Yes. The guy(Putin) is clever. Analijua timbwili la Myahudi.Rusia huwa hawashauri Iran ?uwezo wa kijeshi wa Rudia na wehu na ubabe wote wa Putin huwezi ona anaichezea Israel, ingekuwa ni kawaida pale Syria, Lebanon Mrusi angekuwa ameshaweka S-300, S-400, lakini ametulia mpaka ndege za Israel zinaingia Beiruti, Tehran, Damascus na kushambulia.
Atakakejaribu atauona moto.Wanaukumbi.
"Kulipiza kisasi kwa damu ya Ismail Haniyeh ni jukumu letu kwa sababu mauaji yalitokea katika ardhi yetu" - Ayatollah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran.
Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi kwenye jumba la msikiti wa Jamkaran.
View: https://x.com/iranobserver0/status/1818559913167049050?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
View: https://x.com/globeeyenews/status/1818604260600246730?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Halafu mwisho wa siku unapata nini ukifa? Kwani taratibu nyingine za kawaida zimeisha?
Atakakejaribu atauona moto.
Poleni kwa msiba ila kama myahudi katekeleza shambulio hilo ndani ya Iran ningeshauri Iran a anyamaze tu.
Muisraeli ni habari nyingine
Ukiwa unaoga mtoni halafu akatokea kichaa akazinyakua nguo zako na kukimbia nazo ni busara sana ww mwache usimkimbize. People may not notice the difference.Wahouth wamefunga red sea huko Marekani na Ulaya pamoja na israel wamekimbia.
America tena!
hata ahudhurie na allah pia bado iran itakuwa si chochote mbele ya IsraelIran hivi sasa inafanya mkutano wa dharura wa Baraza lake Kuu la Usalama wa Kitaifa katika makazi ya Khamenei, tukio ambalo hutokea tu katika hali isiyo ya kawaida.
Kamanda wa Kikosi cha Quds pia anahudhuria.
wasiishie kuweka bendera tu waipandishe pia na mifupa ya mtume SAW na wamuite na allah na kamwe hawataiweza Israel
Pole kwa msiba maalim, poleni sana!Iran hivi sasa inafanya mkutano wa dharura wa Baraza lake Kuu la Usalama wa Kitaifa katika makazi ya Khamenei, tukio ambalo hutokea tu katika hali isiyo ya kawaida.
Kamanda wa Kikosi cha Quds pia anahudhuria.
⚡️🇮🇷🇵🇸BREAKING: Kauli ya kiongozi mkuu wa Iran Khamenei kuhusu mauaji ya Ismail HaniyehUkiwa unaoga mtoni halafu akatokea kichaa akazinyakua nguo zako na kukimbia nazo ni busara sana ww mwache usimkimbize. People may not notice the difference.
Quote: "Kamanda wa Kikosi cha Quds pia anahudhuria".Iran hivi sasa inafanya mkutano wa dharura wa Baraza lake Kuu la Usalama wa Kitaifa katika makazi ya Khamenei, tukio ambalo hutokea tu katika hali isiyo ya kawaida.
Kamanda wa Kikosi cha Quds pia anahudhuria.
acha kuifananisha russia na taka taka zingne wewe!!!! wale ni up in the airRusia huwa hawashauri Iran ?uwezo wa kijeshi wa Rudia na wehu na ubabe wote wa Putin huwezi ona anaichezea Israel, ingekuwa ni kawaida pale Syria, Lebanon Mrusi angekuwa ameshaweka S-300, S-400, lakini ametulia mpaka ndege za Israel zinaingia Beiruti, Tehran, Damascus na kushambulia.
Sema hawa jamaaa wana mbwembwe🤣. Nikisikia hii bendera nyukundu nafananisha na ile ya Shulen et JINA LAKO KTK BLACK BOOK.Wanaukumbi.
"Kulipiza kisasi kwa damu ya Ismail Haniyeh ni jukumu letu kwa sababu mauaji yalitokea katika ardhi yetu" - Ayatollah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran.
Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi kwenye jumba la msikiti wa Jamkaran.
View: https://x.com/iranobserver0/status/1818559913167049050?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
View: https://x.com/globeeyenews/status/1818604260600246730?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Watamuenzi sana huyo Mzee Neta kwa msaada walioupokea kutoka kwake wa kuwahishwa kwa mabikra 72 na mito ya pombe. Kobaaz wote semeni Inshallah.Netanyahu kashasema mbwai mbwai,mpaka amalize muhula wake mwungine atakuwa amalaza viongozi wa kutosha wa jua na mwezi
Sema hawa jamaaa wana mbwembwe🤣. Nikisikia hii bendera nyukundu nafananisha na ile ya Shulen et JINA LAKO KTK BLACK BOOK.
Mimi wazo langu, tunasikiaga habari za Albadiri na zingine, kuweza ku command majini walipize kisasi etc. Why hawa jamaa wasipigane in a smart way? Watulie zao kwao, kila msikti uanze kusoma, WHY TROUBLED themselves.
Matamko meengi ishara ya udhaifu.
Blackbook = Red flag.
Wenzao Mossad wana winda kimya kimya wanaua, usiri ukamilisho hawana matangazo.
Hizi red flag ni mara yabkwanza hii kufanya hivi au walishawahi pia kufanya nyuma huko ?