Iran inaenda kuanguka na huenda baba wa Taifa hilo yakamkuta ya Sadam Hussein

Iran inaenda kuanguka na huenda baba wa Taifa hilo yakamkuta ya Sadam Hussein

Iran will never fall again.
Iran kuangukia utaendelea kuskia Jambo hili bombani. Maandamano Ni Jambo la kawaida kwao Wala si kitu kipya kwao. 2008, 2012, na hata 2018 ilikuwa miaka yenye maandamano mazito zaidi. Iran ya leo si ile ya 1979 Iran ya leo imeendelea kujitokeza wazi kwenye uga wa kimataifa kijeshi, kijamii, kisayansi na hata kiuchumi .
Katika 1979 Iran haikua ikitengeneza magari ya kiraia, ya kijeshi , madawa, silaha Wala vibiriti. Iran ya leo inatengeneza drone hatari, ATGM, assault riffles, madawa na wanasayansi mamia kwa mamia kwenye teknolojia mbalimbali.
Uchumi wao pia si mbovu wa kutisha licha ya vikwazo Iran imeibuka yenye uchumi was kipekee unaohimili vikwazo vya kila namna.
Nb.
Wairan Ni wababe ile mbaya kijeshi . Hawana time ya kukenuka meno na US. Jino kwa jino Ni system ya majibizano. Bila shaka US ikifika ishu ya Iran solution Ni mazungumzo na sio Vita .


Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Pamoja na hayo yote ......nyumba ya ayatollah imechomwa Moto SASA ayatollah anaishi jeshini......maana ulaiani watu wata mchoma mshikaki
 
Pamoja na hayo yote ......nyumba ya ayatollah imechomwa Moto SASA ayatollah anaishi jeshini......maana ulaiani watu wata mchoma mshikaki
Kawaida hiyo mbona. Tena huko Iran inaelekea Kuna demokrasia kubwa Sana.
Huko us waandamanaji waliingia ikulu kabisa wakachekewa. Baadae wakaguswa kwa vibao viwili vitatu ikawa kelele i'la baadae wakaondoka.
Kama Ni kweli wameweza kuisogelea nyumba hiyo na kuichoma as you said Ni Jambo kubwa la Uhuru. Huku kwetu Kenya hawatapata hi kitu.
Nb.
Iran will never fall again.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
marekan hayupo kuangusha Dini ya mtu. yeye yupo kutetea demokrasia na kufukuza magaidi basi.
Demokrasia Marekani????
Screenshot_20221115-195418.jpg
 
Serikali za kidini kuanguka siyo rahisi na hata zikianguka zitarudi tena madarakani. Angalia Taliban kule Afghanistan. America iliwaangusha, wakachapana miaka 20 na leo wamerudi tena madarakani. Usichezee dini wewe.
bepari2020 ilo neno chini ya uandishi wko lina maana gani mbna unatengeneza chuki zisizo na maan ingali ktk taifa tunaishi vyema
 
Iran haiwez kuanguka sababu ni taifa lenye nguvu kijeshi duniani, hakuna nchi itakayoweza kuingia moja kwa moja eti tunawasaidia raia Kama walivyofanya kule Libya hakuna hiko kitu .nadhani yuhu anaandika ushabiki tu haijui vizuri Iran. Hivi nchi gani unaweza kuthubutu kuingiza ndege za kivita Iran iwasaidie waandamanaji si kichekesho hiki .cha zaidi watafanya uchochezi tu kupitia vyombo vya habari na mitandao
Mbinu iliyopo sasa na destroy them from within..muda utaongea ngoja tuone..hakuna taifa au ufalme mkubwa kuwahi kutokea kama ottoman na roman wako wapi leo hii.

