Iran ijipange upya. Walichoweza ni kuua Mpalestina moja wakati Israel inalipua viongozi, maghala ya silaha, pagers zikiwa mifukoni n.k

Iran ijipange upya. Walichoweza ni kuua Mpalestina moja wakati Israel inalipua viongozi, maghala ya silaha, pagers zikiwa mifukoni n.k

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Seriously !! Iran walichoweza hadi sasa ni kuua mplestina 1, Kupania kote kule kurusha makombora 200+ wameua mpalestina moja ?



Israel

Helikopta ya Rais wa Iran iliopotezwa mawinguni asubuhi, wataalam wabobezi wa Iran na Uturuki walihangaika sana kuitafuta siku nzima wakaja kuipata usiku wa manane ikiwa nyanga nyanga, Ni kwamba kiteknolojia bado wapo nyuma.

Baada ya kifo cha Rais wa Iran, kukawa na uapisho wa rais mwengine, Hafla hio ilihudhuriwa na kiongozi wa Hamas aliefikia kwenye kasri lenye hadhi ya ulinzi wa special force ya Iran lakini alilipuliwa kwa bomu chini ya kitanda.

Kiongozi wa Hezbollah inayofadhiliwa na Iran yamemkuta juzi, alijificha kwenye handaki ya kuzuia mabomu lakini Israel walitumia mabomu yenye teknolojia ya juu, hayupo tena nasi

Israel anachimba mahandaki kwa ajili ya kulinda raia wake, Iran wanachimba mahandaki kwa ajili ya kulinda Magaidi huku raia wakiwa juu kama ngao.

Imekuwa ni kawaida kwa jeshi la Israel kujua maghala ya silaha yalipo na kuyalipua, wana Intelejensia ya uhakika

Israel ina teknolojia ya juu sana kudukua mawasiliano ya maadui zao, hii inafanikisha kujua location za viongozi, maghala ya silaha, n.k.

Israel imeweza kufanya shambulio la kulipua pagers zikiwa mifukoni, Shambulio hili lilimfikia balozi wa Iran akiwa Lebanon.

Israel hajajibu chochote hadi sasa na alishasema hakuna sehemu wasiyoweza kuifikia Iran, Vitendo vya kauli hii vina ushahidi sio maneno matupu. Helikopta ya Rais wa Iran iliopotezwa mawinguni asubuhi ikaja kupatikana ikiwa nyanga nyanga usiku wa manane, Kiongozi wa Hezbollah alienda kuhudhuria uapisho wa Rais mpya akiwa kwenye Kasri lenye ulinzi wa hadhi ya ikulu lakini alitegewa bomu chini ya kitanda.

Wala haihitaji kuumiza kichwa, Iran wajipange upya.
 
Acha uongo wewe!! Kama hakuna aliyekufa mbona mna haha sana?

Subiri sindano iingie pambafu kabisa.

Iran sio Hamas yule ni mwanaume anajitosheleza
Leta ushahidi usiongee maneno matupu.

Hezbollah alipoishambulia Israel mlisema hayo hayo "Hezbollah sio Hamas". Kiko wapi ?
 
1. Kama hakuna madhahara Israel hakukua na haja yoyote ya msemaji wa jeshi kutoa Amri ya kijeshi watu wasipige picha na kusambaza

2. Lengo la Iran halikua kuua watu wala hawajisifu kuua wanawake na watoto, Missile zote ziliekezwa maeneo ya kijeshi, zimeruka maelfu ya nyumba na kupiga miundombinu ya jeshi ikiwemo kambi ya jeshi la Anga, kuna Ushahidi kibao wa video, kukataa hili ni kujitoa tu ufahamu.
 
Seriously !! Iran walichoweza hadi sasa ni kuua mplestina 1, Kupania kote kule kurusha makombora 200+ wameua mpalestina moja ?

View attachment 3112993

Israel

Helikopta ya Rais wa Iran iliopotezwa mawinguni asubuhi, wataalam wabobezi wa Iran na Uturuki walihangaika sana kuitafuta siku nzima wakaja kupata usiku wa manane ikiwa nyanga nyanga, Ni kwamba kiteknolojia bado wapo nyuma.

Baada ya kifo cha Rais wa Iran, kukawa na uapisho wa rais mwengine, Hafla hio ilihudhuriwa na kiongozi wa Hamas aliefikia kwenye kasri lenye hadhi ya ulinzi wa juu sana lakini alilipuliwa kwa bomu.

