Iran ni nchi ya maajabu sana

Ni hawa hawa Iran wenye uwezo wa kuifuta Isreal kwenye uso wa dunia kwa maneno ya mdomoni, usifanye mchezo na taifa la kiyahudi, level yao ni juu mara mia zaidi ya binadamu mwingine yoyote anayeishi duniani....Israel is blessed.
 
Unauhakika china hawana demokrasia au una jisemelesha humu jf.

#MaendeleoHayanaChama
hata Tanzania DEMOKRASIA ilikuwepo
alivyoingia MAGUFURI aliweka pembeni huo utumwa wa fikra akaendesha nchi INAVYOPASWA KUENDESHWA ili ipate maendeleo na wananchi wafurahie keki ya taifa na kufikia target kama taifa(uzarendo)
kama alivyofanya mapinduzi MAO ZEDONG na mpk sasa XI JIN Pi
DEMOKRASIA iishie nyumbani kwako na mkeo wachina wangetaka waufate huo utumwa wa WESTERN kwa kuwaacha wananchi wajiamulie wanavyotaka wasingefika pale
ndvyo Ayatollah alivyoiongoza IRAN pia akutaka hiyo FIKRA mbovu iwapande wananchi wajiamulie watakavyo

we unadhani nchi km china ina watu zaidi ya BILIONI then serikali iwaache waamue wanavyotaka kila mmoja unadhani utaweza kuwaridhisha wote !!
hapo ndipo DEMOKRASIA inavyoweka pembeni ukiwa wewe ndiyo No. 1 wa nchi unavaa uzarendo kwa ajili ya maendeleo ya TAIFA lako unaiendesha NCHI kibabe ili mfikie TARGET yenu kama nchi sio kutatatua TATIZO la mtu mmoja mmoja utawezaje unadhani ni ngumu
lazima ufanye jambo kwa ajili ya TAIFA na kwa wote so kuna watakaoumia kwa wakati huo ila matunda yatakuja baadae
hata hiyo IRAN inayosifiwa kwa DRONE hatari haikufika hapo kwa ulelemama VIONGOZI walipata lawama na wengine hata kuchukiwa hadi na familia zao ili kufikia hayo mafanikio
Unauhakika china hawana demokrasia au una jisemelesha humu jf.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nchi yetu kuwa na mifumo aina ile ya Iran bado sana. Itatuchukua miaka 50 na kina Magufuli kama 10 hivi ndo angalau tufikie nusu yake.
 
Irani kawekeza sana kwenye elimu, pale Mashariki ya kati labda Israeli ndio anaweza shindana naye kwenye swala.la sayansi, na hata Kiwango cha elimu yake kiku juu sana kuliko hata Western,
Yah you're right bro.
 
Ni hawa hawa Iran wenye uwezo wa kuifuta Isreal kwenye uso wa dunia kwa maneno ya mdomoni, usifanye mchezo na taifa la kiyahudi, level yao ni juu mara mia zaidi ya binadamu mwingine yoyote anayeishi duniani....Israel is blessed.
Unazungumzia Israel gani mkuu? Hii ambayo raia wake walifanywa watumwa na firauni kule Misri? Hii ambayo raia wake walitawaliwa na kuteswa na warumi? Hii ambayo raia wake walishindwa kujisimamia na kuamua kukimbilia ulaya hadi pale Hitler alipoamua kuwasambaratisha na kuwaangamiza? Unazungumzia Israel ambayo ni waingereza ndio waliwasaidia kuwatoa huko katika makambi ya ulaya na kuja kuwapachika hapo mashariki ya kati ambapo leo ndio wanapopigania na wapalestina? Au unazungumzia Israel hii inayopewa misaada ya fedha na ya kijeshi na Marekani?

Unafikiri Israel ikinyimwa tu misaada ya kifedha kwa muda wa miaka 5 tu na Marekan achilia mbali kuwekewa vikwazo itaweza ku savaivu?

Israel, Marekani, Uingereza, Ujerumani, Ufaransa na vibaraka wao Saudia wamejaribu kuidhibiti Iran kwa kila njia lkn imeshindikana. Jiulize kwanini nchi za magharibi hawakuziwekea vikwazo Saudia na washirika wake kama jinsi wameiwekea Iran? Jibu ni kwa sababu wamegundua wa Iran ndio taifa ambalo kama haukuliwekea vikwazo vya kiuchumi na silaha linaweza kutengeneza silaha mbaya na zenye nguvu zaidi kuliko nchi zote zilizopo mashariki ya kati ikiwemo hiyo Israel yako.

