuwapigania Wapalestina, Iran wameamua kuumia, kuteseka na kufa kuwapigania Palestina.

Dunia upande mwingine imewaacha wapalestina na kuamua kusimama na mwenye nguvu Israeli.

Kwani hawa Hizbollah na Iran siwangeamua tu kuendelea zao na maisha na kuachana na mambo ya Palestina? wameamua kutokubali uonevu baadala yake wanahitaji kuona haki ya waPalestina ambayo Dunia haitaki kuona inatokea.

Wapalestina wanahitaji Taifa lao nao waendelee na maisha yao na si kuishi chini ya slave masters-Israel, Dunia inahitaji kuwa na suluhu dhidi ya maisha ya wapalestina.

Nimeguswa kuandika uzi huu kutokana na bandiko ninaloliweka hapo juu.

Injili imesheni upendo mkuu usiokuwa na kifani aliokuwa na Yesu Kristo na Mungu baba kutupenda mno sisi hata akamtoa mwanawe wa pekee kuja kutufia ili tusipotee.

Yohana 3:16 - 17:

"Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda sana ulimwengu hata akamtoa mwanawe wa pekee ili tusipotee."

Tunafundishwa makanisani, na swali hili limezoeleka kuufikisha ujumbe huo, vilivyo:

"Nani anaweza kukubali kufa badala ya rafiki yake?"

Ama kwa hakika Yesu hakuwa na cha kupata kama yeye kwa kuja kutufia. Alikuwa na vyote kwa baba yake. Lakini kwa kutupenda kwake tu, akakubali kuja kutufia ili tukapate kuokoka.

Huu ndiyo unaoitwa upendo wa agape.

Hebu tujikumbushe upendo walio nao Hezbollah, Iran, Houthi au wale wengine wa kule Iraq kwa ndugu zao wa Palestina walioko kwenye jitihada zao kuupata uhuru wao:

"Kipi ambacho walikosa Hezbollah, Houthi au Iran kwenda kujiingiza kwenye sokomoko hili linaowagharimu vifo na hata vitisho vya kuteketezwa wote?"

Hivi kwa matendo ya hawa ndugu kwa wapalestina, inahitajika nguvu kuuelezea upendo wa Yesu kwetu au hata tunaofunzwa makanisani, kuwa nao kuwaelekea wengine?
 
japo umeongea kwa mzaha ila ngoja tuliweke sawa. Ubora wa Yesu kujitoa haupo katika kitendo tu cha kufa kwa ajili ya watu lakini ni uthamani wake, yeye hakuwa na hata tone la dhambi tofauti na mimi au wewe.

2. Yesu hakumdhuru mwingine ili ampatie haki mwingine.
 
Yesu hakuwa mjinga kama Hezbollah na Iran.

Sababu ya Yesu kufa ni sababu ya Kisiasa.

Wakati wa Yesu ulikuwa unaitwa Messianic period kwa Wayahudi wa Judea.

Wayahudi waliamini wakati huo watapata Masia ambaye atakuwa Kiongozi wa Kisiasa na Kijeshi atakaye wasaidia kupigana na kuwatoa Warumi katika nchi yao.

Ndipo akatokea Rabi(Mwalimu wa Dini ya Kiyahudi) anaitwa Yesu wa Nazareth alikuwa na Influence ya Watu wengi sana, Wayahudi wakawa wanataka atumie ushawishi wake kupigana kuchochea na kukusanya Watu hili wafanye uasi dhidi ya Warumi, Moja ya Majaribu kwa Yesu ni lile swali "Je ni halali kulipa Kodi kwa Kaisari?"
Yesu aliamini ni ujinga kupigana na mtu aliyekuzidi kila kitu kwa wakati huo na akawa hakubaliani na Idea ya vita, hapo Ndio wakamset akasurubiwa
 
japo umeongea kwa mzaha ila ngoja tuliweke sawa. Ubora wa Yesu kujitoa haupo katika kitendo tu cha kufa kwa ajili ya watu lakini ni uthamani wake, yeye hakuwa na hata tone la dhambi tofauti na mimi au wewe.

2. Yesu hakumdhuru mwingine ili ampatie haki mwingine.

1. Mzaha huo unaouongelea unausoma wapi kwenye andiko hilo nililoliandika kwa dhati yangu?

2. Wapi nimemlinganisha Yesu na yeyote?

3. Kulikoni kujielekeza nje ya mada?
 
Yesu hakuwa mjinga kama Hezbollah na Iran.