#MaendeleoHayanaChama
 
Iran haiwez kuanguka sababu ni taifa lenye nguvu kijeshi duniani, hakuna nchi itakayoweza kuingia moja kwa moja eti tunawasaidia raia Kama walivyofanya kule Libya hakuna hiko kitu .nadhani yuhu anaandika ushabiki tu haijui vizuri Iran. Hivi nchi gani unaweza kuthubutu kuingiza ndege za kivita Iran iwasaidie waandamanaji si kichekesho hiki .cha zaidi watafanya uchochezi tu kupitia vyombo vya habari na mitandao
Iran wataisikia kwenye bomba tofauti na wanavyoisoma
 
Dunia itapigwa butwaa kusikia Rais wa Taifa fulani lenye miguvu ya kiuchumi kulala usingizini.
Hii kauli au haya maneno unayarudia rudia sana.
Nakukubali kwenye utabiri wako wa mambo ya Bongo Land lakini kuhusu mustakabali wa Russia au Putin unaweza kupoteza credibility yako ya utabiri sijui unaita maono.

Kimsingi hiki unacho rudia rudia kutoa utabiri unarudia mawazo au kauli za watu wa Ukraine kinachoitwa THE BLACK SWAN EVENT au BLACK SWAN THEORY. Kwamba kuna Tukio lisilotegemewa la kushituwa litatokea nchini Russia na kusababisha Putin aondoke madarakani kisha Ukraine ashinde vita au watu wa magharibi USA/NATO waweke vibaraka wao nchini Russia.

Hii kitu ni kama ndoto au wishful thinking. Kwanini nasema hivyo?
Tangu mwezi March au May sikumbuki vizuri watu haohao walikuwa wanasema Russia ameishiwa silaha ( makombora) ya kuishambulia Ukraine kwa mbali na kwa usahihi, cha kushangaza siku wakimkorofisha kwa kushambulia kigaidi miundombinu ya Russia anajibu kwa kurusha kama mvua makombora waliyosema ameishiwa kisha wanalia lia ameshambulia miundombinu ya kiraia ashitakiwe The Hague. Wenye akili wanajiuliza haya makombora katoa wapi mbona walisema ameishiwa?

Watu haohao wamekunja mkia tukio la kombora lililouwa watu wawili Poland. Wamemkanya Zelenskyy na washirika wengine wa NATO wasitpige kelele kuomba Poland aitishe Article 4 au Article 5 ya NATO waweze kujibu mapio kuingia vitani na Russia, na sasa kimya kimya wanawaomba Ukraine wakae meza ya mazungumzo na Russia.

Unafikiri wanaogopa nini dhidi ya Russia?
Jiulize kwanini Israel anakataa kuwafungia Ukraine mfumo wa kujilinda anga lao unao itwa Iron Dome?
Kwanini wameshindwa kumuondoa au kumuuwa Assad wa Syria?
Je taarifa zao za kijasusi zinaweza kuaminiwa kwa 100% ikiwemo hiyo ya kifo tarajiwa cha Putin au kupinduliwa madarakani kunako tarajiwa?
 
Pamoja na hayo yote ......nyumba ya ayatollah imechomwa Moto SASA ayatollah anaishi jeshini......maana ulaiani watu wata mchoma mshikaki
Hiyo iliyochomwa sio ya huyu kiongozi wa sasa(Khamenei) ni ya yule mwasisi (Khomeini) ambayo ni museum
 
Iran haiwez kuanguka sababu ni taifa lenye nguvu kijeshi duniani, hakuna nchi itakayoweza kuingia moja kwa moja eti tunawasaidia raia Kama walivyofanya kule Libya hakuna hiko kitu .nadhani yuhu anaandika ushabiki tu haijui vizuri Iran. Hivi nchi gani unaweza kuthubutu kuingiza ndege za kivita Iran iwasaidie waandamanaji si kichekesho hiki .cha zaidi watafanya uchochezi tu kupitia vyombo vya habari na mitandao
civil wars haitegemei ubora wa jeshi lako bali ubora wa intelligence yako maana unapigana na raia wako huenda wadhamin wakawa ndan ya serikali
 
civil wars haitegemei ubora wa jeshi lako bali ubora wa intelligence yako maana unapigana na raia wako huenda wadhamin wakawa ndan ya serikali
Hiyo kweli ila mfano uliotolewa wa Syria ndio ulisababisha niandike hivyo sababu wamagharibi walitumia mbinu hiyo Libya wakataka kutumia Syria na Venezuela ,wanaanza Raia wao mwishoni wanakuja kumalizia kwa mgongo wa UN .ndio maana nikamwambia kwa IRAN hiyo mbinu ya kitoto kutokana na uwezo wake wa kijeshi utakapoingiza ndege yeye anaweza kupiga kwako popote kwa makombora huwezi fananisha IRAN na Syria
 
