Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi

Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi

Hamas believes that the message of Islam upholds the values of truth, justice, freedom and dignity and prohibits all forms of injustice and incriminates oppressors irrespective of their religion, race, gender or nationality.

Hamas inaamini kwamba ujumbe wa Uislamu unasimamia thamani za ukweli, uadilifu, uhuru na utu na unakataza aina zote za dhuluma na kuwatia hatiani madhalimu bila kujali dini, rangi, jinsia au utaifa wao.

Haaahhhh...Tunaona kwa Boko Haram na Sudan......Mifano ni ming mno....Ujumbe unaotaka kurudisha dunia Karne ya Saba......Ujumbe ambao ni static.....stale.....Mpaka sasa unalazimisha wanawake wafunge Vilemba......Mkuu ujumbe au tafsri yao ya Uislamu ni ujima....Period!
 
Kama umeweza kutengeneza mabomu, makombora, drone na bunduki (silaha za kivita) ambazo ni za kisasa utashindwa kutengeneza TV, Satelite, computer, simu na bidhaa zingine za kutumia majumbani?
Nchi zinazoamini ⭐🌙 ni za kijinga na kipuuzi, zinawaza vita (kuuana) na kuwaita watu makafiri Ila ukija kwenye maendeleo wanawategemea makafiri.
Watu wa ⭐🌙 kutengeneza makombora na kurusha toka Iran mpaka Israel kwenda kuua kwao ndiyo maendeleo ila ukija kwenye maendeleo ya kiuchumi 98% wanategemea makafiri. Mfumo wa elimu, usafiri, umeme, simu, afya n.k
Hapa Tanzania waislamu hawana hospitali hata moja, chuo kikuu kipo kimoja tena walipewa. Hawana hata mpango wa maendeleo ila sasa wakisema mambo ya kuua, watakuwa na umoja. Watashirikiana hata na mabomu na makombora ya kuwaua makafiri watatengeneza
Siku zote upumbavu ni kujitia ujuaji kwenye kitu usicho kijua.
Ebu kwanza nitajie gari ,simu ,frige,au hata pasi tu inayo tengenezwa na kampuni kutoka ndani ya Israel.
Hebu nenda kwenye tovuti ya sekita ya viwanda ya Iran uone orodha ya vitu inavyo tengeneza alafu uje urudi hapa kuongea uharo wako hapa.

Hii Iran unayo iongea inazalisha bidhaa za viwandani zaidi ya mara tatu ya anazo zalisha Israel.
Iran ndo mtengenezaji wa magari mkubwa kuliko nchi yeyote hapo mashariki ya kati.
Iran ndo mzalishaji na msambazaji mkubwa wa umeme hapo mashariki ya kati.
Iran ni mojawapo ya mataifa machache yanayo miliki teknolojia ya hali ya juu ya uchimbaji wa gesi hapa duniani.

Iran inazalisha bidhaa za viwandani zenye thamani ya bilion 50$ kwa mwaka wakati nchi yako iliyo jaa mazezeta kama ww, uwezo wake kiviwanda haufiki hata bilion 3$ kwa mwaka.
Wakati taifa lako linahangaika kufikia megawatt 3000za umeme Iran inazalisha zaidi ya megawatt laki 2 na ushenzi.
Huna unalo lijua kazi kujitia ujuaji.
 


Haaah.....sasa huyo mwenye kilemba ataondoka......Picha ilipigwa mchana kabla jamaa hajauawa.....Kwangu mimi aliyemuuza ni huyo Jamaa wa Islamic Jihad.....

1722456457439.png
 
Siku zote upumbavu ni kujitia ujuaji kwenye kitu usicho kijua.
Ebu kwanza nitajie gari ,simu ,frige,au hata pasi tu inayo tengenezwa na kampuni kutoka ndani ya Israel.
Hebu nenda kwenye tovuti ya sekita ya viwanda ya Iran uone orodha ya vitu inavyo tengeneza alafu uje urudi hapa kuongea uharo wako hapa.

Hii Iran unayo iongea inazalisha bidhaa za viwandani zaidi ya mara tatu ya anazo zalisha Israel.
Iran ndo mtengenezaji wa magari mkubwa kuliko nchi yeyote hapo mashariki ya kati.
Iran ndo mzalishaji na msambazaji mkubwa wa umeme hapo mashariki ya kati.
Iran ni mojawapo ya mataifa machache yanayo miliki teknolojia ya hali ya juu ya uchimbaji wa gesi hapa duniani.

Iran inazalisha bidhaa za viwandani zenye thamani ya bilion 50$ kwa mwaka wakati nchi yako iliyo jaa mazezeta kama ww, uwezo wake kiviwanda haufiki hata bilion 3$ kwa mwaka.
Wakati taifa lako linahangaika kufikia megawatt 3000za umeme Iran inazalisha zaidi ya megawatt laki 2 na ushenzi.
Huna unalo lijua kazi kujitia ujuaji.

Mkuu ni Iran hiyo ambayo Rais alikufa kwa kuwa Chopa iliyochoka....!!!!!
 
Ona huyu anaongea nini.
Israel miaka yote anajua Russia ipo Syria ila hajawahi kuthubutu hata siku moja kushambulia kambi ya Russia.
Na 2021 aliwasaidia Syria kudungua f-35 tatu za Israel na Israel haki respond chochote.
Russia achana naye.
hii mbanga wazayuni wanapiga kurjuani ata putin angeshirik kutenda uovu uzayunini angekutana na uzi wa msimbazi aka sanda
 
Wanaukumbi.


