IRAN: Tel Aviv iwe tayari tena kwa makombora ya Iran ya kulipiza kisasi

IRAN: Tel Aviv iwe tayari tena kwa makombora ya Iran ya kulipiza kisasi

Kama operation yenyewe inavyojieleza basi Iran hana ahadi hewa hapo vyuma vinawekwa sawa kwa ajili ya kupeperushwa kwenda Israel hakuna cha Iron domo wala THAAD itakayozuia makombora.

Iran hana taarabu nyingi bali vitendo tu.

Baada ya ahadi hii kutolewa kuanzia Nyetonyau hadi wananchi wake wapo mashimoni hawajui mzigo utashushwa lini na Muajemi.😂😂
Muda si mrefu Israel anaenda kupasua nuclear sites na visima vya mafuta.
 
aiseee nilitaka kuja na andiko la ivi ivi kuwa Iran kwa ukubwa wake inabidi amnyooshe tena dogo mana ataleta dhalau atakama akuna madhala sana lkn ayo ayo madogo na kufa wajeda wawili aiwezi kuwachwa kimya Iran inabidi atume viuma live tena kambi zibutuliwe mwana ukome bila shaka kwasasa Iran ashajua uwezo wake so kazi yasasa ni kuipanga upya air difen
Humu jukwaani kuna watu walisema Yahudi hawezi rusha hata jiwe Iran..
 
Wanaukumbi.

Tel Aviv iwe tayari tena kwa makombora ya Iran.
Operesheni True Promise III inakuja hivi karibuni.

Iran, wamesema wazi lazima walipize kisasi wana haki ya kujilinda kama taifa kamwe hawezi kukubali na wako tayari kwa vita virefu.


View: https://x.com/timesof_lebanon/status/1850231493710262737?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

in fact, israel amesababisha madhara makubwa sana kwenye silaha na bases, ndio maana amekimbilia kusema tayari amelipiza, amemaliza, meaning anajua kwa madhara aliyosababisha iran lazima atataka kujirudishia. bahati mbaya, radar za iran na defence system zimefyekwa, hivyo myahudi sasaivi akitaka anaingia na kutoka bila kuonwa. hata iran awe na makombora namna gani kwa sababu air defence system zake zimesambaratishwa atapigwa kama mtoto mdogo na hatajua kama ndege zinakuja au zinatokea upande gani.
 
1000012959.jpg
 
in fact, israel amesababisha madhara makubwa sana kwenye silaha na bases, ndio maana amekimbilia kusema tayari amelipiza, amemaliza, meaning anajua kwa madhara aliyosababisha iran lazima atataka kujirudishia. bahati mbaya, radar za iran na defence system zimefyekwa, hivyo myahudi sasaivi akitaka anaingia na kutoka bila kuonwa. hata iran awe na makombora namna gani kwa sababu air defence system zake zimesambaratishwa atapigwa kama mtoto mdogo na hatajua kama ndege zinakuja au zinatokea upande gani.
Mchambuzi wa masuala ya kivita kutoka Kibongoto.

Yaani wewe unaijua Iran kuliko Wairani wenyewe. Sasa subiri operation True promise 3 ndiyo utajua propaganda za mashog,a hazina nafasi katika dunia ya leo.
 
Muda si mrefu Israel anaenda kupasua nuclear sites na visima vya mafuta.
😂😂 Hatojaribu kufanya kosa hilo la karne vinginevyo Mazayuni wameamua kuifuta rasmi nchi feki iliyobuniwa 1948 na azimio la UN.

