Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi

Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi

Rusia huwa hawashauri Iran ?uwezo wa kijeshi wa Rudia na wehu na ubabe wote wa Putin huwezi ona anaichezea Israel, ingekuwa ni kawaida pale Syria, Lebanon Mrusi angekuwa ameshaweka S-300, S-400, lakini ametulia mpaka ndege za Israel zinaingia Beiruti, Tehran, Damascus na kushambulia.
Kwa hiyo unaamini kabisa Israel Ana msuli wa kumzuia Urusi? Kinachompa nguvu Israel ni support ya magharibi.. Usi wa overate hivyo Mkuu.
 
Rais gani wa Iran kauawa na Israel!?..we kiazi kweli,siyo sera ya Iran kuua viongozi wa taifa jingine,halafu ni kiongozi gani wa Iran kauawa na Israel!?..

Haina noma muiran wa Bonyokwa.
 
Wanaukumbi.


"Kulipiza kisasi kwa damu ya Ismail Haniyeh ni jukumu letu kwa sababu mauaji yalitokea katika ardhi yetu" - Ayatollah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran.

Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi kwenye jumba la msikiti wa Jamkaran.


View: https://x.com/iranobserver0/status/1818559913167049050?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


View: https://x.com/globeeyenews/status/1818604260600246730?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Hawana lolote, wangekuwa na maarifa hayo Haniyeh asingeuawa katika ardhi yao.

Hii ni fedheha kwa Iran, nipo katika majonzi.
 
Wazipigeeeeee........middle east BOMAYEEEEE, ayatollah vikosi visipotimia njoo wabebe al shabab ,boko haram na wale wengine wa msumbiji waje huko wakipige na Israel tuone kweli wanaipigania dini,,,,na mzayuni hali ikiwa ngumu njoo wabebe walokole wako huku africa waje wampiganie bwana wa mabwana
 
Hawana lolote, wangekuwa na maarifa hayo Haniyeh asingeuawa katika ardhi yao.

Hii ni fedheha kwa Iran, nipo katika majonzi.
Wengine wapo kwenye sherehe,,,,,,,waaabudu magome ya miti tumeshaanza weekend ndefu
 
Rusia huwa hawashauri Iran ?uwezo wa kijeshi wa Rudia na wehu na ubabe wote wa Putin huwezi ona anaichezea Israel, ingekuwa ni kawaida pale Syria, Lebanon Mrusi angekuwa ameshaweka S-300, S-400, lakini ametulia mpaka ndege za Israel zinaingia Beiruti, Tehran, Damascus na kushambulia.
Ona huyu anaongea nini.
Israel miaka yote anajua Russia ipo Syria ila hajawahi kuthubutu hata siku moja kushambulia kambi ya Russia.
Na 2021 aliwasaidia Syria kudungua f-35 tatu za Israel na Israel haki respond chochote.
Russia achana naye.
 
Wanaukumbi.


"Kulipiza kisasi kwa damu ya Ismail Haniyeh ni jukumu letu kwa sababu mauaji yalitokea katika ardhi yetu" - Ayatollah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran.

Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi kwenye jumba la msikiti wa Jamkaran.


View: https://x.com/iranobserver0/status/1818559913167049050?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


View: https://x.com/globeeyenews/status/1818604260600246730?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Nimesoma comment za watu humu ndani nimecheka sana.
Wanakwambia eti Israel haitaki mchezo😂😂😂😂😂.
Kisasi kilichopita cha Iran mataifa manne UK,USA,JORDAN na Saudi Arabia walisaidia kufanya repellation.
Sasa dogo kayachokoza subirini hilo shambulio lijalo litavyokuwa.
Hapo msisahau Hizbollah nao Kaskazini wameshaandaa pigo.
Kaeni kwa kutulia wa mwisho ndiye anayecheka sana.
 
Yes. The guy(Putin) is clever. Analijua timbwili la Myahudi.
Putin alishawahi kumgusa myahudi kwa kumsaidia Syria kudungua ndege za f-35 tatu 2021 za Israel.
Na mbona Israel hakulipiza wala kushambulia kambi ya Russia Syria!??
😬😂😂😂😂Kaeni danganyaneni Israel anajua mipaka yake Russia sio sawa yake maana akimuamulia hapo middle east anahama.
Russia ni taifa ambalo halitishiki kwa kulisemea USA au UN council.
 
Hawana lolote, wangekuwa na maarifa hayo Haniyeh asingeuawa katika ardhi yao.

Hii ni fedheha kwa Iran, nipo katika majonzi.
Wiki iliyopita Tel Aviv ilishambuliwa na Houthi kwa drone na Israel iron dome haikugundua mpaka drone inafanya kamikaze attack.
Hilo dada unalizungumziaje?
 
kiuhalisia, myahudi hicho ndicho alikuwa anakitafuta, kuingia vitani na iran na hicho ndicho alienda kuconfirm marekani juzi. kwasababu akisema asipigane na iran proxies wake wanamsumbua na anazidi kujiimarisha kuna siku angekuja kumfuta, sasa anaona si bora apigane sasaivi wamalizane mapema kuliku kuishi kwa mashaka. wameshamchora wameona namna ya kumpiga, ajichanganye aone.
 
