IRAN: Tel Aviv iwe tayari tena kwa makombora ya Iran ya kulipiza kisasi

IRAN: Tel Aviv iwe tayari tena kwa makombora ya Iran ya kulipiza kisasi

Hata kule kwa wavaa mashuka Afghanistan pia US alikuwa anataka, lakini mwisho wa siku akakimbia mwenyewe bila kuaga. Tena aliowakimbia wavaa mashuka wasiokuwa na drone, mifumo ya ulinzi wala kifaru. So ije kuwa huku kwa watu wenye misilaha mpaka mingine wanampa mrusi bure awachape wavaa nepi huko Ukraine!!
Nataman Israeli akimalizana na wavaa kobazi wa huko mashariki ya kati aje na huku awachape pia wavaa kobazi wa mashariki ya Afrika.
 
An Israeli source to the Wall Street Journal: Iran had four S-300 air defense batteries, and they are the most advanced systems in Iran's air defense system. During the Israeli attack on Iran this weekend, all these systems were destroyed. US officials said the strike on Iran's ballistic missile industry had stripped Tehran of capabilities it would take years to restore.
 
Mi nawashangaa sana nyie watu. Kwanini hamtuoneshi kwa picha na video hayo madhara yaliyofanyika huko Iran?
Wakati Iran anaipiga Israel tarehe 1 mwezi huu tuliona Live moto ukishuka pale Tel avivi je Israel na marekani wanakwama wapi kutoonesha live wakiwasha moto hapo Jana?

Nahitimisha kwa kusema Israel na marekani wamefeli kulipa kisasi kwa Iran hapo Jana .
Je Iran iliporusha makimbora yake ulipata picha ya madhara yaliyosababishwa au uliishia kuona makombora yakipaa tu
 
Ndege 100 "armoured" zinaingiaje nchi kama Iran zisitambulike hata kama hazijafanya lolote?
Tuache ushabiki Iran anatakiwa akae chini ajiulize maswali na apate majawabu.
 
Kenge mimi au wewe!?
Ushasahau kama Iraq kuna kambi za kijeshi za USA!?
Hizo kambi za USA ndani ya Iraq ndizo zimetumika ku facilitate hilo shambulio.
Ngojea nitaenda kuhakiki kama ni wanne ila taarifa nilosoma inasema wawili.
Pilot kuwa demu hoja!?
Mbona Tanzania ina pilot wa fighter jets mademu tena wengi tu na wanazirushaga hizo ndege!??
Hoja zako dhaifu kiasi hiki!??
Kama kawaida yenu kujifariji. Mwanzon mlisema yamedunguliwa yote baadae uharibifu umetokea kidogo lakin sasa Iran kakiri wanajesh wanne wameuwawa na mashambulizi yalikuwa mikoa mitano tofauti.
 
Mi nawashangaa sana nyie watu. Kwanini hamtuoneshi kwa picha na video hayo madhara yaliyofanyika huko Iran?
Wakati Iran anaipiga Israel tarehe 1 mwezi huu tuliona Live moto ukishuka pale Tel avivi je Israel na marekani wanakwama wapi kutoonesha live wakiwasha moto hapo Jana?

Nahitimisha kwa kusema Israel na marekani wamefeli kulipa kisasi kwa Iran hapo Jana .
Nadhani kama wamefeli basi sitarajii kuona Irani ikitaka kulipa kisasi.
 
wamefanya hivyo. miundo mbinu yenyewe wala si ya kutisha sana, anachoringia iran ni vitu viwili tu, (1) nuclear facility ambayo ukipiga tu italeta madhara kwa raia wa Iran na israel au amrekani watalaumiwa milele (2) kiwanda cha kuzalisha mafuta kwenye kile kisiwa chao ambacho ukipiga tu mafuta yatasambaa baharini na bahari itachafuka, kwa wana mazingira hiyo itakuwa msala mkubwa sana.

inajulikana IRAN ana mahandaki ya kuhifadhia siala chini ya ardhi, lakini hata uwe na silaha namna gani kama air defence system yako ni mbovu, wenzio watakuja na ndege watakupiga na hautawaona. utasoma namba tu. Israel kasambaratisha air defence systems hata zile Mrusi alipeleka IRan zimefyekwa, sasaivi iran yupo uchi kabisa, Israel inaweza kumpiga ipendavyo na hatajua kama kuna ndege zinakuja wala zinatokea wapi.
Mnatamani sana kama ingekuwa kweli🤣 ila kimoyo moyo mnaiskilizia ilivyopenya!
 
