IRAN: Tel Aviv iwe tayari tena kwa makombora ya Iran ya kulipiza kisasi

IRAN: Tel Aviv iwe tayari tena kwa makombora ya Iran ya kulipiza kisasi

Uelewa wa watu ni mdogo sana.

Video zinaonyesha interception za guided missiles, maana yake missiles zikitoka somewhere far sio exactly kwenye Iran airspace, kama zingekuwa ni ndege tungeona surface to air missiles zikifukuza ndege na sio missiles to missiles.

Inaonekana Israeli alirusha guided missiles from outside Iran airspace au somewhere very far from the target, labda jangwani huko.

All in all tuombe amani na kuacha ushabiki dhidi ya maisha ya watu, maisha ya kila mtu yanathamani duniani na mbele za mwenyezi Mungu, Pasetians wapewe Taifa lao nao waishi kama binadamu kuliko yanayoendelea sasa.
Hapo nadhani umesisitiza sisi tunawaambia kila saa humu ila hawatuelewi vitu vimeinukia Iraq km 100 from boda ya Iraq/Iran na muajemi kacheza navyo kama mlivyoona ila wazayuni wanapenda show off na nioungo hawajatumia ndege 100, mziki wa ndege mia hata Iran wenyewe ungewalemea japo kila ndege ingerusha missiles 5 tu. Hali ingekuwa mbaya na hapo kama zingeingia
 
Kwa hiyo hata kombora likidondoka kwenye ghala la mahindi na ukawaka moto mwingi basi unahesabu hiyo kama ni pigo kubwa?

hasara inahesabiwa na collateral damage ya shambulizi husika na sio ukubwa wa moto ambao umetokea sehemu ya shambulio.
Hivi wewe unaakili kweli? Uliwahi kuona wapi bomu linadondoka halafu halitoi moto? Ukiona limedondoka na halijalipuka ujuwe halijaleta madhara acha kuwa mjinga.
 
Waliouliwa wamekufa as a result of interception.
Battery za interceptor ndio zimesababisha kifo.
Pia hata kwa uelewa wako embu pimia ndege 100 zilete madhara ya namna hiyo huoni kuwa nguvu kubwa outcomes ndogo sanaa!?
Tatizo mnasoma hata kumwelewi.


Taarifa rasmi ya Iran inaseme, significant number of the misiles were intercepted. Haijasema kuwa all miles were intercepted. Unaelewa maana yake?
 
Waliouliwa wamekufa as a result of interception.
Battery za interceptor ndio zimesababisha kifo.
Pia hata kwa uelewa wako embu pimia ndege 100 zilete madhara ya namna hiyo huoni kuwa nguvu kubwa outcomes ndogo sanaa!?
Unajua maana ya balestic ibm mzee. Pc 200 zilizorushwa Israel. Au unaongea tu au unafikir Israel kutumia ndege ni kwamba hana hizo madude.
 
Tatizo mnasoma hata kumwelewi.


Taarifa rasmi ya Iran inaseme, significant number of the misiles were intercepted. Haijasema kuwa all miles were intercepted. Unaelewa maana yake?
Unaelewa hata maana ya significant!?
Significant is synonymous to sufficient.
Inamaana idadi kubwa ya makombora imedunguliwa.
Unaleta kitu hata hufahamu maana yake.

Unajua maana ya balestic ibm mzee. Pc 200 zilizorushwa Israel. Au unaongea tu au unafikir Israel kutumia ndege ni kwamba hana hizo madude.
Mbona unajichanganya bro!?
Balestic ibm ndio nini!?
Iran ilirusha cruise na ballistic missiles za medium range tena light weight missiles.
Ndege 100 zinatosha kufanya uharibifu mkubwa sana.
Ile Gaza tu imeharibiwa na ndege zisizozidi hata tano.Ila ona ilivyoharibika.
Leo hii ndege 100 zifanye shambulio litoke outcome ndogo namna ile!?
 