Ninakazia:

"Supporting Palestinians is a duty, whatever the sacrifices are."

Kauli thabiti kabisa kutoka kwa aina ya akina Mandela, Lissu na wa namna hiyo.

Brazaj:

Ni aibu mkuu, amelipuliwa katika Guest House ya Jeshi, si mbali na nyumba ya Rais, na kombora limepiga katika floor yake tu! Hawakuwa na haja kabisa na Ziyad al-Nakhala, kiongozi wa Islamic Jihad, maana alikuwa amelala floor ya juu Haniyen, labda ndiye aliyemuuza! Huwawezi Waarabu kwa kufitiana.

Usisahau wanapopanga kisasi kuna Watu wa Mosad ndani yao! Kubali Mkuu hii ni inside job! Kuna Wairan wenzeo ni members wa Mosad!

Na kichekesho kikubwa, yule aliyekuwa Waziri wa Intelligence aliyondoka Esmael Khatib, kasema hata siku sita hazijapita alisema anajivunia katika kipindi chake akiwa bosi wa Wizara hiyo ya Intelligence aliweza kung'oa masalia yote ya Mosad! Kiko wapi! Aibu juu ya aibu! Pole sana Mkuu.
 
kiuhalisia, myahudi hicho ndicho alikuwa anakitafuta, kuingia vitani na iran na hicho ndicho alienda kuconfirm marekani juzi. kwasababu akisema asipigane na iran proxies wake wanamsumbua na anazidi kujiimarisha kuna siku angekuja kumfuta, sasa anaona si bora apigane sasaivi wamalizane mapema kuliku kuishi kwa mashaka. wameshamchora wameona namna ya kumpiga, ajichanganye aone.
Usijidanganye.
Hapo kama Israel ataingia vitani basi USA na UK ndio watakaopigana.
Jeshi la Israel liko crippled.
Ripoti ya mwezi wa 6 imetoka na kuonesha Israel ina wanajeshi takriban 70,000 wenye ulemavu wa viungo na akili kulingana na athari ya vita ya Gaza.
Na vifo ni vingi visivyokuwa na idadi vingi kwasasa vikitokea mipakani na Lebanon.
Kama Israel ataingia vitani basi USA ndiye atakayepigana.
 
Asilimia 32 ya washindi wa tuzo ya ugunduzi ya Nobel ni wayahudi wakati population yao haifikii hata asilimia 0 5 ya watu wote duniani. Hawa jamaa ni mageneous

Atskayefuatia kuonja kifo ni Sanwar (hams) na kiongozi wa Hizbollah ( Nasrah) wa Lebanon
 
Wote tunajua Jamaa amekufa, amekufaje Ndio hata Iran hawajui

Theory ziko nyingi Mkuu, wengine wanasema ni missiles ilirushwa na IDF kutoka ndege za kivita, wengine wanasema ni kombora toka Submarine, lakini nayoshika kasi ni kuwa Kombora lilirusha toka nyumba ya jirani, na aiona ya Kombora linaitwa "Spike" ni anti tak guided misile, maana ilipiga floor aliyekuwa amelala Hanniyeh....wala haikupiga floor ya juu yake!
 
Brazaj:

Ni aibu mkuu, amelipuliwa katika Guest House ya Jeshi, si mbali na nyumba ya Rais, na kombora limepiga katika floor yake tu! Hawakuwa na haja kabisa na Ziyad al-Nakhala, kiongozi wa Islamic Jihad, maana alikuwa amelala floor ya juu Haniyen, labda ndiye aliyemuuza! Huwawezi Waarabu kwa kufitiana.

Usisahau wanapopanga kisasi kuna Watu wa Mosad ndani yao! Kubali Mkuu hii ni inside job! Kuna Wairan wenzeo ni members wa Mosad!

Na kichekesho kikubwa, yule aliyekuwa Waziri wa Intelligence aliyondoka Esmael Khatib, kasema hata siku sita hazijapita alisema anajivunia katika kipindi chake akiwa bosi wa Wizara hiyo ya Intelligence aliweza kung'oa masalia yote ya Mosad! Kiko wapi! Aibu juu ya aibu! Pole sana Mkuu.

Mkuu Trump ilimpata ya sikio. Nani alikuwa kamuuza?

Dunia ya leo nani yuko salama wapi?

Ukweli mchungu:

“Why did they kill him? They killed peace, not Ismail Haniyeh.”

Amesikika mwuungwana mmoja akijisemea.
 
Back
Top Bottom