njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Kwani Mandela kaongoza kwa miaka mingapi ndugu?aliongoza nchi kwa muda Mrefu kwa kujiona yeye ana akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Mandela kaongoza kwa miaka mingapi ndugu?aliongoza nchi kwa muda Mrefu kwa kujiona yeye ana akili
Unaakili kiduchu sana japo upo jukwaani kwa muda mrefuWahouth wamefunga red sea huko Marekani na Ulaya pamoja na israel wamekimbia.
Mandela aliwauza wafrika wenzake kwa makaburu ndiyo maana wanaomiliki uchumi mkubwa wengi South ni makaburu
1. Mpaka sasa waathirika wa Apartheid policy hawajapata haki zao.
2. Mandela alikuwa mbinafsi, aliongoza nchi kwa muda Mrefu kwa kujiona yeye ana akili kuliko wengine. Ni moja ya watu madikiteka ni sawa na Kagame, Mseveni na Ghadafi
3. Kama wananchi wake wanaua raia wageni na kupora mali kwa kisingizio kuwa wanaziba ridhiki zao. Mpaka sasa hakuna kesi
4. South Africa imejaa uuzaji wa madawa ya kulevya na mauaji holela. Kuuza madawa ya kulevya south ni kama kuuza kuku
5. Mandela ni mnafiki na alikuwa anataka ajulikane. Ameshindwa kuisaidia Congo zidi ya vita, ai
Anamaanisha MANDELA wa BUTIAMAKwani Mandela kaongoza kwa miaka mingapi ndugu?
Namba 3 na 4 mbona ni kwa Mandela mpumalangaMandela a
Anamaanisha MANDELA wa BUTIAMA
Halafu; Na katika kujilinda, mtu hapangiwi eti ajilinde namna gani - atajilinda kwa mbinu anazozijua mwenyewe na anaona zinamfaa yeye. Kobaaz kuja kulialia hapa hakusaidii kitu komaeni na hali yenu mlioitafuta kwa muda mrefu.Israel hajawahi kuwa mchokozi. Mara zote waarabu ndio wanaanzisha vita na Israel hana jinsi zaidi ya kujilinda.
Soma historia
Anayefuata ni Ayatollah⚡️🇮🇷🇵🇸BREAKING: Kauli ya kiongozi mkuu wa Iran Khamenei kuhusu mauaji ya Ismail Haniyeh
“Utawala wa Kizayuni wa jinai na kigaidi ulimuua shahidi mgeni wetu mpendwa katika ardhi yetu na umesababisha huzuni yetu, lakini pia umetayarisha uwanja wa adhabu kali.
Kufuatia tukio hili chungu na la kusikitisha ambalo limetokea ndani ya mipaka ya Jamhuri ya Kiislamu, ni wajibu wetu kulipiza kisasi.”
Kuwa muislamu kunahitaji kujitoa akiliKiingereza hujui,Iran alipiga Israel na dunia nzima ikaisaidia kudungua makombora,houthi wamepiga ndani kabisa ya Israel kwa drone ambayo hawakuiona, hizbullah wanapiga picha ndani ya Israel daily na kurusha video tuone
Siyo kumuabudu fundi seremala asiyesimamisha uume ndiyo unahitaji kujitoa akili!?Kuwa muislamu kunahitaji kujitoa akili
Qauli thabeet hahahaNinakazia:
"Supporting Palestinians is a duty, whatever the sacrifices are."
Kauli thabiti kabisa kutoka kwa aina ya akina Mandela, Lissu na wa namna hiyo.
Ila bro. kwa statement hii 👉"Iran alipiga Israel na dunia nzima ikaisaidia kudungua makombora, naona shida kuiafiki au kuiamini eti Dunia nzima.....Kiingereza hujui,Iran alipiga Israel na dunia nzima ikaisaidia kudungua makombora,houthi wamepiga ndani kabisa ya Israel kwa drone ambayo hawakuiona, hizbullah wanapiga picha ndani ya Israel daily na kurusha video tuone
Khamenei hata siku moja haendagi vitani ila anawatoa kafara vijana wa Jamhuri ya Kiislam -Iran.⚡️🇮🇷🇵🇸BREAKING: Kauli ya kiongozi mkuu wa Iran Khamenei kuhusu mauaji ya Ismail Haniyeh
“Utawala wa Kizayuni wa jinai na kigaidi ulimuua shahidi mgeni wetu mpendwa katika ardhi yetu na umesababisha huzuni yetu, lakini pia umetayarisha uwanja wa adhabu kali.
