IRAN: Tel Aviv iwe tayari tena kwa makombora ya Iran ya kulipiza kisasi

IRAN: Tel Aviv iwe tayari tena kwa makombora ya Iran ya kulipiza kisasi

wakuu tulielewa Iran alizuiya lkn akupenda kitendo cha Israel kujibu kwaiyo Iran anataka amnyooshe tena muIsrael sasa ndio unasikia Iran anasema yapo madhala nimepata kwmbi zimepigwa viwanda vya dreone wajeda wake, lengo nini ndio umeona Iran ameenda kulala UN kama ujaumizwa unalalamika nn lkn nimbunu tu Iran anataka kumkanda tena mnyonge wake mana bado anauwa watu ovyo promis3 itakuwa tofaut na ile promis2 hii sasa inalengo ya kulenga viwanda wanajesh namengine kwaiyo Iran kulalamika ni seem ya janja janja ili kushtaki UN ikitwanga iseme imelipa kisasi ndio unaona waziri w ulinzi w marakan kaja juu sana kuiyonya Iran asishsmbulie tena ns uko israel baada ya kujua wanaenda kupigwa tena mmesikia nawao wamesema watashambulia Iran upya sababu wanadai Iran iliusika ktk jaribio la kumuua Netanyahi., kwaiyo hali bado moto pande zote na muimu kuwa Iran na Israel kunawezekano zikaingia vitani.
 
Mpaka apo tupo sawa Iran anatafuta sababu ili amtwange muIsrael kipondo kikubwa wkt uhouho asishtakiwe baraza la UN kwaiyo usingae Iran ata ikaongeza idadi ya waliokufa kwake kusema viwanda zaid vilipigwa ni anatafutwa mtu au tuseme anabebeswa gunia la nnya!! akichapwo usilalamike popote, shangamsheni akili zenu. Mjue kinachoendelea,,, lkn Iran alizuiya shambulizi. Kwake.
 
Huna tofauti na Bashite, so ukiona moto basi akili yako inajiongeza kuwa kuwa madhara? Usikute kuna mtu anakuita baba, nchi ngumu sana hii kama raia wake ndiyo watu kama wewe
Wewe ukiona bomu limeanguka na moto umewaka akili yako inakuambia ni nini kimetokea?
 
Wewe ukiona bomu limeanguka na moto umewaka akili yako inakuambia ni nini kimetokea?
Hilo siyo jambo la kuambiwa na akili, angalia kwa macho uone hayo madhara na siyo kusema bomu limeanguka basi litakuwa limeleta madhara, kama limeunguza nyasi tu
 
Back
Top Bottom