Iran ndani hakukaliki, hofu kote, serikali inatumia nguvu nyingi kuaminisha hali shwari

Iran ndani hakukaliki, hofu kote, serikali inatumia nguvu nyingi kuaminisha hali shwari

usingizi ukiisha tu,unaanza kuposti chochote unachoona mitandaoni,nani kakudanganya kuwa israel haijapata hasara?
Kambi ya Negev,na inasemekana ndo inahifadhi ndege za f-35,zilizoshambulia ubalozi wa iran syria,ilipigwa na missile 7 za hypersonic,zilizokwepa air defence za israel.
Wamepata hasara kubwa,sema wanaogopa kutangaza,na imewauma mno kushambuliwa moja kwa moja kwenye ardhi yao,na hawakutegemea kama mashambulizi yatakuwa makubwa vile,bila US,UK,FRANCE,JORDAN NA SAUD ARABIA,kusaidia kuintercept,ingekuwa shida kubwa huko israel.
Zimetumika ndege 150 kutungua makombora na drone za iran,gharama ni 2.3trillion tsh.
Mabango yametawala Iran kuwapa tumaini wananchi kuwa vita haitapiganwa Tehran, wasiwe na wasiwasi kwani wapo salama.
Picha zipo.
Video za Wairan wakiwa na wasiwasi mkubwa wa malipizi ya Israel zipo.

Hakuna ajuaye siku wala saa wala mahali kitakapowashwa.
 
Na hiki ni kiashiria kibaya kwa kuwa ana onekana yupo mwenyrw akifanya kaz ya urusi kama mshirika aliyemafichoni ktk hili

Hawa walio jitokeza kuungana na israel kuzuia mashambulizi wana weza jitokeza kuishambulia iran pia

Propaganda ni kuwa hawaiungi mkono israel ktk kuishambulia iran, lakini sio kweli sababu wana maslahi ni israel kuliko iran na hawapo tayari kuiona israel inapotea ndio maana nyakati zote wana simama na israel iwe amekosea au yupo sahihi

Gharama zilizo tumika ni jambo la kawaida kwa kuwa dunia nzima majshi ndio yana chukua uwekezaji mkubwa sana ktk nchi, hakuna jeshi la tsh 10,000.00 au 100,000.00

Uwekezaji ktk jeshi ni gharama, vita ni gharama pia na ukiwa na uchumi mbovu utakuja kuwa na madeni sugu. Ukraine ana pambana na madeni, uchumi na vita nk

Pia israel qna mpango wa miaka mingi kushambulia vinu vya nuklia vya iran, na alikuwa ana tafuta sababu za muda mrefu kweli. Na hapa ndipo hofu ya iran kuto kujua shambulizi la kushtukiza litaenda wapi? Na ikiwa ktk vinu ina maana kuna hasara kubwa kwa iran na raia wake

Mara kadhaa wausrael walikamatwa iran wakifanya uspy, mara kwa mara wameua wana sayansi wa iran huko huko iran na marekan akihusishwa ktk haya na hawezi kusema ni muhusika

Kumbuka wana kauli zao kuwa hawa shirikiani wala kukaa meza moja na magaidi au waalifu. Je ni kweli? Kuna tuhuma nyingi sana zikiielekezwa marekan kushirikiana ns makundi mbalimbali ya wana mgambo mashariki ya kati na ya mbalmfano hai telban huko afghanstan
Tehran watu wana hofu balaa,hapakaliki wala hapalaliki.
Simu zimepigwa nyingi sana kwenda Cape Idokopas.
 
19 April 2024

Isfahan ya katikati ya Irani ni mji wa kimkakati pia nyumbani kwa vituo kadhaa muhimu vya kijeshi, vikiwemo vifaa vya nyuklia, kituo kikuu cha anga na viwanda vinavyohusishwa na ndege zisizo na rubani za Irani na uzalishaji mwingine wa kijeshi. Milipuko imesikika

1713513410046.png

Habari za awali ni kuwa ndege za Israel zimeshambulia uwanja wa ndege Isfahan

1713513699259.png
 
Washirika wa Israel waunga juhudi, Iran ipate kipigo ili ipunguziwe nguvu ya kutaka kutawala maeneo ya Mashariki ya Kati kupitia vita-fichi proxy war ambayo Iran kupitia mgambo vikaragosi walioianzisha machafuko kutishia nchi za kifalme za kiarabu na zile za Kiarabu za kisekula kuanzia Lebanon, Jordan, Saudia n.k .


1713514250258.png
 
Serikali imejaza mabango kama haya kujaribu kuwaaminisha wananchi kwamba vita havipo Tehran ila kule Tel Aviv, maana humo wanaishi mkao wa kusubiri hawajui nini kinawajia, maana tatizo la Israel huwa hatangazi.
Tukumbushane tu mpaka sasa matokeo. Iran imepoteza majemedari saba. Israel imepoteza binti mmoja

================

Supplied Tel Aviv is our battleground not Tehran, says a propaganda billboard in the Iranian capital

Supplied "Tel Aviv is our battleground not Tehran", says a propaganda billboard in the Iranian capital

Tehran is tense, two days after Iran's unprecedented direct attack on Israel.

