Iran inaenda kuanguka na huenda baba wa Taifa hilo yakamkuta ya Sadam Hussein

IRAN itabaki imara .
Kama Bush na Netanyau walishindwa,ndo ataweza huyu sleepy joe[emoji42][emoji42] dementia striken ill looked[emoji855][emoji855] old zombie [emoji15][emoji3518]
 
Iran ni waajemi nguvu za utawala wana asili nazo tangia enzi hizo za Parsian Empire.kuwaangusha sio kwa maandamano ya wasichana wanaoandamana huku wakinyoosha vidole viwili juu.
 
Mzee hapo sikuungi mkono kabisaaa...
Venezuela pale ambapo chance ilikuwa kubwa, wameshindwa, sembuse Iran ambako kuna masuala ya udini ndani yake...hamna kitu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…