Unajua maana ya balestic ibm mzee. Pc 200 zilizorushwa Israel. Au unaongea tu au unafikir Israel kutumia ndege ni kwamba hana hizo madude.
Hana..hili ndo jibu jepesi tu maana hajawekeza sana huko wao wanaamini katika ndege .kwa nchi kama marekani kuwa na program kama hzio ni gharama kubwa sana. Kwa Iran missle 200 inaweza kufikia billion 60 mpaka 80 ila kwa nchi kama usa ambayo ndo supply wa ,silaha za isreli bei inaweza kufika hata billion 420
 
Unaelewa hata maana ya significant!?
Significant is synonymous to sufficient.
Inamaana idadi kubwa ya makombora imedunguliwa.
Unaleta kitu hata hufahamu maana yake.


Mbona unajichanganya bro!?
Balestic ibm ndio nini!?
Iran ilirusha cruise na ballistic missiles za medium range tena light weight missiles.
Ndege 100 zinatosha kufanya uharibifu mkubwa sana.
Ile Gaza tu imeharibiwa na ndege zisizozidi hata tano.Ila ona ilivyoharibika.
Leo hii ndege 100 zifanye shambulio litoke outcome ndogo namna ile!?
Kwahiyo Iran atakuonyesha kilichoharibika wewe sio
 
Mbona kwa Israel tuliona!?
Mbona Israel ikishambulia Syria,Lebanon na Yemen huwa inaonesha sattelite images za maafa!?
Kwanini hatuoni hata kapicha ama kavideo kama ilivyo Oktoba mosi!?
Israel ni democratic country mzee usilinganishe na hao makobazi kila kitu ni kuficha. Wangekuonyesha hizo betri zilivyoungua tuone kama hakuna maafa kweli. Jamaa walifunga anga lakini kichapo wamepewa na onyo juu kama mwanaume arudie kurusha mavyuma yake. Na kichapo kinaendelea Lebanon Syria Iraq Yemen na Gaza kwa wakat mmoja. Nani kidume hapo sasa.
 
Israel ni democratic country mzee usilinganishe na hao makobazi kila kitu ni kuficha. Wangekuonyesha hizo betri zilivyoungua tuone kama hakuna maafa kweli. Jamaa walifunga anga lakini kichapo wamepewa na onyo juu kama mwanaume arudie kurusha mavyuma yake. Na kichapo kinaendelea Lebanon Syria Iraq Yemen na Gaza kwa wakat mmoja. Nani kidume hapo sasa.
Uache uongo kaka unaongea na mtu mzima.
Kama Israel ni democratic kwanini imemfunga mwandishi wa habari wa USA aliyepost picha za kambi kulipuliwa!??
Kama Israel is democratic kwanini ilifungia waandishi wa habari kuripoti!?
Kama isingekua msaada wa simu za raia wa Westbank na Israel kwenyewe basi tusingeweza kuona lile shambulio la Iran ndani ya Israel.
Pia usisahau kuwa Israel akishambulia Syria na Lebanon huwa anatuma video,cha kusangaza shambulio hili zinasambaa staged videos and photos.
Hata hao CNN na BBC na vyombo vingine hawana cha kutangaza na wanao correspondent ndani ya Tehran.
BBC iko operational ndani ya Tehran ila cha ajabu hatujaona habari yeyote.

Israel ni sawa na a dying horse kicking its last kick.
Lebanon huko pamemshinda hadi askari wanagoma kwenda kupigana.
 
Hezboral anawazaba kila siku ila media za magharibi huqasikii wakiripot
Hez
Chanzo ni ofisi ya Iran iliyoko Umoja wa mataifa.
Ulitegemea aseme
Iran ilishaapa kuwa italipiza kisasi itaposhambuliwa eidha madhara yatokee ama laa.
Kwani Syria wanavyorusha roketi na iron dome inapozipangua kwanini Israel anaenda kushambulia Syria licha ya kuwa amedhibiti yale mashambulizi!?
Kitendo cha kushambulia nchi nyingine hata kama shambulio limezuiliwa ni sawa na kutangaza vita.
Shida ya Israeli hapo Syria ni kufanya linalowezekana ili Iran isoweze kuwa na proxy yenye nguvu. Hata wasiposhambulia, bado Israeli ataendelea kuwapiga hapo.
 
Nyuma ya Iran kuna mrusi na allies wake, nyuma ya Israel kuna US na allies wake

Kazi ipo, ngoja tuone
Mrusi kalemewa na ukrain vita mpya kwake ni mzigo mzito yeye atauza tu silaha , mchina yeye anawaza tu kupiga hela issue za urafiki wa kipimbi sio pigo zake
 
Back
Top Bottom