Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi

Hawa walokole wa JF wengi ni mambumbu kuna siku nimepita Kigamboni kuna kanisa lao wameweka bendera ya Israel namuuliza mmoja wao hiyo bendera ya Israel ya nini eti anajibu Israel ni nyumbani kwetu.
Hao ndiypo maana kina mwamposa wanawapuna kwa ujinga wao.
 
Wayahudi na wakristo wote wanaf#rwa tu kummk...wanuka mavi hao... Allah atalipiza
Duh umefikia huku kweli kwa sababu ya hizi dini zilizoletwa na majahazi unatukana waafrika wenzake tena majirani zako wakaribu kwasababu ya Wazungu na Waarabu waliopo maelfu ya miles tena hata hawakujui?
 
Duh umefikia huku kweli kwa sababu ya hizi dini zilizoletwa na majahazi unatukana waafrika wenzake tena majirani zako wakaribu kwasababu ya Wazungu na Waarabu waliopo maelfu ya miles tena hata hawakujui?
Binadamu hawi kamili mpka akislimu.
Kafir ni sawa na mnyama tu
 
Alokudanganya Iran hawezi kutengeneza computer, simu, na tv nani?
Soma kuhusu Iranian supercomputer, radio, tv , sim nk
 
Falsafa ya kidini ndio falsafa zilizoua watu wengi Duniani kuliko ugonjwa Wala vita yeyote ile!!

Leo tumegawanyika Dunia nzima kati ya pande kuu mbili ambazo zinauana Kila mmoia akifikiri kwamba yeye yupp sahihi na ni Bora kuliko mwenzake!
 
Mkuu anayelialia mbona anajulikana. Au kwenye maisha yako umewahi kukutana na #JusticeForMayaudi?
Netanyahu huwa anaenda kufanya nini UN security council??
Na zile hotuba za kuilaani Iran huwa anazitoa za nini??
 
Pamoja na yote hayo Israel ataipiga iran
 
Ukiwa mtumia mihemko badala ya akili ni rahisi sana kupata hasara za kijinga
 
Netanyahu huwa anaenda kufanya nini UN security council??
Na zile hotuba za kuilaani Iran huwa anazitoa za nini??
Yule balozi wao kila siku analia UN hii vita acha ipiganwe ndiyo heshima itakuwepo Mashariki ya Kati, Israel akiuwa watu laki 2 na yeye akipoteza watu 50,000 inatosha atatia adabu.

Marekani akiingilia hii vita Iran ana mkataba na Urusi na Korea wa ulinzi.

Nchi kama Yemen, Iraq, Sryriq, Iran, hizi zote zunqingia kwenye vita.
 
UBAYA UBWELA
BREAKING:

Iran imetangaza hadharani kwa mara ya kwanza kuwa ina silaha za nyuklia.

Mwanasiasa wa Iran Ahmed Ardestani:

"Tumepata silaha za nyuklia, lakini hatutangazi."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…