Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi

Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi

Marekani haitawaliwi na wayahudi hizi fikra dumavu wacheni.
Bali kuna ushirikiano na kusaidiwa kwa Israel na Marekani.
Hakuna siku Netanyahu alisimama katika Congress na akatukana thubutu yakeee.
Mbona hakutukana mwaka juzi baraza lilipokataa kupitisha upelekaji wa silaha Israel pale Capitol Hill!?
Hizi fikra zenu huwa sijui mnatoaga wapi.
USA na Israel wana mutual benefits tu hivyo kubebana ni lazima.
Ila utake USITAKE Israel haina nguvu ya kupigana vita peke yake sasa hivi.
Maana ina rekodi ya askari wengi walemavu wa akili na viungo,pia wana upungufu wa askari.
tukisema inatawaliwa na wayahudi, tunamaanisha kiuchumi, kwenye social media, mass media na ushashishi mkubwa kwenye serikali.

juzi hapa, havard na vyuo vingine walichelewa tu kulaani antisemitism na wakaongea fyongo, makampuni mengi yalijiondoa ufadhili na viongozi walijiuzuru. maeneo makubwa ya kiuchumi yamemilikiwa na wao pia. kama unabisha basi tuamini yamemilikiwa na waarabu. hata siasa za sasaivi, nani uona kwenye kampeni anaponda israel? ajaribu aone. CNN, kampuni za HP, DELL, google, facebook, twitter x, whatsapp, CNN, TIME, just to mention a few.
 
tukisema inatawaliwa na wayahudi, tunamaanisha kiuchumi, kwenye social media, mass media na ushashishi mkubwa kwenye serikali.

juzi hapa, havard na vyuo vingine walichelewa tu kulaani antisemitism na wakaongea fyongo, makampuni mengi yalijiondoa ufadhili na viongozi walijiuzuru. maeneo makubwa ya kiuchumi yamemilikiwa na wao pia. kama unabisha basi tuamini yamemilikiwa na waarabu. hata siasa za sasaivi, nani uona kwenye kampeni anaponda israel? ajaribu aone. CNN, kampuni za HP, DELL, google, facebook, twitter x, whatsapp, CNN, TIME, just to mention a few.
Hapo umeongea,japo still vita sio rahisi kama udhaniavyo.
 
Magaidi ni kama huyo Iran anayesupport vikundi vyote vya kigaidi vinavyofanya mauaji hapo Middle East

Tuliwahi kusikia kina Mandela, Gaddafi, ANC, au hata wale wa vita vya maji maji au mau mau nao kama hivi hivi wakiitwa magaidi.

Hapo unasema je?

Tupo wengine tunaoona magaidi ni kama huyu aliye na nia ya vita na hasa kumvutia Marekani upande wake dhidi ya Iran.

Hapo napo unasema je?
 
Tuliwahi kusikia kina Mandela, Gaddafi, ANC, au hata wale wa vita vya maji maji au mau mau nao kama hivi hivi wakiitwa nagaidi.

Hapo unasema je?

Tupo wengine tunaoona magaidi ni kama huyu aliye na nia ya vita na hasa kumvutia Marekani upande wake dhidi ya Iran.

Hapo napo unasema je?
Mossad iko busy kuliko kipindi chochote katika historia.
Magaidi wajiandae tu kwenda kutafuna bikira kwenye pepo ya allah.
 
Kichekesho ni Kwamba mahali walipoona ni rahisi kumuondoa ni Tehran! Imetoa ujumbe mzito sana, maana walikuwa wanamlia tenda, na walikuwa data kamili atalala wapi, floor ipi! Iran ni aibu tupu!
Iran kabigwa Dole hadharani
 
Mkuu nini Mandela hata ANC inawaunga mkono Palestina....Inawasaidia ni Hamas....Jus mere rhetoric tu....Wapeleke majeshi ndio tutaona wanatoa msaada....Wanatumia kigezo kuficha nchi inayonyumbuka kwa rushwa!

