Iran kazabuliwa kofi la uso yeye karudisha kwa kumsukuma tu Israel

Iran kazabuliwa kofi la uso yeye karudisha kwa kumsukuma tu Israel

Mwenye uelewa mkubwa,naomba nikuulize.Iran hajapata hasara kurusha makombora zaidi ya 300 halafu yaliyohit target ni 7?
Sio makombora zaidi ya 300..Drone tu zilikua takriban 200 na sio makombora.. cruise missile zilikua chache na Ballistic missiles... Israel ashukuru US,UK,France na Jordan maana hao ndo wamefanya kazi kubwa ku intercept hizo coming threat from Iran tena wamezidungulia Irak,Syria na Jordan lakin bado kadhaa zilipenya na nyingine Israel mwenyewe ndo alizidungua lakin bado chache zimefika...Imagine kwann US japo kafukuzwa Irak lakin kagoma kutoka? Kwann US kajiingiza Syria na ana military base km 3 ivi na kasimika airdefence system zake lengo ni kumlinda Israel... Iran akiendelea kurusha hizi kamikaze 100 alafu akatusha na cruise missile chache unadhan US,UK au Jordan wataendelea ku intercept? Maana current inventories yake inaendelea kupukutika kwa vidude vya bei rahisi...Nimekuuliza kwann Russia aliomba msaada kwa Iran kwa ivi vikamikaze nadhan ndo vilibadirisha upepo uko Ukraine ni bei chee usipo ki intercept kinakuumiza ukii intercept kwa missile kinakupa hasara maana madude km Iskender yakija yanakuta airdefence zako ziko tupu hivo yatapiga...ndo kinachoendelea uko Ukraine ..Russia alishambulia atapelekea Kamikaze za Iran 40 na Cruise au ballistic missile ata 10 tu utasikia Ukraine akisema imedungua kamikaze 38 mbili zimefikia lengo uku missile zikifanya yake....Leo Israel ashukuru US,UK,France na kibaraka wao Jordan la sivyo badam bangemwagika leo
 
1000107016.jpg
 
Unashambulia nchi iliyo umbali wa KM 2300 kwa kutuma drones
ambazo hazikuleta chochote cha maana
Uhalisia : 1)

Iran struck ‘important’ Israeli military targets – IRGC (VIDEOS)​

Multiple IDF sites have been hit and destroyed, the Revolutionary Guard Corps claims




2) Wakipigwa
husema hivi, ila kama una akili utakuwa umeelewa!:

IDF confirms ‘minor damage’ to military base​

Iran launched more than 300 drones and missiles against Israel, the military has said


only a few of the ballistic missiles made it past the IDF’s air defenses, hitting Nevatim Airbase in southern Israel and inflicting “minor damage.”




Kwanza punguza :


mahaba


hali ya kuingiwa moyoni na mtu au kitu na kukithamini zaidi ya vingine



Kwani yakizidi hupelekea:


chuki


1.tabia ya kutopenda, hasa watu au ya kuwa na roho mbaya


2.maneno ya kugombanisha watu


3.hali ya kukasirika

 
Ulinzi upo wapi ? watu wanapiga tu kama ngoma ...Taifa teule linatetewa wamebaki kukimbia tu 😀 😀 😀
 
Shida watu wamemezeshwa propaganda sana, anayekontroo media ndiye anakontroo propaganda, kwamba makombora yote hayo hayajaleta madhara!?
Yameleta madhara gani?
 
Ukwel usemwe israel ni pepar tiger size yake ni hezibolla na hamas au Syria ilio choka sio size ya iran wala turkey..bila USA,Uk israel ni mrembo tu
 
Kinachoitwa shambulizi la Iran kwa Israel jana ni kelele kubwa tu za majidai na usumbufu ambazo hazikuleta chochote cha maana. Unashambulia nchi iliyo umbali wa KM 2300 kwa kutuma drones ambazo zinakatiza anga za nchi nyingine kadhaa kwa masaa na karibia zote kuishia kutunguliwa au kuanguka njiani kwa kuishiwa chaji!

Kwa alichokifanya Israel cha kushambulia ubalozi na kuua makamanda wa Iran kwenye ugomvi ni sawa na umepigwa kofi la usoni na ukaishia kumsukuma au kumkunja tu shati aliyekuzabua kofi. Aliyesukumwa ndio ataamua huu ugomvi utaendeleaje au utaishaje. Ngoja tusubiri majibu yake.
Of the 331 missiles and drones launched by Iran at Israel:

- 185 out of 185 Kamikaze Drones were shot down

- 103 out of 110 Ballistic Missiles were shot down

- 36 out of 36 Cruise Missiles were shot down

- 7 Ballistic Missile impacts have been recorded on Israeli territory
 
Kinachoitwa shambulizi la Iran kwa Israel jana ni kelele kubwa tu za majidai na usumbufu ambazo hazikuleta chochote cha maana. Unashambulia nchi iliyo umbali wa KM 2300 kwa kutuma drones ambazo zinakatiza anga za nchi nyingine kadhaa kwa masaa na karibia zote kuishia kutunguliwa au kuanguka njiani kwa kuishiwa chaji!

Kwa alichokifanya Israel cha kushambulia ubalozi na kuua makamanda wa Iran kwenye ugomvi ni sawa na umepigwa kofi la usoni na ukaishia kumsukuma au kumkunja tu shati aliyekuzabua kofi. Aliyesukumwa ndio ataamua huu ugomvi utaendeleaje au utaishaje. Ngoja tusubiri majibu yake.
Unaonesha unasubiri mainstream media upate habari.

Hivi huelewi kuwa jana kuamkia leo mazayuni, mabwana zao wa marekani, uingereza na mabibi zao wa jordan, wamelishwa sahani moja na Iran?

Jionee kijana:


View: https://youtu.be/1X_mUX0bBP0?si=jCP4HassNf4a-NYf
 
Back
Top Bottom