Iran walialia baada ya vinu vya nyuklia kupigwa kirusi, waapa kulipiza kisasi

Tukuulize wewe bwana Utam, make nasikia hiyo bendera inawahusu nyie watam wenye Utam wenu [emoji1][emoji1]
Ila wako zaidi[emoji4][emoji4][emoji4]

Utam wamabwana huuwezi ww[emoji4][emoji4][emoji4]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtabweka sana kwakila mtakalo fanyiwa mtaona halitoshi [emoji16][emoji23][emoji12][emoji14][emoji12]

Nanyie waajemi walipasha viporo tu kidogo[emoji4][emoji4][emoji4]

Kupiga makontena ya korosho makombora eti ndio kulipa kisasi cha kuuawa kwa majemedari....
Mimi bado nahoji kuhusu hilo kwanini klorini mlisitasita...hehehe
 
huawei ife,nchi yake tu ni soko tosha.,yale makampuni ya USA yaliyokuwa yanatengeneza vipuri vya huawei,mfano processors nk,ndio yalilia sana,na yakaounguza wafanyakazi,uko dunia ipi mkuu...
 
Kwamba leo Israel ni tishio kuliko baba yao USA? nafkiri huwa unacomment kwa kutumia Stress na sio mahaba tena, hizo proxy za Iran zinashambuliwa hata na waasi wa Syria pia na Uturuki, em hio Israel unayoisifu ijaribu kushambulia kule Lebanon ya Nasrullah aone huo mziki, ijaribu tu sasaiv kama ilivyojaribu 2006, nafkiri unakuwa unawasifia kwa sababu ya mashambulizi yake ya Gaza kwa hammas, mbona Lebanon hawashambulii na Hizbollah ndio chimbuko lake pale, em wajaribu, Usifananize Iran na vitu vya kipuuzi
 
Israel sasaivi inakunasha hio taarifa, inasema wao hawahusiki, sasa ujue kuwa nguvu ya kutangaza Iran kuwa italipiza inavyoeffect huko middle east, Israel imekanusha coz wanajua mziki wa hawa jamaa hawatanii. 'Everyone can be suspicious of us all the time. But not every incident that happens in Iran necessarily has something to do with us.' huyo ni Waziri wa ulinzi wa Israel katamka maneno hayo muda huu
 
Mnasema Iran huwa hawatanii na hawarudi nyuma, kisha mnageuza na kusema walirudi nyuma pale walipotaka kutia maji sumu, hao waajemi wenu kama mnaamini ni wababe basi wafanye kweli.
"Tunasema..."[emoji44][emoji44] sisi kina nani tuliosema? Unaona unavyokosea hata huna uwezo wa kutafsiri nilichoandika. Tunasema sisi kina nani? Mimi nawawakilisha kina nani ambao unadai tulisema, mimi ni msemaji wa kina nani? Nani kakwambia mimi ni msemaji au nimefungamana na kundi fulani ili tutoe mawazo.

Nje ya hapo nishakwambia huwezi kulazimisha watu wafanye unavyotaka wewe, huo ni upuuzi. Yani watu wafanye maamuzi ili kudhibitisha ujinga wako. Akili zako ni za ligi kuu, achana na international matters.
 
Hawatakuelewa
 
Hivi huwa mnaokota wapi taarifa nyie msiosoma?
China toka lini ikawa na 1.6b people?
Hujui soko hata liwe kubwa vp kuna saturation?
 
Ila wako zaidi[emoji4][emoji4][emoji4]

Utam wamabwana huuwezi ww[emoji4][emoji4][emoji4]
Utam ni ladha ya vinavyoliwa.
Na utam wa mabwana aka mapunga ndo huwa utam maradufu. We hujiulizi watu wanaacha mademu wanaenda kula mabwana watam [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Jipatieni moyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…