Pole pole ndugu.

Si kila nchi au Kila mtu anaiona Hamas au Hanniyeh kuwa ni magaidi. Kweli?

Kama ndivyo, nani anabeba litmus paper ya kuthibitisha gaidi?

Kumbe kwanini Natenyahu au Israel wasiwe ni magaidi kama wengine nao wanavyowaona?

Hudhani kuna manyani yasiyoona makundu yao hapa?
 
Pole pole ndugu.

Si kila nchi au Kila mtu anaiona Hamas au Hanniyeh kuwa ni magaidi. Kweli?

Kama ndivyo, nani anabeba litmus paper ya kuthibitisha gaidi?

Kumbe kwanini Natenyahu au Israel wasiwe ni magaidi kama wengine nao wanavyowaona?

Hudhani kuna manyani yasiyoona makundu yao hapa?

1722438843719.png



Kila mtu ana litmus paper yake! Hilo lisikupe shaka! Swala yake kwa Allah baada ya kuangalia tukio la October 7 Haijajibiwa......Hakujua yuko njiani!
 
Pole pole ndugu.

Si kila nchi au Kila mtu anaiona Hamas au Hanniyeh kuwa ni magaidi. Kweli?

Kama ndivyo, nani anabeba litmus paper ya kuthibitisha gaidi?

Kumbe kwanini Natenyahu au Israel wasiwe ni magaidi kama wengine nao wanavyowaona?

Hudhani kuna manyani yasiyoona makundu yao hapa?

Mkuu kila mtu ana litmus paper yake! Kwako ni mashujaa....Kwangu ni magaidi....Lensi zetu ni tofauti kabisa, na haziwezi kuwa sawa...!
 
View attachment 3057825


Kila mtu ana litmus paper yake! Hilo lisikupe shaka! Swala yake kwa Allah baada ya kuangalia tukio la October 7 Haijajibiwa......Hakujua yuko njiani!

Kumbe kila mtu ana litmus yake? Basi si sahihi kutumia litmus binafsi kuwahukumu wengine.

Kwamba kumbe nani gayuko njiani au nani ambaye yeye kafika?

Hivi Trump ukimsikia leo pro gun kama alivyokuwa angali hana maono mapya?
 
Tuliwahi kusikia kina Mandela, Gaddafi, ANC, au hata wale wa vita vya maji maji au mau mau nao kama hivi hivi wakiitwa nagaidi.

Hapo unasema je?

Tupo wengine tunaoona magaidi ni kama huyu aliye na nia ya vita na hasa kumvutia Marekani upande wake dhidi ya Iran.

Hapo napo unasema je?

Mkuu niseme nini....Maana hata Hamas anamvuta Iran, Turkey....China hata Urusi awe upande wake....! Kuna Ubaya Israel ikimvuta Marekani?
 
Mkuu niseme nini....Maana hata Hamas anamvuta Iran, Turkey....China hata Urusi awe upande wake....! Kuna Ubaya Israel ikimvuta Marekani?

Kama kidume kulikoni kuvuta wengine?

Iran hamvuti yeyote kwenye hili.

Kama kidume si avue gloves zipigwe kavu kavu?

Uchokozi kwa sababu ya kukingiwa kifua na wanaume, ni upumbafu!

Au wewe huoni hivyo ndugu?
 
Kumbe kila mtu ana litmus yake? Basi si sahihi kutumia litmus binafsi kuwahukumu wengine.

Kwamba kumbe nani gayuko njiani au nani ambaye yeye kafika?

Hivi Trump ukimsikia leo pro gun kama alivyokuwa angali hana maono mapya?

Mkuu unajua wazi binadamu wanatofautiana kwenye perspectives za kuangalia mambo! Wewe unavyoangalia issue ya Israel na Palestina ni tofauti kabisa na yangu! Huo ndio ukweli! Kwa hiyo Mkuu tukubaliane kutokubaliana tu!
 
Back
Top Bottom