Yaani Marekani na ukubwa wake wote hawezi hata kuthubutu kufanya kosa la kiufundi kama hilo sembuse kanchi ombaomba kama Israel?
 
in fact, israel amesababisha madhara makubwa sana kwenye silaha na bases, ndio maana amekimbilia kusema tayari amelipiza, amemaliza, meaning anajua kwa madhara aliyosababisha iran lazima atataka kujirudishia. bahati mbaya, radar za iran na defence system zimefyekwa, hivyo myahudi sasaivi akitaka anaingia na kutoka bila kuonwa. hata iran awe na makombora namna gani kwa sababu air defence system zake zimesambaratishwa atapigwa kama mtoto mdogo na hatajua kama ndege zinakuja au zinatokea upande gani.
Mi nawashangaa sana nyie watu. Kwanini hamtuoneshi kwa picha na video hayo madhara yaliyofanyika huko Iran?
Wakati Iran anaipiga Israel tarehe 1 mwezi huu tuliona Live moto ukishuka pale Tel avivi je Israel na marekani wanakwama wapi kutoonesha live wakiwasha moto hapo Jana?

Nahitimisha kwa kusema Israel na marekani wamefeli kulipa kisasi kwa Iran hapo Jana .
 
in fact, israel amesababisha madhara makubwa sana kwenye silaha na bases, ndio maana amekimbilia kusema tayari amelipiza, amemaliza, meaning anajua kwa madhara aliyosababisha iran lazima atataka kujirudishia. bahati mbaya, radar za iran na defence system zimefyekwa, hivyo myahudi sasaivi akitaka anaingia na kutoka bila kuonwa. hata iran awe na makombora namna gani kwa sababu air defence system zake zimesambaratishwa atapigwa kama mtoto mdogo na hatajua kama ndege zinakuja au zinatokea upande gani.
Myahudi Mchambuzi wa siasa za mashariki ya kati kutoka Lindi.

Hizi story huwa mnatoa wapi?
 
in fact, israel amesababisha madhara makubwa sana kwenye silaha na bases, ndio maana amekimbilia kusema tayari amelipiza, amemaliza, meaning anajua kwa madhara aliyosababisha iran lazima atataka kujirudishia. bahati mbaya, radar za iran na defence system zimefyekwa, hivyo myahudi sasaivi akitaka anaingia na kutoka bila kuonwa. hata iran awe na makombora namna gani kwa sababu air defence system zake zimesambaratishwa atapigwa kama mtoto mdogo na hatajua kama ndege zinakuja au zinatokea upande gani.
Kama yesu akija na hakika nae atalipiza kisasi kwa wayahudi maana si kwa misumari ile
 
Do you believe this boss?
Sasa mara ndege 100 mara few dozens
Huku wanasema kapiga kwa mbali hakuingiza ndege bali jirani
Kwa utandawazi.huu na technology hii
Ngoja na mimi niwe blogger tu wa kuungaunga habari 😄 🤣
Nadhani ukimsikiliza vizuri utagundua kuwa Ndege nyingine zilipewq kazi ya kulipua Radar za Syria Arab Republic zingine zikapewa kazi ya kulipua Radar za Iraq Arab Republic ili kuclear njia na Ndege zingine zikamuingilia Ayatolah.
 
Mi nawashangaa sana nyie watu. Kwanini hamtuoneshi kwa picha na video hayo madhara yaliyofanyika huko Iran?
Wakati Iran anaipiga Israel tarehe 1 mwezi huu tuliona Live moto ukishuka pale Tel avivi je Israel na marekani wanakwama wapi kutoonesha live wakiwasha moto hapo Jana?

Nahitimisha kwa kusema Israel na marekani wamefeli kulipa kisasi kwa Iran hapo Jana .
sasa iran angetangaza kwamba atalipiza kisasi kama hakuna madhara ndugu yangu. cha muhimu ni kuomba Mungu wapatane tu, vita sio nzuri, ila kupigwa kapigwa mno. kiwanda chake cha kutengeneza makombora kimekuwa majibu na itachukua si chini ya miaka 2 kusimama, air defence system zote fyekelea mbali, sasaivi hata Tanzania tunaweza kwenda na ndege yetu pale tukapiga na kurudi bila iran kujua kama tunakuja wala kutudungua.
 
Back
Top Bottom