Tuliwaambia hizbollah sio hamas ukipiga raia na yeye anawalisha raia

— ❗️ 🇮🇱 BREAKING: A truck ran over dozens of settlers near the Mossad headquarters in Tel Aviv, At least 40 casualties are being reported.

@Middle_East_Spectator
40 casualties.

hivi hizo trucks huwa zinafanya hivyo kila siku>?

Hivi huwa unahesabu roho zinazoondolewa na wayahudi kule Gaza kila siku>?
 
Dunia nzima Tuliona moto mwingi sana ikiashiria kuwa mabomu yameanguka na kulipuka. Kule Iran mbona hata moto haukuonekana
Kwa hiyo hata kombora likidondoka kwenye ghala la mahindi na ukawaka moto mwingi basi unahesabu hiyo kama ni pigo kubwa?

hasara inahesabiwa na collateral damage ya shambulizi husika na sio ukubwa wa moto ambao umetokea sehemu ya shambulio.
 
sasa iran angetangaza kwamba atalipiza kisasi kama hakuna madhara ndugu yangu. cha muhimu ni kuomba Mungu wapatane tu, vita sio nzuri, ila kupigwa kapigwa mno. kiwanda chake cha kutengeneza makombora kimekuwa majibu na itachukua si chini ya miaka 2 kusimama, air defence system zote fyekelea mbali, sasaivi hata Tanzania tunaweza kwenda na ndege yetu pale tukapiga na kurudi bila iran kujua kama tunakuja wala kutudungua.
Kama shambulizi halijafanya uharibifu, Kwanini Irani watake kulipa tena kisasi?

Hili swali gumu sana kwa mwendawazimu kulijibu kwa ufasaha.
 
Kama kawaida yenu kujifariji. Mwanzon mlisema yamedunguliwa yote baadae uharibifu umetokea kidogo lakin sasa Iran kakiri wanajesh wanne wameuwawa na mashambulizi yalikuwa mikoa mitano tofauti.
Waliouliwa wamekufa as a result of interception.
Battery za interceptor ndio zimesababisha kifo.
Pia hata kwa uelewa wako embu pimia ndege 100 zilete madhara ya namna hiyo huoni kuwa nguvu kubwa outcomes ndogo sanaa!?
 
Kama shambulizi halijafanya uharibifu, Kwanini Irani watake kulipa tena kisasi?

Hili swali gumu sana kwa mwendawazimu kulijibu kwa ufasaha.
Iran ilishaapa kuwa italipiza kisasi itaposhambuliwa eidha madhara yatokee ama laa.
Kwani Syria wanavyorusha roketi na iron dome inapozipangua kwanini Israel anaenda kushambulia Syria licha ya kuwa amedhibiti yale mashambulizi!?
Kitendo cha kushambulia nchi nyingine hata kama shambulio limezuiliwa ni sawa na kutangaza vita.
 
Uelewa wa watu ni mdogo sana.

Video zinaonyesha interception za guided missiles, maana yake missiles zikitoka somewhere far sio exactly kwenye Iran airspace, kama zingekuwa ni ndege tungeona surface to air missiles zikifukuza ndege na sio missiles to missiles.

Inaonekana Israeli alirusha guided missiles from outside Iran airspace au somewhere very far from the target, labda jangwani huko.

All in all tuombe amani na kuacha ushabiki dhidi ya maisha ya watu, maisha ya kila mtu yanathamani duniani na mbele za mwenyezi Mungu, Pasetians wapewe Taifa lao nao waishi kama binadamu kuliko yanayoendelea sasa.
 
Back
Top Bottom