The response to an assassination will indeed be special operations—harder and intended to instill deep regret in the perpetrator.Rusia huwa hawashauri Iran ?uwezo wa kijeshi wa Rudia na wehu na ubabe wote wa Putin huwezi ona anaichezea Israel, ingekuwa ni kawaida pale Syria, Lebanon Mrusi angekuwa ameshaweka S-300, S-400, lakini ametulia mpaka ndege za Israel zinaingia Beiruti, Tehran, Damascus na kushambulia.
The response to an assassination will indeed be special operations—harder and intended to instill deep regret in the perpetrator.Netanyahu kashasema mbwai mbwai,mpaka amalize muhula wake mwungine atakuwa amalaza viongozi wa kutosha wa jua na mwezi
Atakakejaribu atauona moto.
Poleni kwa msiba ila kama myahudi katekeleza shambulio hilo ndani ya Iran ningeshauri Iran a anyamaze tu.
Muisraeli ni habari nyingine
Yatupeni we need vitendo, mnapiga kelele sanaaaa.
Hata mm sitaki kusikia hivyo vilioMsirudi kuanza kulia lia hapa mkianza pigwa
all Hamas leaders were walking dead men. “They are living on borrowed time,”Wanaukumbi.
"Kulipiza kisasi kwa damu ya Ismail Haniyeh ni jukumu letu kwa sababu mauaji yalitokea katika ardhi yetu" - Ayatollah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran.
Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi kwenye jumba la msikiti wa Jamkaran.
View: https://x.com/iranobserver0/status/1818559913167049050?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
View: https://x.com/globeeyenews/status/1818604260600246730?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Yaaaani hao Houthi wanalia na kusaga meno wew huku kusini mwa jangwa la sahara unajifariji.. Kweli kama ni undugu wa imani umeenda beyondWahouth wamefunga red sea huko Marekani na Ulaya pamoja na israel wamekimbia.
Hao waarabu wame panic, naona sasa wanamtisha mpaka Biden, kama hawawezi kujilinda wenyewe, hawawezi kuwalinda wageni wao, hao kwangu nawaona wako uchi, vyema watulie wafiche nyeti zao zisiendelee kuchakazwa.
The fact is, Netanyahu ahitaji ruhusa ya yeyote kuwatandika, anawatandika siku yoyote akiamua, muamerika atake au asitake, apende au hasipende.
Hivyo wasipoteze muda wao, na vinguvu kidogo walivyonavyo kuongeza maadui, hawatawaweza, haya mambo ni zaidi ya propaganda ili kuwafurahisha raia wao.
Umefanya nikumbuke mbaliIran hivi sasa inafanya mkutano wa dharura wa Baraza lake Kuu la Usalama wa Kitaifa katika makazi ya Khamenei, tukio ambalo hutokea tu katika hali isiyo ya kawaida.
Kamanda wa Kikosi cha Quds pia anahudhuria.
Jana Kaingia bunker kujifichaNetanyahu kashasema mbwai mbwai,mpaka amalize muhula wake mwungine atakuwa amalaza viongozi wa kutosha wa jua na mwezi
Kiingereza hujui,Iran alipiga Israel na dunia nzima ikaisaidia kudungua makombora,houthi wamepiga ndani kabisa ya Israel kwa drone ambayo hawakuiona, hizbullah wanapiga picha ndani ya Israel daily na kurusha video tuoneHow weak is Iran? Wanabamizwa kila siku kwenye ardhi yao wao ni kutoa vitisho tu, intelligence yao ina uwezo mdogo kiasi gani?
How about waache maneno meengi wapige action?The response to an assassination will indeed be special operations—harder and intended to instill deep regret in the perpetrator.
Kiingereza hujui,Iran alipiga Israel na dunia nzima ikaisaidia kudungua makombora,houthi wamepiga ndani kabisa ya Israel kwa drone ambayo hawakuiona, hizbullah wanapiga picha ndani ya Israel daily na kurusha video tuone
Rais gani wa Iran kauawa na Israel!?..we kiazi kweli,siyo sera ya Iran kuua viongozi wa taifa jingine,halafu ni kiongozi gani wa Iran kauawa na Israel!?..Kiongozi gani wa Israel kafa in the process? Kuua civilians nayo ni sifa?
Viongozi wangapi wa Iran wameuwawa hadi sasa huku everybody and their grandmas know ni mkono wa Israel? Hadi Rais wa nchi anauwawa wao ni kutoa vitisho tu. Hawa Iran ni mbwa koko all bark no bite.
DroneKwanza tujibu imekuwaje kauliwa bila nyie kujua kuwa kuna kombola liko njiani?
Netanyahu yupo kwenye bunker toka janaKwanza tujibu imekuwaje kauliwa bila nyie kujua kuwa kuna kombola liko njiani?