Sir Khan
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 5,730
- 11,576
Is it the right term in relation to the theme of his post?Reducing the intensity of, making less severe, ....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Is it the right term in relation to the theme of his post?Reducing the intensity of, making less severe, ....
Syria kuna S300 na S400. Hoja yako nini hasa?Rusia huwa hawashauri Iran ?uwezo wa kijeshi wa Rudia na wehu na ubabe wote wa Putin huwezi ona anaichezea Israel, ingekuwa ni kawaida pale Syria, Lebanon Mrusi angekuwa ameshaweka S-300, S-400, lakini ametulia mpaka ndege za Israel zinaingia Beiruti, Tehran, Damascus na kushambulia.
Tell them bhana. Hawajui kuzisoma alama za nyakati - yan Go while the going is good.Huyu ayatollah hataki kujifunza kwa yaliyowapata viongozi wake na huyu Haniya, au anataka kujifunza akiwa mavumbini......Israel is blessed, usipotaka kupatana nao ni kujitafutia balaa tu.
Hizo bro zilikuwa ni kwa maslahi ya Russia tu na S-300 zilishaondolewa.Syria kuna S300 na S400. Hoja yako nini hasa?
Tell them bhana. Hawajui kuzisoma alama za nyakati - yan Go while the going is good.
⚡️NDANI TU: Mkuu wa Majeshi wa Irani: Jibu letu kwa Israeli haliepukiki na litachukua hatua tofauti.So what!!???
Ukisema CIA infidels equals to USA.Ile vita ilipiganwa kwa support ya infidels wa CIA wakiongozwa na Laden ambaye mbeleni walikuja kuzinguana
Ile mifumo muda mrefu inakua inactivated.Syria kuna S300 na S400. Hoja yako nini hasa?
Sasa hapo si ni wewe ndiye hujaelewa. Russia ina maslahi yake Syria na mifumo hiyo ipo kwa ajili ya kulinda maslahi hayo sio kugombana na nchi nyingine zenye uhasama na Syria.Hizo bro zilikuwa ni kwa maslahi ya Russia tu na S-300 zilishaondolewa.
Kumbuka ule msemo: Nguo ya kuazima haisitiri mat*ko
Soma hapa 👇 👇
Does Syria have S-400? (Source: Google)
20 Okt 2022 — Russia still maintains its more advanced S-400 air defense system in Syria, but the missiles are reportedly tasked only with defending Russian ...
While Russia has had the S-400 deployed in Syria for years now, it has deliberately avoided using them to target Israeli warplanes that frequently attack suspected Iran-related targets throughout that war-ravaged country
Kwa hiyo ndo mana ndege za Myahudi au makobora dhidi ya Syria hazidhuri kwa uwepo wa mifumo hiyo Syria au sio.Sasa hapo si ni wewe ndiye hujaelewa. Russia ina maslahi yake Syria na mifumo hiyo ipo kwa ajili ya kulinda maslahi hayo sio kugombana na nchi nyingine zenye uhasama na Syria.
Russia uwepo wake Syria unagusa maslahi ya Israel.Kwa hiyo ndo mana ndege za Myahudi au makobora dhidi ya Syria hazidhuri kwa uwepo wa mifumo hiyo Syria au sio.
Mkuu anayelialia mbona anajulikana. Au kwenye maisha yako umewahi kukutana na #JusticeForMayaudi?Msirudi kuanza kulia lia hapa mkianza pigwa