Ajifanye kiherehere wa kuongea maneno mbofu mbofu dhidi ya Taifa teule. Watamfuata yeye tuu na kumdungua na kumpeleka firidausWanaukumbi.
Tel Aviv iwe tayari tena kwa makombora ya Iran.
Operesheni True Promise III inakuja hivi karibuni.
Iran, wamesema wazi lazima walipize kisasi wana haki ya kujilinda kama taifa kamwe hawezi kukubali na wako tayari kwa vita virefu.
View: https://x.com/timesof_lebanon/status/1850231493710262737?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Kumbe wee ujui kuwa hiki ndo US anataka⚠️
🇺🇸 | "Imechelewa sana kuizuia Iran"
Marekani imekiri kwamba sasa haiwezekani kuizuia Iran kushambulia Israel - Maafisa wakuu wa Marekani
...
Us anataka Unakijua ww wa KwimbaKumbe wee ujui kuwa hiki ndo US anataka
Unaruhusiwa kujifariji ni free serviceIsrael noma sana. Yaani wamewaparalyse Hamas, Hezbollah na wengine sasa wanamtaka Iran. Kula vitoto ili ukianza kumla mama yao visilie
Ndege za Israel na marekani hazijaingia katika airspace ya Iran zimeshambulia km 100 kutoka border ya Iran na Iraq. Taarifa rasmi ya jeshi la Iran jioni hiiNdege 100 zimepenya hapo Tehran mana yake zimepita nchi yote "undetectable".
Yani mtu atume ndege 100 toka Entebbe zipite Kagera mpaka Sumbawanga na zirudi Entebbe bila kuonekana.
Israel imetuma ujumbe mzuri kwamba panaweza geuzwa majivu hapo Tehran na kuchoma kobazi zote hapo. 😁
Hawa wagalatia ndiyo wanapa utajiri kina Mwamposa😂Ndege 100 zimepenya hapo Tehran mana yake zimepita nchi yote "undetectable".
Yani mtu atume ndege 100 toka Entebbe zipite Kagera mpaka Sumbawanga na zirudi Entebbe bila kuonekana.
Israel imetuma ujumbe mzuri kwamba panaweza geuzwa majivu hapo Tehran na kuchoma kobazi zote hapo. 😁
⚠️
🇺🇸 | "Imechelewa sana kuizuia Iran"
Marekani imekiri kwamba sasa haiwezekani kuizuia Iran kushambulia Israel - Maafisa wakuu wa Marekani
...mtego
Na waafrika vichwa vinageuka hawajui waangalie wapi 😄Nyuma ya Iran kuna mrusi na allies wake, nyuma ya Israel kuna US na allies wake
Kazi ipo, ngoja tuone