Iran kazabuliwa kofi la uso yeye karudisha kwa kumsukuma tu Israel

Iran kazabuliwa kofi la uso yeye karudisha kwa kumsukuma tu Israel

Mpaka Sasa kwenye huu mtanange Israel inaongoza moja bila dhidi ya Iran. 99% ya drones na makombora toka Iran yamedunduliwa. Iran imepata green light kushambulia Iran especially vinu vya nyuklia 🤔
Israel atumie hii nafasi kupiga vile vinu, sijui kwa nini hakuacha baadhi ya makombora yalete uharibifu ili iwe kigezo cha kufanya hivyo.
 
Watu wanajadili kinachotokea. Hiyo kusema wanafurahia huo ni mtazamo wako.
Wanaofurahia ni hao ambao wanapigana huko kwa sababu wanajua nini wanapata pale wanapopigana
Ni kweli tabia ya Iran kupotezea mambo na kuepusha shari kuliifanya Israel ampande kichwani ila kwa shambulizi hili ,Israel atakuwa anajifikiria mara mbili kabla ya kufanya upuuzi alio kuwa amezoea kuufanya.
Na bila msaada wa Marekani ,Uingereza na Ufaransa kusaidia kuyadungua baadhi ya drone na makombora sasa hivi maafa yangekuwa makubwa sana ndani ya Israel.
 
Bro kwenye ulinzi kuna kitu wanaita strategic detterence nguvu kubwa inatumika kufanya adui yako asiwaze kukurushia chochote au kukushambulia sasa leo hii hocho isarel hana
Namba mbili tbe entire middle east usa centcom was activated kuisaidia hio israel usa jana one night tu kaspend almost 1billion usd dhidi ya cheap drone na pia kwa wairan hii imekuwa kama drill na kustudy activation ya hayo maairdefense yaliyomzunguka ili siku za mbeleni anajua what to do nayo tatu ni kuonyesha uwezo na kuiobomoa kisaikolojia israel kwenye ile inaitwa psycho warfare wananchi wamekimbilia kuishi kwenye mahandaki na ktk historia ya israel imeandikwa jana usiku iran iliishambulia israel wakati wa Benjamin Netanyahu full stop, na kumbuka hii sio surprise attack taarifa zilikuwa zinajulikana iran ata attack na kwa nature ya shambulizi na aina ya silaha unaona kabisa hazikuwa na lengo la kuibamiza kisawa sawa israel ila wameshajua kuwa siku wakidhamiria kutibamiza kisawasawa inawezekana na muiran kumbe anaweza wamejionea last night.
Mkongwe, najua una haraka!
Lakini huu uandishi wako haututendei haki kabisa.
 
Wanasema huko ardhi ya Iraq na Jordan kumetapakaa scrapers za vidroni vya Iran all over!
Israel anapaswa kufanya mambo moja ili kutoa funzo hapo Middle East. Jana kashambuliwa na nchi kama tano, Iran, Lebanon, Syria, Iraq na Syria. Hili likiendelea in the long run litaisumbua sana Israel, nadhani afikirie kutumia ile nuclear ili afute kama ki nchi kimoja hapa amani ya kudumu itapatikana au aingie vitani na Iran kwani ndie mdhamini wa vikundi vyote hivi.
 
Israel atumie hii nafasi kupiga vile vinu, sijui kwa nini hakuacha baadhi ya makombora yalete uharibifu ili iwe kigezo cha kufanya hivyo.
Uharifu umetokea acheni visingizio.
 

Attachments

  • Screenshot_20240414-083322.png
    Screenshot_20240414-083322.png
    188.8 KB · Views: 1
Anaejua kasukumwa au kachapika ni Israel siyo wewe huko Kazuramimba kigoma
 
Nchi zote za Nato zilikuwa zinapambana na drone za Iran lakini una targrts zilizopenya,hata hivyo nasubili majibu ya israel dhidi ya Iran
 
Iran kuweza kupenya kwenye best air defense systems pamoja na ndege za marekani na UK kuwasaidia sio Jambo dogo
 
Iran walimshindwa Dikteta Saddam Hussein miaka 10 wataiweza Israel.
Iran walimshindwa Dikteta Saddam Hussein miaka 10 wataiweza Israel.
Iran imemshindwa Saddam au Saddam ndio kaishindwa Iran!?
Embu sahihisha historia bro,Iraq ndio ilifanya invasion Iran na ikisapotiwa na USA ila Iran ili repel invasion kwa miaka 8.
Usitudanganye bhan.
 
Mnafosi air base imeharibiwa lakini hamna ushahidi 😂😂😂
Mnafosi air base imeharibiwa lakini hamna ushahidi 😂😂😂
Wewe leta ushahidi wa kuonesha airbase iko nzima.
Maana unatuonesha runway.
Tunataka airbase yenyewe ,mbona Mossad hawaoneshi picha za kambi nzima kuonesha kama haina uharibifu?
 
Back
Top Bottom