Lakini analia lia lia ili wapambe wamsaidie super power kashikwa badala abuni vitu vipya analia lia tuMzee uko dunia ipi? Huawei itakufa muda si mrefu ukiwa na technology halafu customers hamna haina maana. Anachofanya mmarekani ni kushawishi wale marafiki zake wasitumie huduma za Huawei. Hahahaa hakuna nyota mchina ataacha kuona.
Angalia pato la Huawei linashuka kwa kasi ya ajabu
c wanaunga mkono hizo mambo.....Nina shangaa jamaa hawatuletei habari za Balozi za marekani kupeperusha
Bendera hiiView attachment 1498151
Mfamaji....Lakini analia lia lia ili wapambe wamsaidie super power kashikwa badala abuni vitu vipya analia lia tu
Kila siku anaibuka na jipya hakawii kusema Huawei ndiyo inasambaza CoronaMfamaji....
Alishasema inachangia kuenea kwa koronya [emoji3][emoji3][emoji3]Kila siku anaibuka na jipya hakawii kusema Huawei ndiyo inasambaza Corona
Mimi nilidhani kwamba utapinga kuwa USA. huwa hawalii liiiHivi mbona waajemi wa kwa mtongole mnapindisha uzi ujadili Marekani ilhali issue hapa ni Iran....hehehe
Duuhh wana support ushoga live !!!Nina shangaa jamaa hawatuletei habari za Balozi za marekani kupeperusha
Bendera hiiView attachment 1498151
Kwani WAYAHUDI mnateseka wapi [emoji23][emoji23][emoji23]Wairan wa mpui wakisikia tu habari mbaya kuhusu mashia wenzao roho huwauma na njia yao kuu ya kupoza nyoyo zao ni kuishambulia US kwa maneno huku wakishushia na ka Pepsi baridi US brand.
Naona Kuu la mashia ya ikwiriri umeibuka [emoji23][emoji23]Kwani WAYAHUDI mnateseka wapi [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanini unateseka kijana [emoji23][emoji23][emoji23]Naona Kuu la mashia ya ikwiriri umeibuka [emoji23][emoji23]
Niteseke nimekuwa lishia mie! [emoji57][emoji57]Kwanini unateseka kijana [emoji23][emoji23][emoji23]
Syber Attack na hakuna damage yyte iliotokea, mradi unaendelea kama kawaida, alaf mtoa mada kaa utulie kwanza thn utafsiri vizuri hio habari sio maneno ya shombo
kumbuka hawa jamaa hua hawatanii.... ILA we jamaa ni punguani sana badala uongelee corona inavyowasumbua huko githurai kila siku umeshupalia Iran utadhani ni china ile inayowadai trillions of shillings...“If it is proven that our country has been targeted by a cyberattack, we will respond,” he added.
[emoji23][emoji23][emoji23] Kama unajua ngeli soma hio[emoji1787][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] muayatollah wa tandahimba tulia sindano ipenye...maabara yao imegeuka majivu
Vipi cyber attack ya Korean Kasikizini iliposhambulia Marekani kwa kuattack makampuni makubwa ya Marekani tena na nchi ambayo Marekani alikuwa akiimock kuwa ina internet protocols 1500 nchi nzima.[emoji1787][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] muayatollah wa tandahimba tulia sindano ipenye...maabara yao imegeuka majivu
Kwani mara ya mwisho Kula matunda lini vilee?[emoji848][emoji848]Hivi mbona waajemi wa kwa mtongole mnapindisha uzi ujadili Marekani ilhali issue hapa ni Iran....hehehe
Putin mocks U.S. embassy for flying rainbow flagDuuhh wana support ushoga live !!!