Kufuatia tukio hili chungu na la kusikitisha ambalo limetokea ndani ya mipaka ya Jamhuri ya Kiislamu, ni wajibu wetu kulipiza kisasi.”
Umesahau chatgtp cocacola Pepsi McDonald's kfc Oracle vibertukisema inatawaliwa na wayahudi, tunamaanisha kiuchumi, kwenye social media, mass media na ushashishi mkubwa kwenye serikali.
juzi hapa, havard na vyuo vingine walichelewa tu kulaani antisemitism na wakaongea fyongo, makampuni mengi yalijiondoa ufadhili na viongozi walijiuzuru. maeneo makubwa ya kiuchumi yamemilikiwa na wao pia. kama unabisha basi tuamini yamemilikiwa na waarabu. hata siasa za sasaivi, nani uona kwenye kampeni anaponda israel? ajaribu aone. CNN, kampuni za HP, DELL, google, facebook, twitter x, whatsapp, CNN, TIME, just to mention a few.
Kama kidume kulikoni kuvuta wengine?
Iran hamvuti yeyote kwenye hili.
Kama kidume si avue gloves zipigwe kavu kavu?
Uchokozi kwa sababu ya kukingiwa kifua na wanaume, ni upumbafu!
Au wewe huoni hivyo ndugu?
Litmus yako inawaita je kina Mandela, Gaddafi, Kinjekitile, Mkwawa, wale wa maji maji au mau mau?
Kama Maji Maji au Mau Mau ilikuwa halali, iweje lawama kwa wapalestina?
Angalizo:
Yako isije kuwa toilet paper badala ya litmus. Mbili hizo ziko tofauti kwa rangi hata matumizi!
Acha kuwa mnafiki. Unawaza uhuru wa wawapalestina wakati hapo Sudan. Waarabu waislamu (Rapid Support Force) wanawauwa waislamu waafrika. Lakini hayupo muislamu anayekemea kwa vile muarabu mwenye dini yake anaua mtachafua uislamu na mtafukuzwa kwenye dini.
Huyo Mandela, nchi yake ina matatizo makubwa mpaka sasa ninavyoandika wale waathirika wa Apartheid policy mpaka sasa hawajapata haki zao, wananchi wake walikuwa wanauwa wafrika ambao wapo South Africa kwa minajiri walikuwa wanachukua fursa za wazawa. Ufisadi kama wote wa Jacob Zuma.
Hufahamu historia ya Hamas Israel kaishawau viongozi wengi akiwemo muasisi wa Hamas lakini ndiyo kwanza wanazidi kupata nguvu wagalatia wengi hawafahamu kama Hamas ni Ideology siyo mtu.
Kama kidume kulikoni kuvuta wengine?
Iran hamvuti yeyote kwenye hili.
Kama kidume si avue gloves zipigwe kavu kavu?
Uchokozi kwa sababu ya kukingiwa kifua na wanaume, ni upumbafu!
Au wewe huoni hivyo ndugu?
Hamas believes that the message of Islam upholds the values of truth, justice, freedom and dignity and prohibits all forms of injustice and incriminates oppressors irrespective of their religion, race, gender or nationality.Kwa nini usiseme tu ni ideology ya Msahafu....au hujasoma charter ya Hamas wewe? Sio Ideology ni imani iliyopinda toka kwenye Msahafu wa imani yao....!
Hamas inaamini kwamba ujumbe wa Uislamu unasimamia thamani za ukweli, uadilifu, uhuru na utu na unakataza aina zote za dhuluma na kuwatia hatiani madhalimu bila kujali dini, rangi, jinsia au utaifa wao.>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>