Iran imeagiza mzigo wa kutosha pamoja na specialist toka China na Russia

Iran imeagiza mzigo wa kutosha pamoja na specialist toka China na Russia

Attachments

  • IMG_20240801_010243.jpg
    IMG_20240801_010243.jpg
    73.9 KB · Views: 2
Hizi imani za dini za kuletewa ni shida sana, kwa hiyo hao Iran wakiipiga Israel basi wenyewe Israel watakuwa wamesinzia tu......!!!😧😧😲😲
 
Wananchi wa Iran waepushe kuteketezwa wamuondoe Grand Ayatolah na Mashehe wake kwa Popular Uprising.
 
🚨Haijafahamika ni kwa dhumuni gani ila Iran imeagiza zana nzito toka Russia na China huku kuliwa na hofu kua ameagiza Electronic Jamming System na Iskender missile. Pia wamesisitiza specialist wa hizo wawepo kwa ajili kuinstall zana hizo.

Update: Reports that Iran has requested an emergency purchase and shipment of advanced weapons from both Russia and China and specialist to help them deploy them immediately! These weapons include advanced electronic warfare systems to protect Tehran!! Iran will not attack Israel until these weapons are active

View attachment 3060697
yaani hata marekani angesimama kupigana na israel, maumivu yatakuwepo ila at the end of the day, israel itashinda kwasababu ya Mungu wa Israel, na wote msiomwamini Mungu huo mtaona kwa macho yenu ili pengine muamini. Israel will win this war.
 
Inakisiwa tayari Iskender zimeshatua

BREAKING 🔥🚨 #Iran may launch a Russian Iskander ballistic missile towards Israel in RETALIATION of Ismail Haniyeh's Assassination.
Endelea kukisia hivyo hivyo ............kosa moja ..........mabao mia moja
 
JUST IN: 🇮🇷 🇷🇺 Continuous stream of IL-96 cargo planes detected flying from Russia to Iran, raising suspicions of a massive transfer of heavy military equipment between the two nations.

Is Russia arming Iran for a potential war with Israel?JUST IN: 🇮🇷 🇷🇺 Continuous stream of IL-96 cargo planes detected flying from Russia to Iran, raising suspicions of a massive transfer of heavy military equipment between the two nations.

Is Russia arming Iran for a potential war with Israel?
 
🇮🇷 🇷🇺 Continuous stream of IL-96 cargo planes detected flying from Russia to Iran, raising suspicions of a massive transfer of heavy military equipment between the two nations.

Is Russia arming Iran for a potential war with Israel?🇮🇷 🇷🇺 Continuous stream of IL-96 cargo planes detected flying from Russia to Iran, raising suspicions of a massive transfer of heavy military equipment between the two nations.

Is Russia arming Iran for a potential war with Israel?
 

Attachments

  • IMG_20240804_023428.jpg
    IMG_20240804_023428.jpg
    196.5 KB · Views: 3
SAY9545, a 🇷🇺 Russian Sky Gates Airlines Ilyushin Il-96-400T Cargo Aircraft (Reg. RA-96103) departed from Moscow Zhukovsky International Airport and landed at 🇦🇪 Al Maktoum International Airport (UAE). It's worth noting that the aircraft switched off its transponders over 🇮🇷 Shiraz International Airport (Iran).
 

Attachments

  • IMG_20240804_024146.jpg
    IMG_20240804_024146.jpg
    184.4 KB · Views: 2
🚨Haijafahamika ni kwa dhumuni gani ila Iran imeagiza zana nzito toka Russia na China huku kuliwa na hofu kua ameagiza Electronic Jamming System na Iskender missile. Pia wamesisitiza specialist wa hizo wawepo kwa ajili kuinstall zana hizo.

Update: Reports that Iran has requested an emergency purchase and shipment of advanced weapons from both Russia and China and specialist to help them deploy them immediately! These weapons include advanced electronic warfare systems to protect Tehran!! Iran will not attack Israel until these weapons are active

View attachment 3060697
Isakander kwa nje ya Urusi ziko Belarus pekee, haziwezi pelekwa Irani, zile silaha ni hatari sana kuepelekwa Iran
 
IRAN NDIO HUWA ANAMSAIDIA URUSI SIO URUSI KUMSAIDIA IRAN, ACHENI UONGO.

SILAHA ALIZO NAZO IRAN NI NYINGI SANA BILA KUMTEGEMEA MTU ILA ANAHESABU GHARAMA YA KUANZISHA VITA, GHARAMA YA IRAN KUANZISHA VITA ITAONDOA UTAWALA WOTE WA KIDIKTETA MADARAKANI.

ITAMCOST IRAN PAKUBWA SANA HII VITA, BORA ATULIE AWE ANAWASAPOTI HAMAS NA HEZBOLAH KIMYA KIMYA
 
BREAKING ⚡🚨

Iranian may test its first nuclear weapon under high security of Russian & Chinese arms.

🚨Is Iran fighting for its Nuclear capabilities or PALESTINIAN?
Israel inakua imekaa tu🤣
 
Back
Top Bottom