Sababu ya Yesu kufa ni sababu ya Kisiasa.

Wakati wa Yesu ulikuwa unaitwa Messianic period kwa Wayahudi wa Judea.

Wayahudi waliamini wakati huo watapata Masia ambaye atakuwa Kiongozi wa Kisiasa na Kijeshi atakaye wasaidia kupigana na kuwatoa Warumi katika nchi yao.

Ndipo akatokea Rabi(Mwalimu wa Dini ya Kiyahudi) anaitwa Yesu wa Nazareth alikuwa na Influence ya Watu wengi sana, Wayahudi wakawa wanataka atumie ushawishi wake kupigana kuchochea na kukusanya Watu hili wafanye uasi dhidi ya Warumi, Moja ya Majaribu kwa Yesu ni lile swali "Je ni halali kulipa Kodi kwa Kaisari?"
Yesu aliamini ni ujinga kupigana na mtu aliyekuzidi kila kitu kwa wakati huo na akawa hakubaliani na Idea ya vita, hapo Ndio wakamset akasurubiwa

1. Ni vyema umetambua kuwa Yesu alikufa kwa ajili ya watu.

2. Ni vyema umetambua Yesu alikufa kwa sababu aliwapenda watu hao.

3. Ni vyema umetambua Yesu katika kufa kwake haikuwa kwa maslahi yoyote kwake.

4. Ni vyema umetambua hata kama asingekufa kulikuwa hakuna hasara yoyote kwake.

5. Kwamba alifanya hivyo Kwa upendo wake tu?

Kwa akili ya kibinadamu hudhani kuwa mwingine angesema alikuwa mjinga?

Nikurejeshe sasa kwenye swali nililoulizwa siku zote makanisani huko:

"Vipi wewe hapo, unaweza kumfia rafiki yako kwa kumpenda tu?"
 
1. Mzaha huo unaouongelea unausoma wapi kwenye andiko hilo nililoliandika kwa dhati yangu?

2. Wapi nimemlinganisha Yesu na yeyote?
MZAHA
1. Yesu alikuwepo kabla ya ibrahimu je hao houth walikuwepo
2. Yesu alifufuka baada ya siku tatu je hao watafufuka
3. Upendo wa agape hauhusishi kumdhuru mwingine ili mwingine asaidike zaidi umesisitiza kuwa tuwapende zaidi wanao tukosea kuliko hata marafiki zetu


ULINGANIFU WA YESU na watu wengine
"nani anaweza kukubali kufa badala ya rafiki yake?"
 
Nimeguswa kuandika Uzi huu kutokana na bandiko ninaloliweka hapo juu.

Injili imesheni upendo mkuu usiokuwa na kifani aliokuwa na Yesu Kristo na Mungu baba kutupenda mno sisi hata akamtoa mwanawe wa pekee kuja kutufia sisi ili tusipotee.

Yohana 3:16 - 17:

"Kwa maana jinsi hiibMungu aliupenda sana ulimwengu hata akamtoa mwanawe wa pekee ili tusipotee."

Tunafindishwa makanisani, na swali hili limezoeleka kufikisha ujumbe:

"nani anaweza kukubali kufa badala ya rafiki yake?"

Ama kwa hakika Yesu hakuwa na cha kupata kama yeye kwa kuja kutufia. Alikuwa na yote kwa baba yake. Lakini kwa kutupenda kwake tu, akakubali kuja kutufia ili tukapate kuokoka.

Huu ndiyo unaoitwa upendo wa agape.

Hebu tujikumbushe upendo walio nao Hezbollah, Iran, Houthi au wale wengine wa kule Iraq kwa ndugu zao wa Palestina walioko kwenye jitihada zao kuupata uhuru wao.

Kipi ambacho walikosa Hezbollah, Houthi au Iran kwenda kujiingiza kwenye sokomoko hili linaowagharimu vifo na hata vitisho vya kuteketezwa?

