Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi

Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi

Kama umeweza kutengeneza mabomu, makombora, drone na bunduki (silaha za kivita) ambazo ni za kisasa utashindwa kutengeneza TV, Satelite, computer, simu na bidhaa zingine za kutumia majumbani?
Nchi zinazoamini ⭐🌙 ni za kijinga na kipuuzi, zinawaza vita (kuuana) na kuwaita watu makafiri Ila ukija kwenye maendeleo wanawategemea makafiri.
Watu wa ⭐🌙 kutengeneza makombora na kurusha toka Iran mpaka Israel kwenda kuua kwao ndiyo maendeleo ila ukija kwenye maendeleo ya kiuchumi 98% wanategemea makafiri. Mfumo wa elimu, usafiri, umeme, simu, afya n.k
Hapa Tanzania waislamu hawana hospitali hata moja, chuo kikuu kipo kimoja tena walipewa. Hawana hata mpango wa maendeleo ila sasa wakisema mambo ya kuua, watakuwa na umoja. Watashirikiana hata na mabomu na makombora ya kuwaua makafiri watatengeneza
"What Is Comparative Advantage?" What Is Comparative Advantage?

Najua shule hukwenda,ukielewa niambie nikuoneshe viwanda vya iran
 
Leo mtapandisha mpaka bendera ya kijivu
 

Attachments

  • IMG_20240731_190145.jpg
    IMG_20240731_190145.jpg
    15.5 KB · Views: 1
Udini unatokea wapi kwenye kadhia hii?

Ulichoandika hapa kinafanana na sala iliyofanyika kwenye kanisa moja Arusha jana kuiombea Israel ambako pia sadaka zilikusanywa kwa niaba ya taifa hilo.

Kwenye sala hiyo ilisemekana tunawajibika kukesha kuilinda Israel.

Kwa hakika ni heri ya kiboko ya wachawi!

Zingatia:

View attachment 3057845
Acha kuwa mnafiki. Unawaza uhuru wa wawapalestina wakati hapo Sudan. Waarabu waislamu (Rapid Support Force) wanawauwa waislamu waafrika. Lakini hayupo muislamu anayekemea kwa vile muarabu mwenye dini yake anaua mtachafua uislamu na mtafukuzwa kwenye dini.
Huyo Mandela, nchi yake ina matatizo makubwa mpaka sasa ninavyoandika wale waathirika wa Apartheid policy mpaka sasa hawajapata haki zao, wananchi wake walikuwa wanauwa wafrika ambao wapo South Africa kwa minajiri walikuwa wanachukua fursa za wazawa. Ufisadi kama wote wa Jacob Zuma.
 
"What Is Comparative Advantage?" What Is Comparative Advantage?

Najua shule hukwenda,ukielewa niambie nikuoneshe viwanda vya iran
1. Sikwenda shule ya madrasa au ni zile shule zenye mfumo wa elimu za makafiri?
2. Ni bidhaa gani unayotumia kutoka Iran?
3. Ni mashine gani za viwandani zilizotengenezwa na Iran? Hata hapa tz tuna viwanda ambazo zinatumia mashine kutoka China, USA na Uingereza?
 
Iran hana jeuri ya kijeshi - watu wanamlia timing ajae kwemye 18 zao.
 
Acha kuwa mnafiki. Unawaza uhuru wa wawapalestina wakati hapo Sudan. Waarabu waislamu (Rapid Support Force) wanawauwa waislamu waafrika. Lakini hayupo muislamu anayekemea kwa vile muarabu mwenye dini yake anaua mtachafua uislamu na mtafukuzwa kwenye dini.
Huyo Mandela, nchi yake ina matatizo makubwa mpaka sasa ninavyoandika wale waathirika wa Apartheid policy mpaka sasa hawajapata haki zao, wananchi wake walikuwa wanauwa wafrika ambao wapo South Africa kwa minajiri walikuwa wanachukua fursa za wazawa. Ufisadi kama wote wa Jacob Zuma.