Kiongozi wa Hezbollah inayofadhiliwa na Iran yamemkuta juzi, alijificha kwenye hmagandaki ya kuzuia mabomu lakini Israel walitumia mabomu yenye teknolojia ya juu, hayupo tena nasi

Imekuwa ni kawaida kwa jeshi la Israel kujua maghala ya silaha yalipo na kuyalipua, wana Intelejensia ya uhakika

Israel ina teknolojia ya juu sana kudukua mawasiliano ya maadui zao, hii inafanikisha kujua location za viongozi, maghala ya silaha, n.k.

Israel imeweza kufanya shambulio la kulipua pagers zikiwa mifukoni, Shambulio hili lilimfikia balozi wa Iran akiwa Lebanon.

Israel hajajibu chochote hadi sasa na alishasema hakuna sehemu wasiyoweza kuifikia Iran, Vitendo vya kauli hii vina ushahidi sio maneno matupu. Helikopta ya Rais wa Iran iliopotezwa mawinguni asubuhi ikaja kupatikana ikiwa nyanga nyanga usiku wa manane, Kiongozi wa Hezbollah alienda kuhudhuria uapisho wa Rais mpya akiwa kwenye Kasri lenye ulinzi wa hadhi ya ikulu lakini alitegewa bomu chini ya kitanda.

Wala haihitaji kuumiza kichwa, Iran wajipange upya.
hapana, wameleta madhara makubwa kwenye kambi ya kijeshi. raia wa israel hawajafa, sawa walikimbilia kwenye mahandaki. ila nijuacho, kuna viboko vya kueleweka sana vinaenda kupiga mtu soon, na iran itakuwa kama iraq, very soon.
 
1. Kama hakuna madhahara Israel hakukua na haja yoyote ya msemaji wa jeshi kutoa Amri ya kijeshi watu wasipige picha na kusambaza

2. Lengo la Iran halikua kuua watu wala hawajisifu kuua wanawake na watoto, Missile zote ziliekezwa maeneo ya kijeshi, zimeruka maelfu ya nyumba na kupiga miundombinu ya jeshi ikiwemo kambi ya jeshi la Anga, kuna Ushahidi kibao wa video, kukataa hili ni kujitoa tu ufahamu.
Acha kuongea maneno matupu, Weka ushahidi ni wapi Msemaji wa Jeshi katoa Amri ya kijeshi watu wasipige picha na kusambaza

Lengo la Iran Limefeli, Missle zilizoelekezwa maeneo ya watu zilizuiwa na Iron Dome,




Makombora yaliyoweza kutua bila kizuizi ni yale yaliyofikia nje ya mji au kushindwa kufika Israel likiwemo lililoua mpalestina
 
Israel anachimba mahandaki kwa ajili ya raia wake.
Mwarabu anachimba Mahandaki kwa ajili ya Magaidi wake halafu raia wake anawaweka juu ya Handaki ili wauwawe.

Imeiona tofauti ya IQ baina yao?!
 
Acha kuongea maneno matupu, Weka ushahidi ni wapi Msemaji wa Jeshi katoa Amri ya kijeshi watu wasipige picha na kusambaza

Lengo la Iran Limefeli, Missle zilizoelekezwa maeneo ya watu zilizuiwa na Iron Dome,


View attachment 3113047

Makombora yaliyoweza kutua bila kizuizi ni yale yaliyofikia nje ya mji au kushindwa kufika Israel likiwemo lililoua mpalestina
1. Mpalestina hajauliwa na kombora kwa maana limempiga bali vipande vya kombora pale linapolipuka, na Alikua ndani ya Israel.

2. Ushahidi wa msemaji wa jeshi upo ngoja nikuangalizie

3. Video za Makombora yakipiga zipo




Video zipo kwa Mamia tel Aviv ikipigwa kukataa na kusema hakujapigwa kitu ni utoto na Kujifariji tu.
 
hapana, wameleta madhara makubwa kwenye kambi ya kijeshi. raia wa israel hawajafa, sawa walikimbilia kwenye mahandaki. ila nijuacho, kuna viboko vya kueleweka sana vinaenda kupiga mtu soon, na iran itakuwa kama iraq, very soon.
Ili Iran pawe kama Iraq Israel patakuwa kama Afghanistan au nchi yeyote itakayojinasibu kupageuza Iraq yenyewe zitafanana
 
Ili Iran pawe kama Iraq Israel patakuwa kama Afghanistan au nchi yeyote itakayojinasibu kupageuza Iraq yenyewe zitafanana
hapana ndugu, uhalisia ni kwamba iran hana uwezo kupigana na israel pamoja na marekani, UK, ufaransa na ujerumani kwa pamoja. hata urusi akiingilia kati bado iran itakua mavumbi tu. lpia jua unapigana na nchi yenye nuclear ambayo inajua the only way to survive ni kupigana. that's israel.
 
