Ukianglia historia kwa kiasi kikubwa utakuta iran. Imepata madhara sana kutoka kwa Israel.
Ukweli ni kwamba Israel imeua wairana wengi sana hasa viongozi ndo wanadili nao,
Wale watu muhimu sana kwa ustwawi wa iran katika ulizi.
Kama wanasayansi wengi wa iran waliuwawa na Israel