IRAN: Tel Aviv iwe tayari tena kwa makombora ya Iran ya kulipiza kisasi

IRAN: Tel Aviv iwe tayari tena kwa makombora ya Iran ya kulipiza kisasi

Ndege za Israel na marekani hazijaingia katika airspace ya Iran zimeshambulia km 100 kutoka border ya Iran na Iraq. Taarifa rasmi ya jeshi la Iran jioni hiiView attachment 3136112
Wameshindwa kuziona ndege wameishia kusema haIjaibgia anga lao hahaha Hagari amesema ndege tena wanawake wameendesha zilikuwa free anga la Iran... tatizo wameduwazwa pigo la kwanza usiku lilikuwa shabaha kwa Air defense then asubuhi ndege zikaanza kufyatua viwanda vya jeshi freely
 
mm naamini Iran ingweza kuzuiya kushambuliwa kwa %100 lkn akaacha target kidogo wapate sababu hii waliotangaza lkn pia uwenda ata kutangaza vifo vya wajeda2 ni ktk kutafuta sababu ya kulipiza kisasi mana wangeuchuna nani angejua kuwa wao wamepoteza wajeda2 uwenda ata wamezuiya kwa %100 lkn ndio ivyo wanataka tu kutoa kipigo kwa kibonde wake mana akuna mlipuko umeonakena ndani y Iran zaid kilichoonekana ni uwezo mkubwa wa kuzuiya ujuma y Israel kwaiyo tuseme tu Israel ndio anatafutwa na Iran chokochoko zote mm naamini urusi ipo nyuma y hiii vita ikitafutwa sababu njiaa kuu ya mafuta na gas zifungwe na Iran kuchagiza mzozo mkubwa uko ulaya ambao pengine utakuja na suruuu ya kumaliza vita ya ukrain wazungu w ulaya wakikosa mafuta n gas ya qatar kwasasa aliikwao itakuwa tete. UsA nae inajikuta pagumu mana anajua anamikambi kibao na Iran anaweza kuzipiga zote mwingeleza nae ivyoivyo anajambi kubwa pale oman iyo kambi ni yamiaka mingi sana nyuma iran na oman wametenganishwa na bahari nyembamba sana so Iran inawezs kubutua kambi za ao mapacha wawili na kusababisha vifo vingi vyawajeda wao,,,,
 
Wameshindwa kuziona ndege wameishia kusema haIjaibgia anga lao hahaha Hagari amesema ndege tena wanawake wameendesha zilikuwa free anga la Iran... tatizo wameduwazwa pigo la kwanza usiku lilikuwa shabaha kwa Air defense then asubuhi ndege zikaanza kufyatua viwanda vya jeshi freely
Tuoneshe picha za video bila ushahidi unajisumbua bure kutoa maelezo mkuu hautaaminika.
 
Ndege 100 zimepenya hapo Tehran mana yake zimepita nchi yote "undetectable".
Yani mtu atume ndege 100 toka Entebbe zipite Kagera mpaka Sumbawanga na zirudi Entebbe bila kuonekana.

Israel imetuma ujumbe mzuri kwamba panaweza geuzwa majivu hapo Tehran na kuchoma kobazi zote hapo. 😁
Platinum member kabisa.
Hasara kubwa hii!!!
 
Wanaukumbi.

Tel Aviv iwe tayari tena kwa makombora ya Iran.
Operesheni True Promise III inakuja hivi karibuni.

Iran, wamesema wazi lazima walipize kisasi wana haki ya kujilinda kama taifa kamwe hawezi kukubali na wako tayari kwa vita virefu.


View: https://x.com/timesof_lebanon/status/1850231493710262737?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Hawezi kitu muajemi, Israel alitaka kujua strength ya Iran, sasa kaijua kuwa Iran iko vizuri, sasa kifuatacho ITV tutaona B-2 bombers za mmarekani zikicheza singeli Iran.. 🤣
 
Wewe kenge kweli. Kwanza wanajeshi waliokufa ni wanne. Pili Israel imepiga awamu 3 halafu usisahau Iraq na Iran kwa wakat mmoja walifunga anga lao. Na so ndani ya awamu tatu ushindwe kwenda kurusha hata ndege moja kwenda kupambana na adui? Ndege zenyewe pilot. Mademu
Kenge mimi au wewe!?
Ushasahau kama Iraq kuna kambi za kijeshi za USA!?
Hizo kambi za USA ndani ya Iraq ndizo zimetumika ku facilitate hilo shambulio.
Ngojea nitaenda kuhakiki kama ni wanne ila taarifa nilosoma inasema wawili.
Pilot kuwa demu hoja!?
Mbona Tanzania ina pilot wa fighter jets mademu tena wengi tu na wanazirushaga hizo ndege!??
Hoja zako dhaifu kiasi hiki!??
 
Kenge mimi au wewe!?
Ushasahau kama Iraq kuna kambi za kijeshi za USA!?
Hizo kambi za USA ndani ya Iraq ndizo zimetumika ku facilitate hilo shambulio.
Ngojea nitaenda kuhakiki kama ni wanne ila taarifa nilosoma inasema wawili.
Pilot kuwa demu hoja!?
Mbona Tanzania ina pilot wa fighter jets mademu tena wengi tu na wanazirushaga hizo ndege!??
Hoja zako dhaifu kiasi hiki!??
Hajui huyo! Tena kuna mmoja mbichi kabisa hata 25 hakufikisha alipelekwa Afrika ya Kusini kwa training.

Tena ni pisi kali!
 
Cha kushangaza kila Israel ikiipiga Iran utaona viongozi wa USA na west wanaanza kutoa warning kuwa Iran isilipize dunia haitaki escalation. Yani escalation ni Iran kujibu lakini sio Israel ikichokoza.

Hawa west watakuwa wamenyweshwa mvinyo na Israel sio bure
uzuri Iran hasikilizagi upuuzi wao
 
Cha kushangaza kila Israel ikiipiga Iran utaona viongozi wa USA na west wanaanza kutoa warning kuwa Iran isilipize dunia haitaki escalation. Yani escalation ni Iran kujibu lakini sio Israel ikichokoza.

Hawa west watakuwa wamenyweshwa mvinyo na Israel sio bure
uzuri Iran hasikilizagi upuuzi wao
Wamewekwa hapo lazima wayahudi watetewe kwa gharama yoyote hatakama ni kujitoa akili
 
Back
Top Bottom