IRAN: Tel Aviv iwe tayari tena kwa makombora ya Iran ya kulipiza kisasi

IRAN: Tel Aviv iwe tayari tena kwa makombora ya Iran ya kulipiza kisasi

Mi nawashangaa sana nyie watu. Kwanini hamtuoneshi kwa picha na video hayo madhara yaliyofanyika huko Iran?
Wakati Iran anaipiga Israel tarehe 1 mwezi huu tuliona Live moto ukishuka pale Tel avivi je Israel na marekani wanakwama wapi kutoonesha live wakiwasha moto hapo Jana?

Nahitimisha kwa kusema Israel na marekani wamefeli kulipa kisasi kwa Iran hapo Jana .
Kwa hiyo unadhani Israel imeua wanajeshi 2 wa irani kwa kuwavizia kama inavyofanya hamas na Hezbollah?

Israel imepiga tagerts za kijeshi ambazo Iran hawezi kuonesha zilivyoharibiwa
 
Ndege 100 zimepenya hapo Tehran mana yake zimepita nchi yote "undetectable".
Yani mtu atume ndege 100 toka Entebbe zipite Kagera mpaka Sumbawanga na zirudi Entebbe bila kuonekana.

Israel imetuma ujumbe mzuri kwamba panaweza geuzwa majivu hapo Tehran na kuchoma kobazi zote hapo. 😁
We dogo uko wapi dunia nzima inajua wazi ndege za US na Israel zilishia nje ya mpaka wa Iran. hawakusubutu kusogeza pua zao Iran.
 
sasa iran angetangaza kwamba atalipiza kisasi kama hakuna madhara ndugu yangu. cha muhimu ni kuomba Mungu wapatane tu, vita sio nzuri, ila kupigwa kapigwa mno. kiwanda chake cha kutengeneza makombora kimekuwa majibu na itachukua si chini ya miaka 2 kusimama, air defence system zote fyekelea mbali, sasaivi hata Tanzania tunaweza kwenda na ndege yetu pale tukapiga na kurudi bila iran kujua kama tunakuja wala kutudungua.
Bila ushahidi hapa mkuu unapoteza muda wako kujieleza. Tunataka tuone moto ukiwaka Tehran kama tulivyoona Tel Aviv. Iran imesema radar zimeharibiwa na Air defense kwa minimal damage. Sasa nyie hayo mnayotueleza bila ushahidi tutaamini vipi ikizingatiwa tumeona Iran akiyatungua makombora ya Israel na marekani hewani ?
 
Kwa hiyo unadhani Israel imeua wanajeshi 2 wa irani kwa kuwavizia kama inavyofanya hamas na Hezbollah?

Israel imepiga tagerts za kijeshi ambazo Iran hawezi kuonesha zilivyoharibiwa
Taarifa ya kuuliwa hao wanajeshi imetolewa na Iran na wasingesema tusingejua chochote. Mimi nauliza mbona Iran walipoipiga Israel tuliona milipuko Tel Aviv kwanini wakati Israeli na marekani wanaipiga Iran hakuna milipuko ya moto au yalikua yanalipuka hewani?
 
Iran sasa wanamfanya shetanyau asitoke pangoni.
Israel wamesambaratisha air defence system za iran kabisa, sasaivi iran akirusha chochote ndege zitakuja na kupiga na hataziona kabisa kabisa. Myahudi kasababisha madhara makubwa sana Iran, syria na Iraq ndani ya masaa mawili, ukiona israel inasema imeshamaliza retaliation, jua anafahamu alichokifanya kimeleta maumivu. sasaivi hata bongo tukitaka tunaenda na kurudi iran hakuna atakayetuona, manake air defence system na rada zao wamefyekelea mbali.
 
sasa iran angetangaza kwamba atalipiza kisasi kama hakuna madhara ndugu yangu. cha muhimu ni kuomba Mungu wapatane tu, vita sio nzuri, ila kupigwa kapigwa mno. kiwanda chake cha kutengeneza makombora kimekuwa majibu na itachukua si chini ya miaka 2 kusimama, air defence system zote fyekelea mbali, sasaivi hata Tanzania tunaweza kwenda na ndege yetu pale tukapiga na kurudi bila iran kujua kama tunakuja wala kutudungua.
Tumia akili wewe mfuasi wa Zumaridi.

Ingekuwa kweli shambulizi limeathiri mifumo ya ulinzi ya Iran pamoja na radar zote basi ingekuwa fursa nzuri kwa Mazayuni na Marekani kuishambulia Iran ili kuimaliza kabisa.

Yaani jinsi Iran anavyowanyima usingizi Israel na ulaya yote halafu wapate fursa adhimu kama hiyo waache kuitumia ili kumaliza kazi kabisa?

Hivi nyie huwa mnatumia nini kufikiri? Hata akili ya kawaida tu huna ya kung'amua mambo madogo kama haya?
 
Bila ushahidi hapa mkuu unapoteza muda wako kujieleza. Tunataka tuone moto ukiwaka Tehran kama tulivyoona Tel Aviv. Iran imesema radar zimeharibiwa na Air defense kwa minimal damage. Sasa nyie hayo mnayotueleza bila ushahidi tutaamini vipi ikizingatiwa tumeona Iran akiyatungua makombora ya Israel na marekani hewani ?
kwa hiyo unawapinga wairan, wewe mtu wa mbagala? manake serikali ya iran imekiri kupigwa na imesema italipiza kisasi.
 
