Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,723
- 7,408
InshallahWatamuenzi sana huyo Mzee Neta kwa msaada walioupokea kutoka kwake wa kuwahishwa kwa mabikra 72 na mito ya pombe. Kobaaz wote semeni Inshallah.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
InshallahWatamuenzi sana huyo Mzee Neta kwa msaada walioupokea kutoka kwake wa kuwahishwa kwa mabikra 72 na mito ya pombe. Kobaaz wote semeni Inshallah.
Niende shule gani ya madrasa au ya makafiri (yenye mtaala wa makafiri)?Soma nilichokupa, comparative and absolute advantage,muwe mnaenda shule,Kuna kitu gani Cha Norway unachotumia!? Canada? Denmark?
Israel hajawahi kuwa mchokozi. Mara zote waarabu ndio wanaanzisha vita na Israel hana jinsi zaidi ya kujilinda.Kama kidume kulikoni kuvuta wengine?
Iran hamvuti yeyote kwenye hili.
Kama kidume si avue gloves zipigwe kavu kavu.
Uchokozi kwa sababu ya kukingiwa kifua na wanaume ni upumbafu!
Au wewe huoni hivyo ndugu?
Mandela aliwauza wafrika wenzake kwa makaburu ndiyo maana wanaomiliki uchumi mkubwa wengi South ni makaburu1. Kumbe wewe usiyekuwa mnafiki umefanya nini wapi?
2. Mwenye akili kuliko Mandela mwenye Nobeli kibindoni utakuwa wewe mwenye CV isiyojulikana?
3. Watu kama wewe tuliwahi waandikia uzi:
Mbowe, Lissu nidhamu inaporejea wafundeni wafuasi heshima
4. Kuweni na heshima na waliowazidi katika kila hali.
5. Kwamba umzodoe wewe wapi Mandela ndugu? Hamjihurumii?!
6. Makasiriko hayatawasaidia kuondoa ujinga na upumbafu ulioitwa ulofa na BM (rip)
Habari ndiyo hiyo ndugu.
Na wewe kaombe msaada kwa mabwana zako IranJuzi netanyahu alikua USA kuomba msaada kuikabili Iran.
Naona wewe sasa unatafuta bao la kufutia machozi.Wahouth wamefunga red sea huko Marekani na Ulaya pamoja na israel wamekimbia.
Kamuulize netanyahuTuambie alivyoomba msaada akapewa nini?
Endeleeni kujifariji hasa wakati huu mgumu kwenu.
😂😂😂😂Huyo anayesema soma HISTORIA sasa hajui hata ukweli wa HISTORIA yenyewe.Israel hajawahi kuwa mchokozi. Mara zote waarabu ndio wanaanzisha vita na Israel hana jinsi zaidi ya kujilinda.
Soma historia
Unaropoka nini wewe!?Tuambie alivyoomba msaada akapewa nini?
Endeleeni kujifariji hasa wakati huu mgumu kwenu.
Wanaukumbi.
"Kulipiza kisasi kwa damu ya Ismail Haniyeh ni jukumu letu kwa sababu mauaji yalitokea katika ardhi yetu" - Ayatollah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran.
Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi kwenye jumba la msikiti wa Jamkaran.
View: https://x.com/iranobserver0/status/1818559913167049050?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
View: https://x.com/globeeyenews/status/1818604260600246730?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wewe ndio hujui historia. Kati ya vita vyote walivyopigana walianza kwanza kushambuliwa na hivyo kujibu mapigo.😂😂😂😂Huyo anayesema soma HISTORIA sasa hajui hata ukweli wa HISTORIA yenyewe.
Assassinating Haniya is an empty victory image that reeks of desperation & malevolence.Hivi huyu panya ni nani anajitafutia ujiko kwa kumtisha giant 🇱🇷?
😂😂😂😂Aya uko sahihi.Wewe ndio hujui historia. Kati ya vita vyote walivyopigana walianza kwanza kushambuliwa na hivyo kujibu mapigo.
Hata Oct 7 Hamas ndio walianza mashambulizi
Hawa political leader ndio matatizo kuliko wanajeshi. Kumbuka alikuwa kwenye list ya most wanted ya Orodha ya magaidi wakubwa duniani. Wame strike at the center of the target. Kudos 🇮🇱💪🇮🇱Assassinating Haniya is an empty victory image that reeks of desperation & malevolence.
He was a politician not a militant leader. Israeli media themselves admit his killing will have minimal effect on Hamas' operations.
But it'll dramatically impact internal power dynamics🧵
Naona wewe sasa unatafuta bao la kufutia machozi.
Political leaders ndio wanatoa amri kwa magaidi kushambulia.Assassinating Haniya is an empty victory image that reeks of desperation & malevolence.
He was a politician not a militant leader. Israeli media themselves admit his killing will have minimal effect on Hamas' operations.
But it'll dramatically impact internal power dynamics🧵
Wanaukumbi.
"Kulipiza kisasi kwa damu ya Ismail Haniyeh ni jukumu letu kwa sababu mauaji yalitokea katika ardhi yetu" - Ayatollah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran.
Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi kwenye jumba la msikiti wa Jamkaran.
View: https://x.com/iranobserver0/status/1818559913167049050?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
View: https://x.com/globeeyenews/status/1818604260600246730?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Hufahamu historia ya Hamas Israel kaishawau viongozi wengi akiwemo muasisi wa Hamas lakini ndiyo kwanza wanazidi kupata nguvu wagalatia wengi hawafahamu kama Hamas ni Ideology siyo mtu.Hawa political leader ndio matatizo kuliko wanajeshi. Kumbuka alikuwa kwenye list ya most wanted ya Orodha ya magaidi wakubwa duniani. Wame strike at the center of the target. Kudos 🇮🇱💪🇮🇱