Iran Inachekesha sana /hatuiwezi USA tutamshtaki kimataifa

Iran Inachekesha sana /hatuiwezi USA tutamshtaki kimataifa

Ongeza na misosi,maji,nchi washirika nk.
Kweli kabisa Mkuuu. USA ni giant eagle. Hakuna taifa lolote dunia linaloweza pambana nae meja jeneral Qassem Soleiman ameuwawa na watoto teenagers chini ya miaka 25 Ndio waliompelekea Moto akafa watoto wametoka North Carolina katika kikosi Cha special forces Cha Frog Bragg apo bado wale vijana waliopo kule kwy kambi za Alaska kwy Barafu hawajatolewa kwenda bado dunia inahitaji kukaa kutumia akili nyingi kujifunza kwa USA. USA ukiachana na machuma chuma ya nyuklia Wana silaha nyingine Kama Twitter, Facebook, Google, Maps, Instagram, YouTube, Wikipedia, Android, window, Symbian, iPhone, IOS,Atm, Visa card, Master card, internet, Shazam, Chanjo za binadamu Kama za ARV, Kifua kikuuu, pepopunda na madawa mengine iyo ni silaha kubwa. Izo zote ni silaha kubwa kwa American kuweza kuiangamiza dunia nzima ni muda tuuu. Unamkuta Ayatollah khamenei nae anatumia ivyo vitu kwa nn? America asikujue nje ndani

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wao hupunguza supply lakini nchi kubwa kama USA hutumia oil reserves zao kucover deficit na mwisho wa siku hali huwa normal.Wakati mwingine siyo nchi zote za OPEC huafiki kupunguza supply,nyingine huwa upande wa pili.
Acha uoga wewe, bei ya mafuta upangwa kwenye soko la dunia. Mbona Kuwait ilipigwa, ikapigwa Iraq kuna bei ya mafuta ilipanda? Umesahau juzi tu, visima vya Saudia vililipuliwa na huyo General wa Iran, bei ya mafuta ilipanda?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa taarifa yako tu. Vita ya USA na IRAN ndio itakayochukua muda mfupi kuliko vita vyote duniani. Hata ile ya Israel na mataifa 7 ya kiarabu itakuwa ndefu.
Pili nikuhakikishie kuwa Israel ndio atakepigana hivyo vita sio USA. Kazi ya USA ni kuvifadhiri tu kwa hali na Mali, ina maana siraha za aina zote. Saudi itakuwa kulisha na kulipa posho za Askari wote, Kuwait na Bahrain itakuwa kuingiza tu hela kwenye bajeti ya taifa zima la Israel. Wewe usiombe itakuwa vita tamu kuliko zote, Ila naumia kwakuwa itakuwa ya muda mfupi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
USA hawezi kuruhusu Israel apigane na Iran ili nchi za kiarabu zikaja zikajitoa upande wa washirika.Itapiganwa kama ile ya Kuwait.Sc ya UN ndo itatoa kibali baada ya kupitia mkataba wa UN hasa ibara za 39,41,42 pamoja na ibara ya 2(4).Iran atakuwa amekiuka ibara hyo 2(4) kwa hivyo collective self defense itatumika kumpa discipline Iran na atabaki peke yake.Dunia ukishaweka misingi namna ya kuzuia vita zisizo za lazima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda utwambie we we.Halafu hao unaowaleta sioni lolote walilolifanya LA kuidhuru USA.Taleban walifurushwa wakaushia Tolabora na alqaida ikasambaratishwa. Kuondoka Vietnam kulichangiwa na mambo kadhaa yaliyojitokeza ndani na nje ya USA na Urusi.Kuna kupungua uhasama baina yao tunaita detente ,migogoro wakati wa Nixon na kwamba vita haikuwa na na maslahi pamoja na kukomaa kwa UN hasa kuheshimu mipaka na Uhuru wa nchi nyingine pamoja na haki xa binadamu vinginevyo historia ingechukua mkondo tofauti.
Uchumi Wa Taleban Sawa Sawa Najimbo Gani [emoji23][emoji23][emoji23]

Uchumi Wa Vietnam Ulikua Sawa Na Bara Gani ?! [emoji14][emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vita ikitokea itakuwa kati ya washirika watskaoongozwa na USA dhidi ya Iran atakayeungwa mkono na makundi kadhaa na wanaojitolea.Nchi jiran na Iran zitotoa operation base kwa washirika.Iran siyo mjinga hawezi kuanzisha vita anayojua atapoteza,anatumia gia kama ya kiduku ili apate nusu mkate.
Kwan Huyo Jenerali Aliondoshwa Akiwa Wapi akiwa IRAN Ama Akiwa Wapi ?!

Unahisi Huyo Jenerali Kuuliwa Akiwa IRAQ Nijambo Lakushangaza ?!

