Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi

Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi

Rusia huwa hawashauri Iran ?uwezo wa kijeshi wa Rudia na wehu na ubabe wote wa Putin huwezi ona anaichezea Israel, ingekuwa ni kawaida pale Syria, Lebanon Mrusi angekuwa ameshaweka S-300, S-400, lakini ametulia mpaka ndege za Israel zinaingia Beiruti, Tehran, Damascus na kushambulia.
Yes. The guy(Putin) is clever. Analijua timbwili la Myahudi.
 
Wanaukumbi.


"Kulipiza kisasi kwa damu ya Ismail Haniyeh ni jukumu letu kwa sababu mauaji yalitokea katika ardhi yetu" - Ayatollah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran.

Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi kwenye jumba la msikiti wa Jamkaran.


View: https://x.com/iranobserver0/status/1818559913167049050?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


View: https://x.com/globeeyenews/status/1818604260600246730?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Atakakejaribu atauona moto.
Poleni kwa msiba ila kama myahudi katekeleza shambulio hilo ndani ya Iran ningeshauri Iran a anyamaze tu.
Muisraeli ni habari nyingine
 
Halafu mwisho wa siku unapata nini ukifa? Kwani taratibu nyingine za kawaida zimeisha?

Hujawahi kujiuliza walipokufa kina Kinjekitile, Mkwawa, Ben, Azory, Lijenje au wale wa Kagera ulipata nini?

Bila shaka wewe ni wale Gen Z wa Tanzania mlio busy na jezi za Simba na Yanga wakati wenzenu Kenya wana shape destiny ya nchi yao kwa faida ya watoto wa wajukuu zao.

Bure kabisa!

imhotep hebu ona hii kamanda yenye kibiongo huku.
 
Atakakejaribu atauona moto.
Poleni kwa msiba ila kama myahudi katekeleza shambulio hilo ndani ya Iran ningeshauri Iran a anyamaze tu.
Muisraeli ni habari nyingine

Iran hivi sasa inafanya mkutano wa dharura wa Baraza lake Kuu la Usalama wa Kitaifa katika makazi ya Khamenei, tukio ambalo hutokea tu katika hali isiyo ya kawaida.

Kamanda wa Kikosi cha Quds pia anahudhuria.
 
Ukiwa unaoga mtoni halafu akatokea kichaa akazinyakua nguo zako na kukimbia nazo ni busara sana ww mwache usimkimbize. People may not notice the difference.
⚡️🇮🇷🇵🇸BREAKING: Kauli ya kiongozi mkuu wa Iran Khamenei kuhusu mauaji ya Ismail Haniyeh

“Utawala wa Kizayuni wa jinai na kigaidi ulimuua shahidi mgeni wetu mpendwa katika ardhi yetu na umesababisha huzuni yetu, lakini pia umetayarisha uwanja wa adhabu kali.

Kufuatia tukio hili chungu na la kusikitisha ambalo limetokea ndani ya mipaka ya Jamhuri ya Kiislamu, ni wajibu wetu kulipiza kisasi.”
 
Iran hivi sasa inafanya mkutano wa dharura wa Baraza lake Kuu la Usalama wa Kitaifa katika makazi ya Khamenei, tukio ambalo hutokea tu katika hali isiyo ya kawaida.

Kamanda wa Kikosi cha Quds pia anahudhuria.
Quote: "Kamanda wa Kikosi cha Quds pia anahudhuria".
Mkuu, Mbona lakini umemsahau Mjumbe muhimu sana(Yule mtoa roho) pia naye anahudhuria? - hujamtendea haki aisee.
 
Rusia huwa hawashauri Iran ?uwezo wa kijeshi wa Rudia na wehu na ubabe wote wa Putin huwezi ona anaichezea Israel, ingekuwa ni kawaida pale Syria, Lebanon Mrusi angekuwa ameshaweka S-300, S-400, lakini ametulia mpaka ndege za Israel zinaingia Beiruti, Tehran, Damascus na kushambulia.
acha kuifananisha russia na taka taka zingne wewe!!!! wale ni up in the air
 
Wanaukumbi.


"Kulipiza kisasi kwa damu ya Ismail Haniyeh ni jukumu letu kwa sababu mauaji yalitokea katika ardhi yetu" - Ayatollah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran.

Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi kwenye jumba la msikiti wa Jamkaran.


View: https://x.com/iranobserver0/status/1818559913167049050?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


View: https://x.com/globeeyenews/status/1818604260600246730?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Sema hawa jamaaa wana mbwembwe🤣. Nikisikia hii bendera nyukundu nafananisha na ile ya Shulen et JINA LAKO KTK BLACK BOOK.

Mimi wazo langu, tunasikiaga habari za Albadiri na zingine, kuweza ku command majini walipize kisasi etc. Why hawa jamaa wasipigane in a smart way? Watulie zao kwao, kila msikti uanze kusoma, WHY TROUBLED themselves.

Matamko meengi ishara ya udhaifu.

Blackbook = Red flag.

Wenzao Mossad wana winda kimya kimya wanaua, usiri ukamilisho hawana matangazo.
 
Sema hawa jamaaa wana mbwembwe🤣. Nikisikia hii bendera nyukundu nafananisha na ile ya Shulen et JINA LAKO KTK BLACK BOOK.

Mimi wazo langu, tunasikiaga habari za Albadiri na zingine, kuweza ku command majini walipize kisasi etc. Why hawa jamaa wasipigane in a smart way? Watulie zao kwao, kila msikti uanze kusoma, WHY TROUBLED themselves.

Matamko meengi ishara ya udhaifu.

Blackbook = Red flag.

Wenzao Mossad wana winda kimya kimya wanaua, usiri ukamilisho hawana matangazo.

View: https://x.com/nadira_ali12/status/1818576820218024194?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Back
Top Bottom