Iran kazabuliwa kofi la uso yeye karudisha kwa kumsukuma tu Israel

Iran kazabuliwa kofi la uso yeye karudisha kwa kumsukuma tu Israel

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kinachoitwa shambulizi la Iran kwa Israel jana ni kelele kubwa tu za majidai na usumbufu ambazo hazikuleta chochote cha maana. Unashambulia nchi iliyo umbali wa KM 2300 kwa kutuma drones ambazo zinakatiza anga za nchi nyingine kadhaa kwa masaa na karibia zote kuishia kutunguliwa au kuanguka njiani kwa kuishiwa chaji!

Kwa alichokifanya Israel cha kushambulia ubalozi na kuua makamanda wa Iran kwenye ugomvi ni sawa na umepigwa kofi la usoni na ukaishia kumsukuma au kumkunja tu shati aliyekuzabua kofi. Aliyesukumwa ndio ataamua huu ugomvi utaendeleaje au utaishaje. Ngoja tusubiri majibu yake.
 

Attachments

  • Screenshot_20240414-074205.png
    Screenshot_20240414-074205.png
    149.7 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240414-074205.png
    Screenshot_20240414-074205.png
    149.7 KB · Views: 2
Kinachoitwa shambulizi la Iran kwa Israel jana ni kelele kubwa tu za majidai na usumbufu ambazo hazikuleta chochote cha maana. Unashambulia nchi iliyo umbali wa KM 2300 kwa kutuma drones ambazo zinakatiza anga za nchi nyingine kadhaa kwa masaa na karibia zote kuishia kutunguliwa au kuanguka njiani kwa kuishiwa chaji!

Kwa alichokifanya Israel cha kushambulia ubalozi na kuua makamanda wa Iran kwenye ugomvi ni sawa na umepigwa kofi la usoni na ukaishia kumsukuma au kumkunja tu shati aliyekuzabua kofi. Aliyesukumwa ndio ataamua huu ugomvi utaendeleaje au utaishaje. Ngoja tusubiri majibu yake.
Unakuchaa nenda milembe siyo bure Iran kateketeza maeneo muhimu vituo vya nishati vituo vya kijeshi,pia Drone zina kwenda 180+/mph halafu unasema zinaanguka hiyo iliyoanguka Jordan ilitunguliwa na US Navy wenye base hapo! Au wewe unasikiliza vyombo vya kidini
 

Attachments

  • Screenshot_20240414-083322.png
    Screenshot_20240414-083322.png
    188.8 KB · Views: 3
Mkuu madhara yali kuwepo.

Vizuri.
Sipendi Watu wanyonge.
Wapigane ili amani iwepo.

Bila vita kali ya kuuana kikatili dunia haiwezi kuwa na amani.

Vita ya kwanza na ya pili ya dunia imechangia kwa kiasi kikubwa dunia kuwa na utulivu.

Vita ya tatu itaituliza dunia kwa kiwango kikubwa
 
Endeleeni kujitekenya tu. Sisi tulichoona ni Iran kurusha mabomu moja kwa moja ndani ya Israel, wala hajavizia. Hiki ni kitu ambacho Pro US mlikuwa mnasema Iran hawezi kukifanya!
Pia nadhani USA ana mchango mkubwa sana kwenye kuzuia makombora na drones zilizotumwa, bila hivyo nadhani ingekuwa habari nyingine saa hii.
Pia hizi tambo ni Muisrael koko tu anaweza kuzifanya, ninaamini Waisrael waliopo Israel saa hii hawana amani kabisa na wala hawataki kuona hii kitu ikijirudia tena!
 
Kinachoitwa shambulizi la Iran kwa Israel jana ni kelele kubwa tu za majidai na usumbufu ambazo hazikuleta chochote cha maana. Unashambulia nchi iliyo umbali wa KM 2300 kwa kutuma drones ambazo zinakatiza anga za nchi nyingine kadhaa kwa masaa na karibia zote kuishia kutunguliwa au kuanguka njiani kwa kuishiwa chaji!

Kwa alichokifanya Israel cha kushambulia ubalozi na kuua makamanda wa Iran kwenye ugomvi ni sawa na umepigwa kofi la usoni na ukaishia kumsukuma au kumkunja tu shati aliyekuzabua kofi. Aliyesukumwa ndio ataamua huu ugomvi utaendeleaje au utaishaje. Ngoja tusubiri majibu yake.
Bro kwenye ulinzi kuna kitu wanaita strategic detterence nguvu kubwa inatumika kufanya adui yako asiwaze kukurushia chochote au kukushambulia sasa leo hii hocho isarel hana
Namba mbili tbe entire middle east usa centcom was activated kuisaidia hio israel usa jana one night tu kaspend almost 1billion usd dhidi ya cheap drone na pia kwa wairan hii imekuwa kama drill na kustudy activation ya hayo maairdefense yaliyomzunguka ili siku za mbeleni anajua what to do nayo tatu ni kuonyesha uwezo na kuiobomoa kisaikolojia israel kwenye ile inaitwa psycho warfare wananchi wamekimbilia kuishi kwenye mahandaki na ktk historia ya israel imeandikwa jana usiku iran iliishambulia israel wakati wa Benjamin Netanyahu full stop, na kumbuka hii sio surprise attack taarifa zilikuwa zinajulikana iran ata attack na kwa nature ya shambulizi na aina ya silaha unaona kabisa hazikuwa na lengo la kuibamiza kisawa sawa israel ila wameshajua kuwa siku wakidhamiria kutibamiza kisawasawa inawezekana na muiran kumbe anaweza wamejionea last night.
 
Back
Top Bottom