Inatakiwa Ujiulize Licha Ya US Kuwepo IRAQ Kwa Miaka Kadhaa Huyo Jenerali Kaingiaje IRAQ Na Akafanya Mishen Walosema Imepelekea Fujo Katika Ubaloz Wao US Walikua wapi ?!

Hili Tukio Kama Lingalitokea Ndani Ya IRAN Kwenyewe Hata Mimi Ningetilia Walakini Kwa Kiongozi Aina Ya Soleiman Kuuawa Ila Kwahuko Lilipotokea Sishangai Ijapokua Silifurahii........


IRAN Hajawahi Na Wala Hana Mpango Wakuanzisha Vita Na Taifa Lolote Lile DUNIANI Sio US Tu Hata SAUDIA Hana Mpango Wakuingia Nayo Vitani


IRAN Anachofanya Nikutetea Maslahi Yake Ambayo Nihaki Yakika Taifa

US Ikitokea Akapigana Na IRAN Hakuna Shaka IRAN Anaondoka Na Anaesema Kama IRAN Atashinda Hio Vita Huenda Ikawa Anakosea Sana

Ila Siku Ukiona Ama Kusikia Kama IRAN na US Wameingia Kwa DIRECT War Basi Elewa US Atapoteza Udhibiti Wa Eneo Lamashariki Yakati Lote Na Hilo Eneo Litakua Halikaliki Wala Halipikiki

Na US Ikitokea Kapigana Na IRAN Itakua Vita Kubwa Kuwahi Kutokea Ambayo US Kakumbana Nayo


Kama Unahisi US Anahuo Uwezo Ambao Mnampa Kiasi Chakuibeza IRAN Tusiombe Vita Ila Tunajua Ipo Day Vitatokea Tu Na Tutaona Ama Tutasikia Hatakama Tutakua 2shakufa


US Akiingia Vitani Na IRAN Nolonger Super Power

IRAN Usiifananishe Na IRAQ Ambayo Hao Hao Walompa Misaada Ya Kisilaha Ndio Walikuja Wakamgeuka...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran usifikiri wataacha hii kitu ipite kimya.
Trump atajuta na itakuwa sababu ya Trump kushindwa uchaguzi.
Nyie changieni mambo ya udaku haya mambo ya kimataifa hamuyawezi. Hujui hata the way American political trajectory is currently going.
 
Ni suala la muda tu atauwawa.Aliuwawa mwenzake Imad Munghniyer gaidi mbobezi.Na huyo Qasem Soleiman ni boss wa Nasrallah .Ndio aliokuwa akimpa maagizo yote na hata kuwalipa Hezbollah akiwemo Nasrallah!
Wakat Ukingojea Huo Muda Wao Wanamambo Yao Kibao Wanayatekeleza Nayanakamilika...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa taarifa yako tu. Vita ya USA na IRAN ndio itakayochukua muda mfupi kuliko vita vyote duniani. Hata ile ya Israel na mataifa 7 ya kiarabu itakuwa ndefu.
Pili nikuhakikishie kuwa Israel ndio atakepigana hivyo vita sio USA. Kazi ya USA ni kuvifadhiri tu kwa hali na Mali, ina maana siraha za aina zote. Saudi itakuwa kulisha na kulipa posho za Askari wote, Kuwait na Bahrain itakuwa kuingiza tu hela kwenye bajeti ya taifa zima la Israel. Wewe usiombe itakuwa vita tamu kuliko zote, Ila naumia kwakuwa itakuwa ya muda mfupi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Anaekwambia kama kuna vita ya IRAN na US Anakudanganya Mnooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hehehr
Labda utwambie we we.Halafu hao unaowaleta sioni lolote walilolifanya LA kuidhuru USA.Taleban walifurushwa wakaushia Tolabora na alqaida ikasambaratishwa. Kuondoka Vietnam kulichangiwa na mambo kadhaa yaliyojitokeza ndani na nje ya USA na Urusi.Kuna kupungua uhasama baina yao tunaita detente ,migogoro wakati wa Nixon na kwamba vita haikuwa na na maslahi pamoja na kukomaa kwa UN hasa kuheshimu mipaka na Uhuru wa nchi nyingine pamoja na haki xa binadamu vinginevyo historia ingechukua mkondo tofauti.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakat wanaingia vitani walikua hawajui kama vita haikua na maslahi ?!

Takeban hawa hawa wanao fanya nao mazungumzo ama hao wengne !?..

Alqaeda niwao wenyewe wasikusumbue kama walivyo kwa kina isis

Haya twende na hili lakumtoa madarakani al assad kama walivyofanya kwa LIBYA

Twende pale YEMEN Ambao IRAN Wamemtoa Muitifaki Wao Ambae Wao Wanataka Kumrejesha...??!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom