mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,169
- 9,054
Wanaukumbi.
"Kulipiza kisasi kwa damu ya Ismail Haniyeh ni jukumu letu kwa sababu mauaji yalitokea katika ardhi yetu" - Ayatollah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran.
Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi kwenye jumba la msikiti wa Jamkaran.
View: https://x.com/iranobserver0/status/1818559913167049050?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
View: https://x.com/globeeyenews/status/1818604260600246730?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Mlishindwa kuidungua Ndege iliyo leta KILIO!;
Hiyo bendera nyekundu ni mkwala mbuzi!
Muda Utasema!🥵 🔥🔥