Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi

Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi

Hawa walokole wa JF wengi ni mambumbu kuna siku nimepita Kigamboni kuna kanisa lao wameweka bendera ya Israel namuuliza mmoja wao hiyo bendera ya Israel ya nini eti anajibu Israel ni nyumbani kwetu.
Hao ndiypo maana kina mwamposa wanawapuna kwa ujinga wao.
 
Wayahudi na wakristo wote wanaf#rwa tu kummk...wanuka mavi hao... Allah atalipiza
Duh umefikia huku kweli kwa sababu ya hizi dini zilizoletwa na majahazi unatukana waafrika wenzake tena majirani zako wakaribu kwasababu ya Wazungu na Waarabu waliopo maelfu ya miles tena hata hawakujui?
 
Duh umefikia huku kweli kwa sababu ya hizi dini zilizoletwa na majahazi unatukana waafrika wenzake tena majirani zako wakaribu kwasababu ya Wazungu na Waarabu waliopo maelfu ya miles tena hata hawakujui?
Binadamu hawi kamili mpka akislimu.
Kafir ni sawa na mnyama tu
 
Raisi anadondoka kwenye ndege iliyotengenezwa na Marekani😁😁😁
Cha kushangaza wanatumia mamilioni ya fedha kutengeneza mabomu, drone na silaha zingine za vita ila hawawezi kutengeneza ndege, TV, Simu, Operating system, Feni, friji, computer, radio n.k
Middle East na nchi zinazoamini ⭐🌙 wanawaza kuuana kila siku.
Alokudanganya Iran hawezi kutengeneza computer, simu, na tv nani?
Soma kuhusu Iranian supercomputer, radio, tv , sim nk
 
Falsafa ya kidini ndio falsafa zilizoua watu wengi Duniani kuliko ugonjwa Wala vita yeyote ile!!

Leo tumegawanyika Dunia nzima kati ya pande kuu mbili ambazo zinauana Kila mmoia akifikiri kwamba yeye yupp sahihi na ni Bora kuliko mwenzake!
 
Mkuu anayelialia mbona anajulikana. Au kwenye maisha yako umewahi kukutana na #JusticeForMayaudi?
Netanyahu huwa anaenda kufanya nini UN security council??
Na zile hotuba za kuilaani Iran huwa anazitoa za nini??
 
Siku zote upumbavu ni kujitia ujuaji kwenye kitu usicho kijua.
Ebu kwanza nitajie gari ,simu ,frige,au hata pasi tu inayo tengenezwa na kampuni kutoka ndani ya Israel.
Hebu nenda kwenye tovuti ya sekita ya viwanda ya Iran uone orodha ya vitu inavyo tengeneza alafu uje urudi hapa kuongea uharo wako hapa.

Hii Iran unayo iongea inazalisha bidhaa za viwandani zaidi ya mara tatu ya anazo zalisha Israel.
Iran ndo mtengenezaji wa magari mkubwa kuliko nchi yeyote hapo mashariki ya kati.
Iran ndo mzalishaji na msambazaji mkubwa wa umeme hapo mashariki ya kati.
Iran ni mojawapo ya mataifa machache yanayo miliki teknolojia ya hali ya juu ya uchimbaji wa gesi hapa duniani.

Iran inazalisha bidhaa za viwandani zenye thamani ya bilion 50$ kwa mwaka wakati nchi yako iliyo jaa mazezeta kama ww, uwezo wake kiviwanda haufiki hata bilion 3$ kwa mwaka.
Wakati taifa lako linahangaika kufikia megawatt 3000za umeme Iran inazalisha zaidi ya megawatt laki 2 na ushenzi.
Huna unalo lijua kazi kujitia ujuaji.
Pamoja na yote hayo Israel ataipiga iran
 
Ukiwa mtumia mihemko badala ya akili ni rahisi sana kupata hasara za kijinga
 
Netanyahu huwa anaenda kufanya nini UN security council??
Na zile hotuba za kuilaani Iran huwa anazitoa za nini??
Yule balozi wao kila siku analia UN hii vita acha ipiganwe ndiyo heshima itakuwepo Mashariki ya Kati, Israel akiuwa watu laki 2 na yeye akipoteza watu 50,000 inatosha atatia adabu.

Marekani akiingilia hii vita Iran ana mkataba na Urusi na Korea wa ulinzi.

Nchi kama Yemen, Iraq, Sryriq, Iran, hizi zote zunqingia kwenye vita.
 
UBAYA UBWELA
BREAKING:

Iran imetangaza hadharani kwa mara ya kwanza kuwa ina silaha za nyuklia.

Mwanasiasa wa Iran Ahmed Ardestani:

"Tumepata silaha za nyuklia, lakini hatutangazi."
 
Back
Top Bottom