Israel wamesambaratisha air defence system za iran kabisa, sasaivi iran akirusha chochote ndege zitakuja na kupiga na hataziona kabisa kabisa. Myahudi kasababisha madhara makubwa sana Iran, syria na Iraq ndani ya masaa mawili, ukiona israel inasema imeshamaliza retaliation, jua anafahamu alichokifanya kimeleta maumivu. sasaivi hata bongo tukitaka tunaenda na kurudi iran hakuna atakayetuona, manake air defence system na rada zao wamefyekelea mbali.
Yaani laiti Israel na Marekani wangefanikiwa kuhujumu miundombinu ya kijeshi ya Iran hata kwa asilimia 20 tu basi sahizi Iran ingekuwa inashambuliwa mfululizo ili kuimaliza kabisa.

Lakini kwakuwa ukweli ni kwamba hakuna madhara yaliyotokea ndiyo maana unaona Israel na Marekani wameingiwa ubaridi wanafikiria majibu ya Iran yatakuwaje this time.
 
in fact, israel amesababisha madhara makubwa sana kwenye silaha na bases, ndio maana amekimbilia kusema tayari amelipiza, amemaliza, meaning anajua kwa madhara aliyosababisha iran lazima atataka kujirudishia. bahati mbaya, radar za iran na defence system zimefyekwa, hivyo myahudi sasaivi akitaka anaingia na kutoka bila kuonwa. hata iran awe na makombora namna gani kwa sababu air defence system zake zimesambaratishwa atapigwa kama mtoto mdogo na hatajua kama ndege zinakuja au zinatokea upande gani.
Aaah mkuu usitudanganye bana video tumeona makombora ya Israel yakiwa intercepted.
Sasa kama mifumo ya anga ya Iran imeshambaratishwa Iran ilikua inadungua makombora ya Israel kutumia nini!??
 
sasa iran angetangaza kwamba atalipiza kisasi kama hakuna madhara ndugu yangu. cha muhimu ni kuomba Mungu wapatane tu, vita sio nzuri, ila kupigwa kapigwa mno. kiwanda chake cha kutengeneza makombora kimekuwa majibu na itachukua si chini ya miaka 2 kusimama, air defence system zote fyekelea mbali, sasaivi hata Tanzania tunaweza kwenda na ndege yetu pale tukapiga na kurudi bila iran kujua kama tunakuja wala kutudungua.
ndoto zingine shida sana mtu anakula ugali wa dona mchana mpaa kakosa pumzi, afu anaota usiku eti kala ugali 😄
 
Yaani laiti Israel na Marekani wangefanikiwa kuhujumu miundombinu ya kijeshi ya Iran hata kwa asilimia 20 tu basi sahizi Iran ingekuwa inashambuliwa mfululizo ili kuimaliza kabisa.

Lakini kwakuwa ukweli ni kwamba hakuna madhara yaliyotokea ndiyo maana unaona Israel na Marekani wameingiwa ubaridi wanafikiria majibu ya Iran yatakuwaje this time.
wamefanya hivyo. miundo mbinu yenyewe wala si ya kutisha sana, anachoringia iran ni vitu viwili tu, (1) nuclear facility ambayo ukipiga tu italeta madhara kwa raia wa Iran na israel au amrekani watalaumiwa milele (2) kiwanda cha kuzalisha mafuta kwenye kile kisiwa chao ambacho ukipiga tu mafuta yatasambaa baharini na bahari itachafuka, kwa wana mazingira hiyo itakuwa msala mkubwa sana.

inajulikana IRAN ana mahandaki ya kuhifadhia siala chini ya ardhi, lakini hata uwe na silaha namna gani kama air defence system yako ni mbovu, wenzio watakuja na ndege watakupiga na hautawaona. utasoma namba tu. Israel kasambaratisha air defence systems hata zile Mrusi alipeleka IRan zimefyekwa, sasaivi iran yupo uchi kabisa, Israel inaweza kumpiga ipendavyo na hatajua kama kuna ndege zinakuja wala zinatokea wapi.
 
sasa iran angetangaza kwamba atalipiza kisasi kama hakuna madhara ndugu yangu. cha muhimu ni kuomba Mungu wapatane tu, vita sio nzuri, ila kupigwa kapigwa mno. kiwanda chake cha kutengeneza makombora kimekuwa majibu na itachukua si chini ya miaka 2 kusimama, air defence system zote fyekelea mbali, sasaivi hata Tanzania tunaweza kwenda na ndege yetu pale tukapiga na kurudi bila iran kujua kama tunakuja wala kutudungua.
Mkuu uongo huwa haukufai.
Tumeona video Iran iki dungua yale mashambulizi.
Pia Iran ilisema kitendo chochote cha Israel kushambulia Iran iwe kimefeli ama kufaulu kitajibiwa.
 
Aaah mkuu usitudanganye bana video tumeona makombora ya Israel yakiwa intercepted.
Sasa kama mifumo ya anga ya Iran imeshambaratishwa Iran ilikua inadungua makombora ya Israel kutumia nini!??
vile vilikuwa vinalipuka milipuko midogo? pole sana, unaambiwa zile sasa sio zile land to air defences, walikuwa wanarusha artilary na wengine walitumia hadi bunduki kujaribu kudungua. ndege 100 zilienda na zote zimerudi hakuna hata iliyopata mkwaruzo. Ukisema uliona iran inadungua makombora unakosea, kwa sababu Israel alienda na ndege hadi iran, hakurusha makombora. vile ulivyoviona walikuwa wanahangaika tu hao wairan.
 
Back
Top Bottom