Waswahili wanakwambia mti wenye matunda mazuri ndio hupigwa mawe, nikimaanisha ukiona nchi karibuni zote za magharibi na washirika wake wakiwemo saudia na israel wameiwekea vikwazo vikubwa Iran jua nchi hiyo wanaiona ni hatari na tishio kwa mustakabali wa ulinzi wao na uchumi wao.
 
wanaoisadia ISRAEL kwa fedha na kijeshi ni WAISLAEL wenyewe waliotapakaa ULAYA na AMERICA
Hao matajiri wa marekani unaowaona HUSUSANI ule utajiri wenyewe haswa wa SECTA ya siraha unashikiliwa na MATAJIRI WA KIISLAEL wenyewe ambao ni RAIA wa marekani
na karibu 80% ya makampuni makubwa ya wamarekani na ulaya wanayamiliki WAISRAEL ambao wana uraia katika hizo NCHI
TAIFA la ISRAEL kuanguka inapaswa UCHUMI wa DUNIA uanguke na tuanze upya
na kinachowafanya WAISRAEL wazidi kusonga na kufanikiwa ni kujivunia kuwa Wao ni WAISRAEL na MUISRAEL yoyote wao ni ndugu damu haijalishi tumbo au mtoto wa mjomba wewe ukishakuwa MUISRAEL basi wewe ni NDUGU na kila MUISRAEL ana dhamana na kwa MUISRAEL mwenzie yaani kwao ISRAEL
slogan yao hiyo inawafanya wazidi kupasua anga kwa mafanikio
na hayo yote yalikuja baada kile kichapo cha kufyekelewa mbali na ADOLF HITLER
hvyo mkuu kwa umoja na Uchumi imala wa WAISLAEL inahitajika NGUVU kubwa sana tena sana KUISAMBALATISHA
Ingekuwa lelemama bila BACKUP ya WAISLAEL wa AMERICA na ULAYA kwa kanchi kale kadogo kalikozungukwa na MAADUI kibao kangeshafutika kitambo
 
Dunia hii na karne hii ya 21 bado unashikiwa akili na kudanganywa utafikiri bado upo katika karne ya 10 huko.
Wengi mnamezeshwa uongo na nyinyi bila kujitambua au kutafakari mnameza tu.
Ukweli ni kwamba Israel inafadhiliwa kijeshi na kifedha na serikali ya Marekani ikishirikiana na nchi zingine za magharibi. Obvious ni kweli kuna matajiri wa Israel na hata wasiokuwa Israel wanaifadhili Israel lkn, lkn serikali za nchi hizo nilizotaja hapo juu ndio wafadhili wakubwa wa Israel ndio maana utasikia serikali ya Marekani inaipa au imeipa Israel bilioni fulan kwa ajili ya kuimarisha shughuli zake za ulinzi na kiuchumi, vigumu kusikia taarifa ya habari ikisema matajiri kadhaa wa Marekani wameipa Israel bilion fulan kwa ajili ya shughuli fulan nk.

Sasa jiulize taifa teule kwanini litegemee misaada ya kifedha na kijeshi kutoka nje?
Kwanini ling'ang'anie kusema Iran iendelee kuwekewa vikwazo? Yenyewe si ina nguvu inaogopa nini sasa hadi ing'ang'anie mwenzake aendelee kuwekewa vikwazo?

Israel ni sawa sawa na bondia 'A' ambae anataka kupigana na bondia 'B' ambae ni Iran, afu Israel bondia
A anasema kwamba kabla ya pambano bondia 'B' afungwe kwanza mikono (awekewe vikwazo) afu ndo aingie mapambanoni.

Pamoja na kuachiwa atengeneze silaha, na msaada wa kijeshi juu kwa zaidi ya miaka 50 lkn bado anahofia Iran ikiwa huru inaweza kutengeneza silaha ambazo zitaleta maangamizi makubwa katika ardhi yake.

Israel pia ni kama CCM, yenyewe iko huru kufanya mikutano na kampeni mbali mbali ikisaidiwa na serikali (USA, UK, France nk) huku ikizuia wapinzani (Iran) wasifanye mikutano wala kampeni (vikwazo) afu kwenye uchaguzi wanategemea kusema eti wameshinda uchaguzi huo kwa njia ya haki kweli?

Kwanini wasiwaachie (waondoe vikwazo) na wapinzani (Iran) kufanya mikutano na kampeni zao kama ilivyo kwa CCM (Israel)
Afu sasa ndio waende kwenye mpambano wa uchaguzi (vita) kuona nani ni mshindi wa kweli?

Jinsi CCM inavyoogopa upinzani na kuuzuia usifanye mikutano yake, ndo jinsi Israel, Marekani, Saudia na nchi za magharibi zinavyoihofia Iran isiwe huru kutengeneza silaha zake na kuboresha uchumi wake.
 
ukweli
 
Ngoja wala nguruwe waje ...wanaomuabdu mfalme wa uingereza baada mungu wao wa kike kufa na wanaoabudu Italy waje ..
Tatizo wao ndio wanaojishtukia, lkn swala hili halihusiani na dini ya mtu.

Bali tunazungumzia uhalisia wa kweli dhidi ya propaganda za uongo walizoaminishwa watu huko zaman kabla ya kuja kuuona kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…