Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi

Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi

Mandela aliwauza wafrika wenzake kwa makaburu ndiyo maana wanaomiliki uchumi mkubwa wengi South ni makaburu
1. Mpaka sasa waathirika wa Apartheid policy hawajapata haki zao.
2. Mandela alikuwa mbinafsi, aliongoza nchi kwa muda Mrefu kwa kujiona yeye ana akili kuliko wengine. Ni moja ya watu madikiteka ni sawa na Kagame, Mseveni na Ghadafi
3. Kama wananchi wake wanaua raia wageni na kupora mali kwa kisingizio kuwa wanaziba ridhiki zao. Mpaka sasa hakuna kesi
4. South Africa imejaa uuzaji wa madawa ya kulevya na mauaji holela. Kuuza madawa ya kulevya south ni kama kuuza kuku
5. Mandela ni mnafiki na alikuwa anataka ajulikane. Ameshindwa kuisaidia Congo zidi ya vita, aisaidie Palestina😀😀😀

1. Wapi CV yako ndugu wewe ujidhaniaye kuwa bora kuliko kina Mandela, Gaddafi, Museveni au Kagame?

2. Kumbe Mandela aliongoza muda mrefu? Kwani unakukuruka hivi kutokea kijiwe kipi ndugu?

3. Kwani wananchi wa Libya, Rwanda au Uganda unadhani wana admiration yoyote kwako na hisia zako kwa viongozi wao?

4. Uliwahi kusikia wasauzi wangapi wamezamia Tanzania? Vipi watanzania na mataifa mengine kama sisi huko mnakoita bondeni?

5. Kumbe Tanzania ina kipi bora au hata cha maana kuliko huko sauzi ndugu mwana CCM mkereketwa?
 
1. Wapi CV yako ndugu wewe ujidhaniaye kuwa bora kuliko kina Mandela, Gaddafi, Museveni au Kagame?

2. Kumbe Mandela aliongoza muda mrefu? Kwani unakukuruka hivi kutokea kijiwe kipi ndugu?

3. Kwani wananchi wa Libya, Rwanda au Uganda unadhani wana admiration yoyote kwako na hisia zako kwa viongozi wao?

4. Uliwahi kusikia wasauzi wangapi wamezamia Tanzania? Vipi watanzania na mataifa mengine kama sisi huko mnakoita bondeni?

5. Kumbe Tanzania ina kipi bora au hata Cha maana kuliko huko sauzi ndugu mwana CCM?
Labda alikuwa alivyokuwa jela alikuwa rais pia hahaha jamaa anasema Mandela alikuwa mbinafsi hawa walokole wa JF mtihani sana wakodanganywa na wachungaji wao basi na wao wanakuja kuropoka JF.
 
I wonder ni Jinsi gani hilo shambulizi limefanyika katika ardhi ya Iran?
 
Wanaukumbi.


"Kulipiza kisasi kwa damu ya Ismail Haniyeh ni jukumu letu kwa sababu mauaji yalitokea katika ardhi yetu" - Ayatollah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran.

Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi kwenye jumba la msikiti wa Jamkaran.


View: https://x.com/iranobserver0/status/1818559913167049050?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


View: https://x.com/globeeyenews/status/1818604260600246730?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Wataendelea kupigwa kila siku na mbwembwe zao za mdomoni.
 
hii mbanga wazayuni wanapiga kurjuani ata putin angeshirik kutenda uovu uzayunini angekutana na uzi wa msimbazi aka sanda
Tunaongea facts sio mahaba ya kishabiki kaka hapa.
In the world history inafahamika Russia kapigana vita kubwa ambazo Wazayuni kamwe hawajawahi kupigana na hawaziwezi hata wakipigana.
Russia ndiye aliyempiga Adolft Hitler kwenye world war.
Uje umfananishe na huyu Israel ambaye jeshi lake limevunjwa na Hamas!?
Usifananishe Russia na vitu vya kipumbavu.
 
Wewe endelea kubweka huko Uyole.

Afisa wa Pentagon ya Marekani:

Iran na washirika wake watafanya mashambulizi makali dhidi ya Israel ndani ya saa 72 zijazo.

FM ya Iran imeziarifu Qatar na Saudi Arabia kwamba operesheni ya kijeshi dhidi ya Israel iko karibu, na kuzionya kutoruhusu anga yao kutumika dhidi ya Iran.
Wajaribu waone
 
Wajaribu waone
Wewe mlokole wa Makete hauna unachojua zaidi ya ushabiki mandazi.

⚡️ BREAKING:

Iran’s supreme leader has issued an order for Iran to strike Israel directly following the assassination of Ismael Haniyeh in Tehran

Khamenei gave the order at an emergency meeting of Iran’s Supreme National Security Council on Wednesday morning, according to three Iranian officials briefed on the order.

—New York Times
 
Hujawahi kujiuliza walipokufa kina Kinjekitile, Mkwawa, Ben, Azory, Lijenje au wale wa Kagera ulipata nini?

Bila shaka wewe ni wale Gen Z wa Tanzania mlio busy na jezi za Simba na Yanga wakati wenzenu Kenya wana shape destiny ya nchi yao kwa faida ya watoto wa wajukuu zao.

Bure kabisa!

imhotep hebu ona hii kamanda yenye kibiongo huku.
Ok; Jiandalieni msiba mwingine kwa hiko kitendo mnachokusudia kufanya.
 
Wewe mlokole wa Makete hauna unachojua zaidi ya ushabiki mandazi.

⚡️ BREAKING:

Iran’s supreme leader has issued an order for Iran to strike Israel directly following the assassination of Ismael Haniyeh in Tehran

Khamenei gave the order at an emergency meeting of Iran’s Supreme National Security Council on Wednesday morning, according to three Iranian officials briefed on the order.

—New York Times
ndugu usishabikie bita, muda si mrefu utakuja hapa kulialia kwamba wayahudi ni wakatili. waulize wahuthi kama wamerusha tena drone au wameufyata.
 
kwa hiyo iran inaamini itapigana na israel halafu marekani ambaye amesogeza meli za kivita 12 middle east anyamaze tu? hajui kuwa wenzie wanamchokoza yeye arushe makombora ili wajue uwezo wake umeishia wapi na wampigeje?
 
Mbona unaongea pumba kwani Bush, Trump, Biden uwa wanaenda vitani.
Sio pumba. Hao uliowataja hutokaa uwasikie wakibwabaja, kujitutumua au kutoa kauli-jeuri za kivita. Wapo thabiti na wakitoa kauli huwa ni kauli yenye malengo na inayotekelezeka. Hao kobaaz hutoa kauli za vitisho, kauli zenye mwelekeo wa vurugu, hazina mpangilio na matokeo ya utekelezaji ndo hayo vilio, simanzi na misiba. Bure kabisa kobaaz type.
 
Back
Top Bottom