Hivi kwa matendo ya hawa ndugu kwa wapalestina, inahitajika nguvu kuuelezea upendo wa Yesu kwetu au hata tunaofunzwa makanisani kuwa nao, kuwaelekea wengine?
Mkuu; mbona unamwekea Yesu Kristo maneno ya kinywa chako katika kinywa chake?
Nanukuu: Unasema "Hebu tujikumbushe upendo walio nao Hezbollah, Iran, Houthi au wale wengine wa kule Iraq kwa ndugu zao wa Palestina walioko kwenye jitihada zao kuupata uhuru wao".
1. Hivi ni kweli Wapalestina wako kwenye jitihada za kuupata uhuru wao?? Uhuru wao kutoka kwa nani?
Hivi uliwahi kuisoma hii? "The State of Palestine had been officially declared by the Palestine Liberation Organization (PLO) on 15 November 1988, claiming sovereignty over the internationally recognized Palestinian territories: the West Bank, which includes East Jerusalem, and the Gaza Strip. By the end of 1988, the Palestinian state was recognized by 78 countries."
Halafu uione na hii:
 
😅😅😅😅

Punguza porojo mzee.

Ideology na mafundisho ya Yesu yapo tofauti kabisa na Iran na hayo makundi yake.

Juzi kweny hotuba ya Khamenei alianza kwa kusema "kwa msaada wa allah tutaiangamiza Israel", hii ni sentensi ambayo mcha mungu au mtu mwenye upendo anaongea?

Their goal is "Race Destruction(Jews)" rather than saving the Palestinian people.

Wangekuwa wanajali hao wapalestina, hamas wasingeweka facilities zao near social sites kama shuleni, hospitalini n.k kama hamas wangekuwa wanawajali wapalestina wasingekuwa wanahatarisha maisha ya wapalestina, adui namba moja wa wapalestina ni hamas.

Hata hao Islamic regime ya ayatollah hawajali chochote kuhusu wapalestina, wangejali maisha ya wapalestina hii vita ingekuwa ishaisha na wapalestina wangekuwa wamerudi kweny maisha yao ya kawaida, Juzi kweny speech yake 90% ya speech nzima ilijaa chuki tuu dhidi ya Israel na vitisho vya kuwaangamiza waisrael, nafsi ya mtu iliyojaa upendo haipo hivyo ndugu, Character ya mtu mwenye upendo haipo hivyo hata kidogo.

Usim-fanananishe Yesu kristo na hao wauaji, makatili na wabakaji.

Nikuulize swali, kutetea ardhi na kubaka wanawake wa kiyahudi kuna uhusiano gani?
 
Nimeguswa kuandika Uzi huu kutokana na bandiko ninaloliweka hapo juu.

Injili imesheni upendo mkuu usiokuwa na kifani aliokuwa na Yesu Kristo na Mungu baba kutupenda mno sisi hata akamtoa mwanawe wa pekee kuja kutufia sisi ili tusipotee.

Yohana 3:16 - 17:

"Kwa maana jinsi hiibMungu aliupenda sana ulimwengu hata akamtoa mwanawe wa pekee ili tusipotee."

Tunafindishwa makanisani, na swali hili limezoeleka kufikisha ujumbe:

"nani anaweza kukubali kufa badala ya rafiki yake?"

Ama kwa hakika Yesu hakuwa na cha kupata kama yeye kwa kuja kutufia. Alikuwa na yote kwa baba yake. Lakini kwa kutupenda kwake tu, akakubali kuja kutufia ili tukapate kuokoka.

Huu ndiyo unaoitwa upendo wa agape.

Hebu tujikumbushe upendo walio nao Hezbollah, Iran, Houthi au wale wengine wa kule Iraq kwa ndugu zao wa Palestina walioko kwenye jitihada zao kuupata uhuru wao.

Kipi ambacho walikosa Hezbollah, Houthi au Iran kwenda kujiingiza kwenye sokomoko hili linaowagharimu vifo na hata vitisho vya kuteketezwa?

Hivi kwa matendo ya hawa ndugu kwa wapalestina, inahitajika nguvu kuuelezea upendo wa Yesu kwetu au hata tunaofunzwa makanisani kuwa nao, kuwaelekea wengine?
Tofauti yao ni kwamba Yesu ni mwana wa Mungu na alipokufa alifufuka, na atarudi kuwahukumu
walio hai na walokufa. Waliokufa wakitenda mema wapate uzima wa milele,waliofia dhambini waende motoni
pamoja na shetani waliyemtumikia.
je unayafahamu hayo.
 
Kazua ubongo JF-Expert Member!

Sijamfananisha Yesu na mtu.