1. Kumbe wewe usiyekuwa mnafiki umefanya nini wapi?

2. Mwenye akili kuliko Mandela mwenye Nobeli kibindoni utakuwa wewe mwenye CV isiyojulikana?

3. Watu kama wewe tuliwahi waandikia uzi:

Mbowe, Lissu nidhamu inaporejea wafundeni wafuasi heshima

4. Kuweni na heshima na waliowazidi katika kila hali.

5. Kwamba umzodoe wewe wapi Mandela ndugu? Hamjihurumii?!

6. Makasiriko hayatawasaidia kuondoa ujinga na upumbafu ulioitwa ulofa na BM (rip)

Habari ndiyo hiyo ndugu.
 
Unadhani myahudi kabla hajawatandika hakujua kama mtakuja na hizi ngonjera?

Myahudi yeye haongei zaidi, alishasema mara moja atawatafuta popote mlipo, leo anawadondosha mmoja mmoja popote mlipo, huyu hana utani anamaanisha anachokisema.

Na ujue tu; hicho cheo cha kiongozi mkuu wa Hamas sasa kinaenda kuwa sawa na "death certificate" kwa mtu yeyote atakayekubali kubeba hilo jukumu, ukiwemo wewe Ritz

Hao wa Iran wenyewe warembo tu, juzi tu Rais wao kadondoshwa huko wakasingizia ukungu, kwani ule ukungu ulikuja ghafla?!

Myahudi amewazidi akili na uwezo wa kijeshi, hili sina shaka nalo, ataendelea kuwacharaza kwa style zote atakazotaka, nyie chezeni na hizo bendera nyekundu tu.

Na kwa taarifa yako myahudi akiamua kuudondosha huo msikiti mlioweka hiyo bendera nyekundu hapo, anaweza kufanya hivyo dakika yoyote, kwa sasa anawatazama tu kama watoto wadogo.
Juzi netanyahu alikua USA kuomba msaada kuikabili Iran.
 
Iran hivi sasa inafanya mkutano wa dharura wa Baraza lake Kuu la Usalama wa Kitaifa katika makazi ya Khamenei, tukio ambalo hutokea tu katika hali isiyo ya kawaida.

Kamanda wa Kikosi cha Quds pia anahudhuria.
When you plan for revenge dig your own grave first
 
Up next on the list of jihadists to be liquidated will be Ayatollah Khamenei, the Supreme Leader of Iran for his role of sponsoring and abating the global terror.
Yeah! Most probably that grey haired feller.
 
1. Sikwenda shule ya madrasa au ni zile shule zenye mfumo wa elimu za makafiri?
2. Ni bidhaa gani unayotumia kutoka Iran?
3. Ni mashine gani za viwandani zilizotengenezwa na Iran? Hata hapa tz tuna viwanda ambazo zinatumia mashine kutoka China, USA na Uingereza?
Soma nilichokupa, comparative and absolute advantage,muwe mnaenda shule,Kuna kitu gani Cha Norway unachotumia!? Canada? Denmark?
 
Wanaukumbi.


"Kulipiza kisasi kwa damu ya Ismail Haniyeh ni jukumu letu kwa sababu mauaji yalitokea katika ardhi yetu" - Ayatollah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran.

Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi kwenye jumba la msikiti wa Jamkaran.


View: https://x.com/iranobserver0/status/1818559913167049050?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


View: https://x.com/globeeyenews/status/1818604260600246730?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Wanaume wa iran wenyew wanavaa magauni hawana umoja hawapendi kazi ' israel' kadogo mnakashindwa si ndio taifa jinga kabisa TUCHUKULIE JWTZ tupambane na israel ana kwa ana miezi 6 tushawakambiza mbali NYINYI SASA IRAN, PALESTINA,JORDAN, MISRI, SAUDIA, TALIBAN SIJUI MAJINGA TU ka inchi kadogo kanawasumbua
 
Back
Top Bottom