Record Man
JF-Expert Member
- May 25, 2023
- 525
- 876
Chombo za habari Cha Iran.Ndege za Israel na marekani hazijaingia katika airspace ya Iran zimeshambulia km 100 kutoka border ya Iran na Iraq. Taarifa rasmi ya jeshi la Iran jioni hiiView attachment 3136112
Iran walisema hakuna madhara yoyote ila wameaanza kusema askari wameuwawa