Nimefananisha upendo wa Yesu kwetu, na wao kwa wapalestina.
Wapakestina ni wafilisti wajukuu wa Goliathi hao Mpagani wewe
Na wako kwenye nchi isiyo yao
Hakuna nchi inaitwa palestina kuna Israel tu

Wapalestina ni wavamizi wa nchi ambayo Mungu ndie aliwapa na kuonyesha mipaka ya nchi yao

Hakuna taifa duniani ambalo mipaka yake ilichorwa na Mungu mwenyewe .Ni Israel pekee

Nchi nyingine zote mipaka ilichorwa na wakoloni

Una shetani la kifilisti kichwani kwako
 
😅😅😅😅

Punguza porojo mzee.

Ideology na mafundisho ya Yesu yapo tofauti kabisa na Iran na hayo makundi yake.

Juzi kweny hotuba ya Khamenei alianza kwa kusema "kwa msaada wa allah tutaiangamiza Israel", hii ni sentensi ambayo mcha mungu au mtu mwenye upendo anaongea?

Their goal is "Race Destruction(Jews)" rather than saving the Palestinian people.

Wangekuwa wanajali hao wapalestina, hamas wasingeweka facilities zao near social sites kama shuleni, hospitalini n.k kama hamas wangekuwa wanawajali wapalestina wasingekuwa wanahatarisha maisha ya wapalestina, adui namba moja wa wapalestina ni hamas.

Hata hao Islamic regime ya ayatollah hawajali chochote kuhusu wapalestina, wangejali maisha ya wapalestina hii vita ingekuwa ishaisha na wapalestina wangekuwa wamerudi kweny maisha yao ya kawaida, Juzi kweny speech yake 90% ya speech nzima ilijaa chuki tuu dhidi ya Israel na vitisho vya kuwaangamiza waisrael, nafsi ya mtu iliyojaa upendo haipo hivyo ndugu, Character ya mtu mwenye upendo haipo hivyo hata kidogo.

Usim-fanananishe Yesu kristo na hao wauaji, makatili na wabakaji.

Nikuulize swali, kutetea ardhi na kubaka wanawake wa kiyahudi kuna uhusiano gani?

Ulishawaza au hata kujaribu kutafuta sababu ya ugomvi wa Israeli na Iran?.
 
Mkuu; mbona unamwekea Yesu Kristo maneno ya kinywa chako katika kinywa chake?
Nanukuu: Unasema "Hebu tujikumbushe upendo walio nao Hezbollah, Iran, Houthi au wale wengine wa kule Iraq kwa ndugu zao wa Palestina walioko kwenye jitihada zao kuupata uhuru wao".
1. Hivi ni kweli Wapalestina wako kwenye jitihada za kuupata uhuru wao?? Uhuru wao kutoka kwa nani?
Hivi uliwahi kuisoma hii? "The State of Palestine had been officially declared by the Palestine Liberation Organization (PLO) on 15 November 1988, claiming sovereignty over the internationally recognized Palestinian territories: the West Bank, which includes East Jerusalem, and the Gaza Strip. By the end of 1988, the Palestinian state was recognized by 78 countries."
Halafu uione na hii:

1. Wapi nimemwekea Yesu neno lolote? Ikikupendeza tafadhali unionyeshe hapo.

2. Watu wenye mahaba ya kupitiliza kama wewe huwakumbusha wakazue ubongo. Kuyachunguza maandiko haikuwa kwa "waberoya" peke yao.

3. Sasa nirejee kwa wapalestina na kukutaka usiwawekee maneno yako midomoni mwao:

IMG_20241009_121602.jpg


IMG_20241009_121633.jpg


IMG_20240508_164459.jpg


4. Au niendelee kukuwekea wayasemayo wapalestina ambayo dunia inayajua na labda kumbe ni kuto kuyajua kwako tu, ndugu?
 
Lini umekuwa mkristo wewe acha unafiki

Kwani uko hapa kukusanya dini za watu?

Au kwani wapi mkristo ndiye ana gate pass ya kuandika lolote?

Jikite kwenye mada kama una hoja.
 
Endeleeni tu kusapoti magaidi, ipo siku mtaelewa tu, na mtakua mmechelewa tena

Unaye mwona gaidi anaweza kuwa anakuona gaidi.

Ndiyo maana walisema: nyani haoni kund*le.
 
😅😅😅😅

Punguza porojo mzee.

Ideology na mafundisho ya Yesu yapo tofauti kabisa na Iran na hayo makundi yake.