Dunia inaenda kwa kasi na nguvu ya Intelligence ina ziangusha serikali zinazo ongozwa na maono ya 1918...
Dunia kweli ina kimbia sio kutembea na huu usemi ni dhahiri pale Iran.
Iran bwana Ameruka mkojo amekanyaga kinyesi akaruka mkaa wa moto akakanyaga vumbi la moto sasa haamini kinacho tokea ndani ya Taifa lake tena watu ambao wapo nyuma ya anguko la serikali ni wanawake... Hapana chezea Vyombo vya usalama vya Magharibi. Kiufupi Iran serikali imesha vurugikiwa na huwezi amini haya ni mpaka majasusi wakupe siri za ndani .
Kwa miaka mingi sana tangu kuanguka kwa serikali ya Iran ilio kuwa na mrengo wa Magharibi Taifa kubwa na lenye miguvu duniani halijalala. Wakipanga kwa kujumlisha na kutoa na kila aina ya complex mathematic kuhakikisha siku moja Khayatola analipa fidia Yani kama yalio mkuta Sadam Hussein na jamaa yake Ghadafi yes. Ulipuwaji wao wa ndege ya shirika la UK if sio Marekani kuliwauma sana mataifa ya Magharibi na kama ilivyo ktk chata yao ya special team "We do bad thing to Bad people" wamekuwa wakiishi na kuitekeleza kwa gharama kubwa.
Na wamefanikiwa tangu September 11 vita Marekani alio iyanzisha haija acha tawala dhalimu salama wameangusha serikali moja baada ya nyingine na wamejibu kwa dam kwa niaba ya watu wao. Kama ulipanga, uliruhusu magaidi ndani ya Taifa lako kupata access na kula Raha while Wakipanga mabaya kwa nchi za mgaharibi au ulipongeza kwakusikika ama kwa siri CIA under very special elite team hakuna atakaye Baki salama. Yes.
Ktk speech ya Rais wa wakati ule George W Bush alitaka tawala dhalimu namimi nita zinukuu. Ipo Korea aka kiduku, ipo Iran, ipo Iraq, Sudan, Libya nk
Mpaka sasa list wamesha angusha serikali nne bado mbili wapumzike. Hizi mbili serikali akili nyingi ina hitajika. Nje ya hapo ni hata kwa usalama wa Dunia.
Baada ya majaribio kadhaa at last majasusi wa Marekani na Washirika wake wanakaribia kuangusha serikali ya Khayatola ktk mpango ambao Dunia itabaki mdomo wazi while China na Russia wakiwa ktk kiza kinene ndani ya idara zao ikumbukwe wakati haya yakiendelea Dunia itapigwa butwaa kusikia Rais wa Taifa fulani lenye miguvu ya kiuchumi kulala usingizini.
Nitaendelea
Kwahyo imewauma sana Iran kuangusha ndege Yao ya abiria Hila wao walivyoangusha ndege ya abiria ya iran ilikuwa poa tu
 
Wasaudia wamesha infiltrate wajeshi wao.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hiyo kweli ila mfano uliotolewa wa Syria ndio ulisababisha niandike hivyo sababu wamagharibi walitumia mbinu hiyo Libya wakataka kutumia Syria na Venezuela ,wanaanza Raia wao mwishoni wanakuja kumalizia kwa mgongo wa UN .ndio maana nikamwambia kwa IRAN hiyo mbinu ya kitoto kutokana na uwezo wake wa kijeshi utakapoingiza ndege yeye anaweza kupiga kwako popote kwa makombora huwezi fananisha IRAN na Syria
siku hz hakuna wa kuja nchini mwako mbali na wakufunz wa kijeshi tu
 
Back
Top Bottom