Iyerdoi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 2,717
- 3,895
Yes. The guy(Putin) is clever. Analijua timbwili la Myahudi.Rusia huwa hawashauri Iran ?uwezo wa kijeshi wa Rudia na wehu na ubabe wote wa Putin huwezi ona anaichezea Israel, ingekuwa ni kawaida pale Syria, Lebanon Mrusi angekuwa ameshaweka S-300, S-400, lakini ametulia mpaka ndege za Israel zinaingia Beiruti, Tehran, Damascus na kushambulia.