Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi

Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi

Soma nilichokupa, comparative and absolute advantage,muwe mnaenda shule,Kuna kitu gani Cha Norway unachotumia!? Canada? Denmark?
Niende shule gani ya madrasa au ya makafiri (yenye mtaala wa makafiri)?
Bidhaa zinazotengenezwa Iran ni za kawaida sana haina tofauti na sisi ila bidhaa nyingi wanaotumia wanaimport kutoka kwenye nchi za makafiri.
Ila sasa kwenye kutengeneza mabomu na makombora ya vita wako vizuri.
Raisi wao alikufa kwenye ndege iliyotengenezwa Marekani yenye umri wa miaka 47 ila sasa cha ajabu anarusha kombora alilotengeneza yeye kutoka Iran mpaka Israel na linatua 😀😀😀😀
Waabudu ⭐🌙 hawajawahi kuwa na akili hata kuniambia sijaenda shule ni shule ya yenye mtaala wa makafiri ila elimu yao ni kujua kiarabu na majini
 
Kama kidume kulikoni kuvuta wengine?

Iran hamvuti yeyote kwenye hili.

Kama kidume si avue gloves zipigwe kavu kavu.

Uchokozi kwa sababu ya kukingiwa kifua na wanaume ni upumbafu!

Au wewe huoni hivyo ndugu?
Israel hajawahi kuwa mchokozi. Mara zote waarabu ndio wanaanzisha vita na Israel hana jinsi zaidi ya kujilinda.
Soma historia
 
1. Kumbe wewe usiyekuwa mnafiki umefanya nini wapi?

2. Mwenye akili kuliko Mandela mwenye Nobeli kibindoni utakuwa wewe mwenye CV isiyojulikana?

3. Watu kama wewe tuliwahi waandikia uzi:

Mbowe, Lissu nidhamu inaporejea wafundeni wafuasi heshima

4. Kuweni na heshima na waliowazidi katika kila hali.

5. Kwamba umzodoe wewe wapi Mandela ndugu? Hamjihurumii?!

6. Makasiriko hayatawasaidia kuondoa ujinga na upumbafu ulioitwa ulofa na BM (rip)

Habari ndiyo hiyo ndugu.
Mandela aliwauza wafrika wenzake kwa makaburu ndiyo maana wanaomiliki uchumi mkubwa wengi South ni makaburu
1. Mpaka sasa waathirika wa Apartheid policy hawajapata haki zao.
2. Mandela alikuwa mbinafsi, aliongoza nchi kwa muda Mrefu kwa kujiona yeye ana akili kuliko wengine. Ni moja ya watu madikiteka ni sawa na Kagame, Mseveni na Ghadafi
3. Kama wananchi wake wanaua raia wageni na kupora mali kwa kisingizio kuwa wanaziba ridhiki zao. Mpaka sasa hakuna kesi
4. South Africa imejaa uuzaji wa madawa ya kulevya na mauaji holela. Kuuza madawa ya kulevya south ni kama kuuza kuku
5. Mandela ni mnafiki na alikuwa anataka ajulikane. Ameshindwa kuisaidia Congo zidi ya vita, aisaidie Palestina😀😀😀
 
Tuambie alivyoomba msaada akapewa nini?

Endeleeni kujifariji hasa wakati huu mgumu kwenu.
Unaropoka nini wewe!?
-Msaada wa fedha kuokoa uchumi wake alipewa na USA na UK.
-Silaha za kupambana tokea Octoba 7 mpaka leo alipata US na UK.
-Shambulizi la Hodeidah pia alisaidiwa.

Unabisha nini wewe!?
 
😂😂😂😂Huyo anayesema soma HISTORIA sasa hajui hata ukweli wa HISTORIA yenyewe.
Wewe ndio hujui historia. Kati ya vita vyote walivyopigana walianza kwanza kushambuliwa na hivyo kujibu mapigo.
Hata Oct 7 Hamas ndio walianza mashambulizi
 
Hivi huyu panya ni nani anajitafutia ujiko kwa kumtisha giant 🇱🇷?
Assassinating Haniya is an empty victory image that reeks of desperation & malevolence.

He was a politician not a militant leader. Israeli media themselves admit his killing will have minimal effect on Hamas' operations.

But it'll dramatically impact internal power dynamics🧵
 
Assassinating Haniya is an empty victory image that reeks of desperation & malevolence.

He was a politician not a militant leader. Israeli media themselves admit his killing will have minimal effect on Hamas' operations.

But it'll dramatically impact internal power dynamics🧵
Hawa political leader ndio matatizo kuliko wanajeshi. Kumbuka alikuwa kwenye list ya most wanted ya Orodha ya magaidi wakubwa duniani. Wame strike at the center of the target. Kudos 🇮🇱💪🇮🇱
 
Assassinating Haniya is an empty victory image that reeks of desperation & malevolence.

He was a politician not a militant leader. Israeli media themselves admit his killing will have minimal effect on Hamas' operations.

But it'll dramatically impact internal power dynamics🧵
Political leaders ndio wanatoa amri kwa magaidi kushambulia.

Kuna video ikimuonesha Haniyeh na viongozi wenzake wakishangilia kuona vijana wao wanavyofanya mauaji ya kikatili dhidi ya wayahudi Oct 7
 
Hawa political leader ndio matatizo kuliko wanajeshi. Kumbuka alikuwa kwenye list ya most wanted ya Orodha ya magaidi wakubwa duniani. Wame strike at the center of the target. Kudos 🇮🇱💪🇮🇱
Hufahamu historia ya Hamas Israel kaishawau viongozi wengi akiwemo muasisi wa Hamas lakini ndiyo kwanza wanazidi kupata nguvu wagalatia wengi hawafahamu kama Hamas ni Ideology siyo mtu.
 
Back
Top Bottom