Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Ila wako zaidi[emoji4][emoji4][emoji4]Tukuulize wewe bwana Utam, make nasikia hiyo bendera inawahusu nyie watam wenye Utam wenu [emoji1][emoji1]
MYAHUDI wa KISMAYO[emoji16][emoji3][emoji23]Akili kubwa vs Kujitoa mhanga..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtabweka sana kwakila mtakalo fanyiwa mtaona halitoshi [emoji16][emoji23][emoji12][emoji14][emoji12]
Nanyie waajemi walipasha viporo tu kidogo[emoji4][emoji4][emoji4]
huawei ife,nchi yake tu ni soko tosha.,yale makampuni ya USA yaliyokuwa yanatengeneza vipuri vya huawei,mfano processors nk,ndio yalilia sana,na yakaounguza wafanyakazi,uko dunia ipi mkuu...Mzee uko dunia ipi? Huawei itakufa muda si mrefu ukiwa na technology halafu customers hamna haina maana. Anachofanya mmarekani ni kushawishi wale marafiki zake wasitumie huduma za Huawei. Hahahaa hakuna nyota mchina ataacha kuona.
Angalia pato la Huawei linashuka kwa kasi ya ajabu
Muajemi huwa anamtishia nyau USA kwa sababu anajua mpaka apigwe ni mchakato mrefu, Myahudi huwa anatwanga proxy zake hapo Syria ila kazi kubwa ya mwajemi ni kukanusha proxy hazikuwa zake. Uzuri wa myahudi nae hana subira, ukileta fyoko anakufokoa vilivyo.
Benjamin Netanyahu huwa hacheki na mtu.
'Everyone can be suspicious of us all the time. But not every incident that happens in Iran necessarily has something to do with us.' huyo ni Waziri wa ulinzi wa Israel katamka maneno hayo muda huuMuajemi huwa anamtishia nyau USA kwa sababu anajua mpaka apigwe ni mchakato mrefu, Myahudi huwa anatwanga proxy zake hapo Syria ila kazi kubwa ya mwajemi ni kukanusha proxy hazikuwa zake. Uzuri wa myahudi nae hana subira, ukileta fyoko anakufokoa vilivyo.
Benjamin Netanyahu huwa hacheki na mtu.
"Tunasema..."[emoji44][emoji44] sisi kina nani tuliosema? Unaona unavyokosea hata huna uwezo wa kutafsiri nilichoandika. Tunasema sisi kina nani? Mimi nawawakilisha kina nani ambao unadai tulisema, mimi ni msemaji wa kina nani? Nani kakwambia mimi ni msemaji au nimefungamana na kundi fulani ili tutoe mawazo.Mnasema Iran huwa hawatanii na hawarudi nyuma, kisha mnageuza na kusema walirudi nyuma pale walipotaka kutia maji sumu, hao waajemi wenu kama mnaamini ni wababe basi wafanye kweli.
Hawatalala leo[emoji769]Ngoja Wairani wa Buguruni waje. Maayatollah wapo wanakunywa Al-Kasusu wanakuja na vitambaà vyao[emoji769]
HawatakuelewaMzee uko dunia ipi? Huawei itakufa muda si mrefu ukiwa na technology halafu customers hamna haina maana. Anachofanya mmarekani ni kushawishi wale marafiki zake wasitumie huduma za Huawei. Hahahaa hakuna nyota mchina ataacha kuona.
Angalia pato la Huawei linashuka kwa kasi ya ajabu
Nyie watu mnawaza ugaido tuWamenikumbusha jinsi marekani alivyomwaga chozi sept 11
Hivi huwa mnaokota wapi taarifa nyie msiosoma?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti haina customers
CHINA wanaweza wakaziuza HUAWEI kupitia soko lao landani tu namaisha yakaendelea kama kawaida
Taifa lenye watu 1.6Bs unawahoji kuhusiana na customers [emoji23][emoji23][emoji23]
mwisho:-Hakuna wakumtisha IRAN haya mambo sio mazuri japokua yakawaida sanaaaaa.....
Alokwambia Pato la HUAWEI linashuka nani unaweza kutetea hoja zako kwakuleta DATA ?!
Haya jidanganyeIRAN kweli TAIFA kubwa sana aseee[emoji119][emoji119][emoji119]
Hivi unajua kusoma?
Matangazo tu yasababishe uchumi ukue?Hizi nguvu mnazotumia kuonesha umwamba wa Iran vs USA mngezitumia kulitangaza bara la Afrika au mataifa yetu, tungekuwa mbali sana.
Ilipotokea Stuxnet walijibu lolote?"waapa kulipiza kisasi"
hapo Iranian huwa hawakopeshi
Jifunze kusoma.Syber Attack na hakuna damage yyte iliotokea, mradi unaendelea kama kawaida, alaf mtoa mada kaa utulie kwanza thn utafsiri vizuri hio habari sio maneno ya shombo
Utam ni ladha ya vinavyoliwa.Ila wako zaidi[emoji4][emoji4][emoji4]
Utam wamabwana huuwezi ww[emoji4][emoji4][emoji4]
Jipatieni moyoIn response to the cyber & sabotage attacks of #Israel Defense Force & #MOSSAD, #IRGC Cyber Defense Command is now preparing for retaliatory attacks at #Israel's military & strategic sites including Nuclear ones. This is why the #IDF has been on high alert since 48 hours ago! https://t.co/ym8eF9mXSKWayahudi wanaanza kuvaa pedo sasaivi, ninavyomjua Muajemi hatanii
Umesema huwa hawarudi nyuma, sasa angefanya bila kusuasua, wakati wa kujilipua mabomu huwa mnajilipua bila kujali nani wala nani.