- Thread starter
- #21
Yesu alisema "NAMNA WALIVYONITENDA, NA NYIE WATAWATENDEA HIVYHIVYO"
Na kweli Yahudi ni bingwa wa fitina, uchonganishi na kuumiza watu
Kwa mujibu wa misahafu ya wakristo, wafao kwa niaba ya wateswao watapokelewa mbinguni, wakavikwa taji za ushindi na kuketi upande wa kuume wa Mungu.
"Ole wao watesi wa wengine kwa maana hao watalia vilio na kusaga meno!"
Na hayo ndiyo yaliyo maneno ya bwana.
Mtumishi matunduizi au nasema uongo?