Juzi kweny hotuba ya Khamenei alianza kwa kusema "kwa msaada wa allah tutaiangamiza Israel", hii ni sentensi ambayo mcha mungu au mtu mwenye upendo anaongea?

Their goal is "Race Destruction(Jews)" rather than saving the Palestinian people.

Wangekuwa wanajali hao wapalestina, hamas wasingeweka facilities zao near social sites kama shuleni, hospitalini n.k kama hamas wangekuwa wanawajali wapalestina wasingekuwa wanahatarisha maisha ya wapalestina, adui namba moja wa wapalestina ni hamas.

Hata hao Islamic regime ya ayatollah hawajali chochote kuhusu wapalestina, wangejali maisha ya wapalestina hii vita ingekuwa ishaisha na wapalestina wangekuwa wamerudi kweny maisha yao ya kawaida, Juzi kweny speech yake 90% ya speech nzima ilijaa chuki tuu dhidi ya Israel na vitisho vya kuwaangamiza waisrael, nafsi ya mtu iliyojaa upendo haipo hivyo ndugu, Character ya mtu mwenye upendo haipo hivyo hata kidogo.

Usim-fanananishe Yesu kristo na hao wauaji, makatili na wabakaji.

Nikuulize swali, kutetea ardhi na kubaka wanawake wa kiyahudi kuna uhusiano gani?

😂😂😂😂

Porojo mbona naziona kwenye andiko lako hilo?

1. Wapi nimesema Iran au wengine wana mafundisho au ideology za Yesu? Labda unionyeshe kipi hukiafiki popote kwenye yote niliyoandika. Nje ya hapo si ndiyo porojo zenyewe mkuu?

2. Kumwaangamiza mtu? Hujamsikia yule anayesubiri kila siku kuwa atawaangamiza HAMAS au Hezbollah? Kumbe hao hukujua ni watu? Au mkuki kumbe ni kwa nguruwe siyo?

IMG_1567.jpg


3. Wapalestina wanapigania ardhi yao, kwa muda mrefu sasa:


IMG_20241009_121633.jpg


IMG_20240508_164459.jpg


4. Hakuna popote alipofananishwa Yesu na mtu achilia mbali hao niliowaorodhesha kwa maana yake kamili.

5. Hawa wayahudi wenye kumtuhumu hadi Guterres, watashindwa kumtuhumu nani hata kwa lolote, sembuse ubakaji wakidhani itawasaidia? Kwani kwa Pilato na Yesu ilikuwaje?

IMG_20241009_121602.jpg
 
Tofauti yao ni kwamba Yesu ni mwana wa Mungu na alipokufa alifufuka, na atarudi kuwahukumu
walio hai na walokufa. Waliokufa wakitenda mema wapate uzima wa milele,waliofia dhambini waende motoni
pamoja na shetani waliyemtumikia.
je unayafahamu hayo.

Kwa hakika umeeleza vyema sana.

Tuko pamoja mkuu.

Kama waberoya wacha tuendelee kuyachunguza maandiko.

Mtumishi matunduizi nikadhani nisikuache bila ya neno la uzima.
 
Yesu alisema "NAMNA WALIVYONITENDA, NA NYIE WATAWATENDEA HIVYHIVYO"

Na kweli Yahudi ni bingwa wa fitina, uchonganishi na kuumiza watu
 
Wapakestina ni wafilisti wajukuu wa Goliathi hao Mpagani wewe
Na wako kwenye nchi isiyo yao
Hakuna nchi inaitwa palestina kuna Israel tu

Wapalestina ni wavamizi wa nchi ambayo Mungu ndie aliwapa na kuonyesha mipaka ya nchi yao

Hakuna taifa duniani ambalo mipaka yake ilichorwa na Mungu mwenyewe .Ni Israel pekee

Nchi nyingine zote mipaka ilichorwa na wakoloni

Una shetani la kifilisti kichwani kwako

Lakini hata wamachinga walitoka Mozambique, wangoni SA, nk.

Marekani wenyeji ni wahindi wekundu, Aborigin Australia, New Zealand huko nk.

Sehemu gani hawakuhamia watu?

Nikurejea, humu duniani Kuna watu madaraja, yaani first class, second, fourth nk?

Kama ndivyo labda ningejua wewe ni binadamu daraja gani?
 
Back
Top Bottom