Seriously !! Iran walichoweza hadi sasa ni kuua mplestina 1, Kupania kote kule kurusha makombora 200+ wameua mpalestina moja ?

View attachment 3112993

Israel

Helikopta ya Rais wa Iran iliopotezwa mawinguni asubuhi, wataalam wabobezi wa Iran na Uturuki walihangaika sana kuitafuta siku nzima wakaja kuipata usiku wa manane ikiwa nyanga nyanga, Ni kwamba kiteknolojia bado wapo nyuma.

Baada ya kifo cha Rais wa Iran, kukawa na uapisho wa rais mwengine, Hafla hio ilihudhuriwa na kiongozi wa Hamas aliefikia kwenye kasri lenye hadhi ya ulinzi wa special force ya Iran lakini alilipuliwa kwa bomu chini ya kitanda.

Kiongozi wa Hezbollah inayofadhiliwa na Iran yamemkuta juzi, alijificha kwenye handaki ya kuzuia mabomu lakini Israel walitumia mabomu yenye teknolojia ya juu, hayupo tena nasi

Israel anachimba mahandaki kwa ajili ya kulinda raia wake, Iran wanachimba mahandaki kwa ajili ya kulinda Magaidi huku raia wakiwa juu kama ngao.

Imekuwa ni kawaida kwa jeshi la Israel kujua maghala ya silaha yalipo na kuyalipua, wana Intelejensia ya uhakika

Israel ina teknolojia ya juu sana kudukua mawasiliano ya maadui zao, hii inafanikisha kujua location za viongozi, maghala ya silaha, n.k.

Israel imeweza kufanya shambulio la kulipua pagers zikiwa mifukoni, Shambulio hili lilimfikia balozi wa Iran akiwa Lebanon.

Israel hajajibu chochote hadi sasa na alishasema hakuna sehemu wasiyoweza kuifikia Iran, Vitendo vya kauli hii vina ushahidi sio maneno matupu. Helikopta ya Rais wa Iran iliopotezwa mawinguni asubuhi ikaja kupatikana ikiwa nyanga nyanga usiku wa manane, Kiongozi wa Hezbollah alienda kuhudhuria uapisho wa Rais mpya akiwa kwenye Kasri lenye ulinzi wa hadhi ya ikulu lakini alitegewa bomu chini ya kitanda.

Wala haihitaji kuumiza kichwa, Iran wajipange upya.
wacha kujisumbua watakaokuelewa huu upuuzi ni wayahudi wenzio wa hapo bunju
 
Seriously !! Iran walichoweza hadi sasa ni kuua mplestina 1, Kupania kote kule kurusha makombora 200+ wameua mpalestina moja ?

View attachment 3112993

Israel

Helikopta ya Rais wa Iran iliopotezwa mawinguni asubuhi, wataalam wabobezi wa Iran na Uturuki walihangaika sana kuitafuta siku nzima wakaja kuipata usiku wa manane ikiwa nyanga nyanga, Ni kwamba kiteknolojia bado wapo nyuma.

Baada ya kifo cha Rais wa Iran, kukawa na uapisho wa rais mwengine, Hafla hio ilihudhuriwa na kiongozi wa Hamas aliefikia kwenye kasri lenye hadhi ya ulinzi wa special force ya Iran lakini alilipuliwa kwa bomu chini ya kitanda.

Kiongozi wa Hezbollah inayofadhiliwa na Iran yamemkuta juzi, alijificha kwenye handaki ya kuzuia mabomu lakini Israel walitumia mabomu yenye teknolojia ya juu, hayupo tena nasi

Israel anachimba mahandaki kwa ajili ya kulinda raia wake, Iran wanachimba mahandaki kwa ajili ya kulinda Magaidi huku raia wakiwa juu kama ngao.

Imekuwa ni kawaida kwa jeshi la Israel kujua maghala ya silaha yalipo na kuyalipua, wana Intelejensia ya uhakika

Israel ina teknolojia ya juu sana kudukua mawasiliano ya maadui zao, hii inafanikisha kujua location za viongozi, maghala ya silaha, n.k.

Israel imeweza kufanya shambulio la kulipua pagers zikiwa mifukoni, Shambulio hili lilimfikia balozi wa Iran akiwa Lebanon.

Israel hajajibu chochote hadi sasa na alishasema hakuna sehemu wasiyoweza kuifikia Iran, Vitendo vya kauli hii vina ushahidi sio maneno matupu. Helikopta ya Rais wa Iran iliopotezwa mawinguni asubuhi ikaja kupatikana ikiwa nyanga nyanga usiku wa manane, Kiongozi wa Hezbollah alienda kuhudhuria uapisho wa Rais mpya akiwa kwenye Kasri lenye ulinzi wa hadhi ya ikulu lakini alitegewa bomu chini ya kitanda.

