Iran ilitumia silaha aina mpya kisiri na zote zilipigwa chini kizembe, aibu sana

Iran ilitumia silaha aina mpya kisiri na zote zilipigwa chini kizembe, aibu sana

Mazayuni:. Iran wakirusha hata jiwe ndiyo utakuwa mwisho wa Ayatollah



Ayatollah kapiga kwenye mshono wamebadili gia angani😀
Na wairan wanajiandaa kwa kufanya mazoezi makali mnoo ya kijeshi heb mcheki muiran huyo mzayuni gan atatoboa hapo
1000005087.jpg
1000005087.jpg
 
Ukianglia historia kwa kiasi kikubwa utakuta iran. Imepata madhara sana kutoka kwa Israel.

Ukweli ni kwamba Israel imeua wairana wengi sana hasa viongozi ndo wanadili nao,
Wale watu muhimu sana kwa ustwawi wa iran katika ulizi.
Kama wanasayansi wengi wa iran waliuwawa na Israel
 
Back
Top Bottom