Execute JF-Expert Member Joined Sep 21, 2022 Posts 3,000 Reaction score 7,336 Sep 21, 2022 #1 Iran inaelekea kuishiwa kabisa wataalamu wa nyuklia kwasababu wanafunzi katika vyuo wanaogopa kusoma nuclear science. Hii imechangiwa na operesheni za Israel ambapo wataalamu wa mambo hayo wamekuwa wakiuawa.
Iran inaelekea kuishiwa kabisa wataalamu wa nyuklia kwasababu wanafunzi katika vyuo wanaogopa kusoma nuclear science. Hii imechangiwa na operesheni za Israel ambapo wataalamu wa mambo hayo wamekuwa wakiuawa.
RO7 ZA MGOS JF-Expert Member Joined Sep 27, 2016 Posts 2,018 Reaction score 5,752 Sep 21, 2022 #2 Source please
let the caged bird sings JF-Expert Member Joined Sep 19, 2020 Posts 3,699 Reaction score 8,857 Sep 21, 2022 #3 Gharib Bilal yuko wapi?, achangamkie fulsa hiyo.
M Myaud JF-Expert Member Joined Apr 12, 2020 Posts 235 Reaction score 539 Sep 21, 2022 #4 Ukisoma post nyingine humu huhitaji kwenda mirembe ,kutafuta vichaa
Execute JF-Expert Member Joined Sep 21, 2022 Posts 3,000 Reaction score 7,336 Sep 21, 2022 Thread starter #5 RO7 ZA MGOS said: Source please Click to expand... Takwimu za admission zinaonesha.
Execute JF-Expert Member Joined Sep 21, 2022 Posts 3,000 Reaction score 7,336 Sep 21, 2022 Thread starter #6 let the caged bird sings said: Gharib Bilal yuko wapi?, achangamkie fulsa hiyo. Click to expand... Yule alikuwa makamu wa raisi, anamilikiwa na uma hawezi kuondoka.
let the caged bird sings said: Gharib Bilal yuko wapi?, achangamkie fulsa hiyo. Click to expand... Yule alikuwa makamu wa raisi, anamilikiwa na uma hawezi kuondoka.
Execute JF-Expert Member Joined Sep 21, 2022 Posts 3,000 Reaction score 7,336 Sep 21, 2022 Thread starter #7 Myaud said: Ukisoma post nyingine humu huhitaji kwenda mirembe ,kutafuta vichaa Click to expand... Unakuwa umeshajifahamu hata kabla hujafika mirembe?
Myaud said: Ukisoma post nyingine humu huhitaji kwenda mirembe ,kutafuta vichaa Click to expand... Unakuwa umeshajifahamu hata kabla hujafika mirembe?
Championship JF-Expert Member Joined Aug 7, 2019 Posts 5,500 Reaction score 10,616 Sep 22, 2022 #8 Execute said: Iran inaelekea kuishiwa kabisa wataalamu wa nyuklia kwasababu wanafunzi katika vyuo wanaogopa kusoma nuclear science. Hii imechangiwa na operesheni za Israel ambapo wataalamu wa mambo hayo wamekuwa wakiuawa. Click to expand... Israel ni taifa teule lazima waogope.
Execute said: Iran inaelekea kuishiwa kabisa wataalamu wa nyuklia kwasababu wanafunzi katika vyuo wanaogopa kusoma nuclear science. Hii imechangiwa na operesheni za Israel ambapo wataalamu wa mambo hayo wamekuwa wakiuawa. Click to expand... Israel ni taifa teule lazima waogope.