Wala haihitaji kuumiza kichwa, Iran wajipange upya.

Wapi uliwahi kusikia mhanga kukiri kupokea kipigo cha mbwa koko?
 
hapana ndugu, uhalisia ni kwamba iran hana uwezo kupigana na israel pamoja na marekani, UK, ufaransa na ujerumani kwa pamoja. hata urusi akiingilia kati bado iran itakua mavumbi tu. lpia jua unapigana na nchi yenye nuclear ambayo inajua the only way to survive ni kupigana. that's israel.
Iran anamuogopa Pakistan kuliko hao wote aliowataja hapo na hua ajichanganyi kabisa
 
Iran anamuogopa Pakistan kuliko hao wote aliowataja hapo na hua ajichanganyi kabisa
Iran hamwogopi pakistani kabisa, wanaheshimiana, na Iran ana nguvu kuliko pakistan despite the fact kwamba pakistan wana nuclear. hata ile majuzi iran ndio ilikuwa ya kwanza kupiga pakistan na pakistan akajirudishia, ila iran ndio walianza, alipoona asijepoteza focus yake kwa proxy wake akapeana mikono wakasameheana. pakistan pia haina uwezo kumpiga India na ndio maana Israel na India wapo allies wakubwa sana, ni kwa ajili ya kumshughulikia pakistan. kwa habari ya Iran, wanajua US ana mezi za kivita karibu na makombora mengi yanaweza kurushwa moja kwa moja toka Israel hadi Iran.
 
Pamoja na sapprt yote kutoka US na western countries, Iran haijasaidiwa na missile zimeshuka kama mvua.

Isra hell shall be wiped out of the world map.

Free Palestine
Mtakufa wote na Israel mtaiacha ikiendelea kuwepo kwenye ramani ya dunia.
 
Seriously !! Iran walichoweza hadi sasa ni kuua mplestina 1, Kupania kote kule kurusha makombora 200+ wameua mpalestina moja ?

View attachment 3112993

Israel

Helikopta ya Rais wa Iran iliopotezwa mawinguni asubuhi, wataalam wabobezi wa Iran na Uturuki walihangaika sana kuitafuta siku nzima wakaja kuipata usiku wa manane ikiwa nyanga nyanga, Ni kwamba kiteknolojia bado wapo nyuma.

Baada ya kifo cha Rais wa Iran, kukawa na uapisho wa rais mwengine, Hafla hio ilihudhuriwa na kiongozi wa Hamas aliefikia kwenye kasri lenye hadhi ya ulinzi wa special force ya Iran lakini alilipuliwa kwa bomu chini ya kitanda.

Kiongozi wa Hezbollah inayofadhiliwa na Iran yamemkuta juzi, alijificha kwenye handaki ya kuzuia mabomu lakini Israel walitumia mabomu yenye teknolojia ya juu, hayupo tena nasi

Israel anachimba mahandaki kwa ajili ya kulinda raia wake, Iran wanachimba mahandaki kwa ajili ya kulinda Magaidi huku raia wakiwa juu kama ngao.

Imekuwa ni kawaida kwa jeshi la Israel kujua maghala ya silaha yalipo na kuyalipua, wana Intelejensia ya uhakika

Israel ina teknolojia ya juu sana kudukua mawasiliano ya maadui zao, hii inafanikisha kujua location za viongozi, maghala ya silaha, n.k.

Israel imeweza kufanya shambulio la kulipua pagers zikiwa mifukoni, Shambulio hili lilimfikia balozi wa Iran akiwa Lebanon.

Israel hajajibu chochote hadi sasa na alishasema hakuna sehemu wasiyoweza kuifikia Iran, Vitendo vya kauli hii vina ushahidi sio maneno matupu. Helikopta ya Rais wa Iran iliopotezwa mawinguni asubuhi ikaja kupatikana ikiwa nyanga nyanga usiku wa manane, Kiongozi wa Hezbollah alienda kuhudhuria uapisho wa Rais mpya akiwa kwenye Kasri lenye ulinzi wa hadhi ya ikulu lakini alitegewa bomu chini ya kitanda.

Wala haihitaji kuumiza kichwa, Iran wajipange upya.
Mambo hayako fair hiyo mijitu inakufa pia jiulize hata hapa tu jukwaani jamii forum kwa nini mada yoyote inayoingelea Israel negative huwa inafutwa?
Hiyo ni kwa dunia nzima wanakusikilizisha wanachotaka usikie wao wakipigika hautakiwi kujua
 
Back
Top Bottom