"Kulipiza kisasi kwa damu ya Ismail Haniyeh ni jukumu letu kwa sababu mauaji yalitokea katika ardhi yetu" - Ayatollah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran.

Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi kwenye jumba la msikiti wa Jamkaran.


View: https://x.com/iranobserver0/status/1818559913167049050?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


View: https://x.com/globeeyenews/status/1818604260600246730?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Huyu Mzee kama atajigusa ndio atajuwa hajuwi yaani wajanja wanamtamani kuliko anavyo fikiri. Yaani atabiruzwa ndani ya Taifa lake ameuwa sana ndani na nje nadhani niwakati wakumakumalizia. Hili shambuliz lakimkakati na Israel mtoto wa mjini hajatoa comment sasa ajichanganye nataka muweke kumbukumbu Irani itakuwa masikini kwa miaka 100 ijayo kwa kosa lakuishambulia ISRAE. URUSI SIDHANI KAMA ATATIMBA MIGUU YAKE WALA CHINA KWA HILI
 
Siku zote upumbavu ni kujitia ujuaji kwenye kitu usicho kijua.
Ebu kwanza nitajie gari ,simu ,frige,au hata pasi tu inayo tengenezwa na kampuni kutoka ndani ya Israel.
Hebu nenda kwenye tovuti ya sekita ya viwanda ya Iran uone orodha ya vitu inavyo tengeneza alafu uje urudi hapa kuongea uharo wako hapa.

Hii Iran unayo iongea inazalisha bidhaa za viwandani zaidi ya mara tatu ya anazo zalisha Israel.
Iran ndo mtengenezaji wa magari mkubwa kuliko nchi yeyote hapo mashariki ya kati.
Iran ndo mzalishaji na msambazaji mkubwa wa umeme hapo mashariki ya kati.
Iran ni mojawapo ya mataifa machache yanayo miliki teknolojia ya hali ya juu ya uchimbaji wa gesi hapa duniani.

Iran inazalisha bidhaa za viwandani zenye thamani ya bilion 50$ kwa mwaka wakati nchi yako iliyo jaa mazezeta kama ww, uwezo wake kiviwanda haufiki hata bilion 3$ kwa mwaka.
Wakati taifa lako linahangaika kufikia megawatt 3000za umeme Iran inazalisha zaidi ya megawatt laki 2 na ushenzi.
Huna unalo lijua kazi kujitia ujuaji.
Umesahau Iran anamiliki hayo matako yako pia.
 
Sema hawa jamaaa wana mbwembwe🤣. Nikisikia hii bendera nyukundu nafananisha na ile ya Shulen et JINA LAKO KTK BLACK BOOK.

Mimi wazo langu, tunasikiaga habari za Albadiri na zingine, kuweza ku command majini walipize kisasi etc. Why hawa jamaa wasipigane in a smart way? Watulie zao kwao, kila msikti uanze kusoma, WHY TROUBLED themselves.

Matamko meengi ishara ya udhaifu.

Blackbook = Red flag.

Wenzao Mossad wana winda kimya kimya wanaua, usiri ukamilisho hawana matangazo.
😂😂😂Kwa hivyo unasemaje waisome albadiri MOSSAD wote wawe vichaa
 
Ajatollah akirusha hata njiti ya kiberit Israel mwisho wake utakuwa umefika...
Muda msema kweli
 
Huyu Mzee kama atajigusa ndio atajuwa hajuwi yaani wajanja wanamtamani kuliko anavyo fikiri. Yaani atabiruzwa ndani ya Taifa lake ameuwa sana ndani na nje nadhani niwakati wakumakumalizia. Hili shambuliz lakimkakati na Israel mtoto wa mjini hajatoa comment sasa ajichanganye nataka muweke kumbukumbu Irani itakuwa masikini kwa miaka 100 ijayo kwa kosa lakuishambulia ISRAE. URUSI SIDHANI KAMA ATATIMBA MIGUU YAKE WALA CHINA KWA HILI

View: https://x.com/currentreport1/status/1818811035580875102?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Ajatollah akirusha hata njiti ya kiberit Israel mwisho wake utakuwa umefika...
Muda msema kweli
Wewe endelea kubweka huko Uyole.

Afisa wa Pentagon ya Marekani:

Iran na washirika wake watafanya mashambulizi makali dhidi ya Israel ndani ya saa 72 zijazo.

FM ya Iran imeziarifu Qatar na Saudi Arabia kwamba operesheni ya kijeshi dhidi ya Israel iko karibu, na kuzionya kutoruhusu anga yao kutumika dhidi ya Iran.
 
Wewe endelea kubweka huko Uyole.

Afisa wa Pentagon ya Marekani:

Iran na washirika wake watafanya mashambulizi makali dhidi ya Israel ndani ya saa 72 zijazo.

FM ya Iran imeziarifu Qatar na Saudi Arabia kwamba operesheni ya kijeshi dhidi ya Israel iko karibu, na kuzionya kutoruhusu anga yao kutumika dhidi ya Iran.
Mikwara mbuzi hii.
 
Mbwembwe na mikwara ya mbwa koko hiyo.

Ukifuatilia comments za waajemi wa JF unaweza dhania Iran ni bonge la nchi na superpower country kumbe hamna lolote. Ni sawa na Burundi tu.
Netanyahu anaomba msaada Marekani wampige Iran wewe mlokole wa Buzebazeba nani anakujua.
#BREAKING Iran’s new FM has issued a notice to Qatar and Saudi Arabia that there will soon be a military operation launched against Israel and warned them that their air space is not to be used against Iran.
 
Back
Top Bottom