Worried about war and its impact on Iran's already flailing economy, a significant proportion of Iranians oppose what they see as the reckless adventurism of the country's elite Islamic Revolutionary Guards Corps (IRGC), which fired more than 300 drones and missiles on Saturday night.

In a letter sent to BBC Persian, a long list of Iranian activists both inside the country and abroad criticised the IRGC's actions and saying "No to warmongering!"

Many Iranians also see the Iran-Israel confrontation now emerging from the shadows as being orchestrated by the Iranian government rather than reflective of the will of the Iranian people.

This perception is underscored by a heavy police presence on the streets of Tehran - ostensibly about enforcing strict Islamic dress codes requiring women to cover their hair but which many suspect is mainly about crushing any possible protests.

Source: www.bbc.com
CDF wa Kenya kafa kizembe kweli jana. Unayo habari?

1713514709960.png
 
KUANZIA 19 APRIL HADI APRIL 22 ALFAJIRI NI SIKU ZA KUOGOFYA KWA WATAWALA WA IRAN

Watawala watakuwa hawalali majumbani mwao wakikimbia vivuli vyao kwa hofu kuu.


Israel inataka kumaliza mchezo kabla ya tarehe za kuadhimisha ukombozi wao kutoka utumwani mwa Farao Exodus / Kutoka sherehe zitakazoanza kuadhimishwa kwa siku 7 familia za kiyahudi kujumuika jioni ya siku ya jumatatu , 22 Apr 2024 hadi jumanne tarehe , 30 Apr 2024
 
Najiuliza hivi Iran akishambuliwa kwa missiles na drones nyingi say 200 kama alivyoshambuliwa Israel yeye ataweza ku control madhara au ndo itakuwa majanga?!.
Kwasabb mbali ya kusaidia na washirika, Israel huwa pia wako vzr kwenye mdumo wa anga.
Hata kila walichokuwa wanapanga Iran ikiwamo maandalizi hadi siku wanavurumusha hayo makombora adui alishagundua na kujiandaa!.
Siasa za ulimwengu hizi. Usije kuta walizungumza kabla ya Shambulizi kua tutalipiza kisasi na kushambulia so & so.
 
MASHAMBULIZI YA MALIPIZI KUTOKA ISRAEL YAWATIA HOFU MAAYATOLLAH WA IRAN
1713515790070.png

Majibu ya Israeli kwa shambulio la Iran yatarejesha sheria za mchezo huu wa kuoneshana nani mwamba au kusababisha vita vya kikanda.
Richard Hall na Bel Trew
Alhamisi, 18 Aprili 2024 saa 8:26 jioni BST
6-min kusoma

Naibu mkuu wa jeshi la Israel wa idara ya habari ya kimataifa ya IDF, luteni wa kwanza Masha Michelson, akionyesha kwa vyombo vya habari mojawapo ya makombora ya balistiki ya Iran yaliyonaswa na vifaa vya ulinzi vya anga la Israel (Picha ya AP/Tsafrir Abayov)

Viongozi wa Israel tayari wameamua katika siku zijazo kuhusu jibu la kijeshi kwa mashambulizi ya Iran yasiyo na rubani na makombora yaliyotikisa nchi mwishoni mwa juma lililopita.

Uamuzi huo wa Israel ama utarejesha sheria nyeti ambazo hazijatamkwa ambazo zimetawala ushindani wao wa kikanda kwa miongo kadhaa, au kupeleka eneo hilo kuelekea vita pana zaidi ambavyo vinaweza kuvuta vikosi vya Amerika na washirika wake.

Shambulio lisilo tegemewa la Iran Jumamosi usiku - na mamia ya drones, cruise na makombora ya balestiki - ilikuwa mara ya kwanza kufanya mashambulizi ya moja kwa moja dhidi ya Israeli kutoka kwa ardhi yake. Tehran ilisisitiza kuwa hatua zake zilikuwa za lazima na za kisheria kwa sababu Israel ilivunja maelewano kwa kushambulia kwa mabomu ubalozi mdogo wa Iran mjini Damascus tarehe 1 Aprili. Israel haijathibitisha au kukanusha kuhusika
 
19 April 2024

Iran na Mgambo karagosi wake wakubali kipigo na maumivu huku wakigumia kimya kimya

Kambi ya paramilitary ya Iraq’s Popular Mobilization Forces (PMF) ilitopo kusini ya mji wa Baghdad nchini Iraq yapigwa na makombora. Mgambo hao waliokula nyamini na Iran ni moja ya vikundi vinayofadhiliwa na Iran kuleta machafuko na mapigano eneo hilo la Mashariki ya Kati nia ni kupata washirika ambao hatimaye watatumika kuizingira Israel lengo ni kutaka kuifuta taifa hilo la Israel

19 April 2024

Iraqi Popular Mobilization Forces base rocked by blast



View: https://m.youtube.com/watch?v=ffEV48zhkuc
Reuters, citing army sources, reports that a huge blast rocked a military base used by Iraq’s Popular Mobilization Forces (PMF) to the south of Baghdad.

A statement released by the PMF in the Babylon province, south of Baghdad, stated that “American aggression bombed the Kalsu military base”. No casualties were reported.
 
Back
Top Bottom