Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Sote tunajua Israel si wa kumpiga Iran..Huyo Iran atapigwa mpaka achakae subirini muone.
Ameyakanyaga mwenyewe.
Hiyo vita irakuwa na madhara makubwa kotekote. Si Israel Si US, UK wala Iran anayelitaka hilo.
Iran ametuma salam kuwa siyo mnyonge kama wengine.
Israel kapata Salam, ila anaruhusiwa kuanzisha vita.. Vita ina gharama.
Kwani akijibu nini kotafuata , Kwamba Iran atatuma tena Kamikaze zinazotembea kwa 150kph zinazofika Israel kwa masaa kadhaa??.... Au atarusha Ballistics na cruise zinazotumia dk 15-20.
Au Hypersonics zinazotumia dk 7-12 kufika Israel?..
Iran wenyewe walijua Kamikaze zinasafiri Slowly ndo mana walirusha nyingi, lengo lao wanalijua wao tu siyo sisi.
Lakin kama lengo lingekuwa kuangamiza jerusalem na Tel Avive mazima wangerusha Ballistics ,cruise na Hypesrsonics za kutosha Mbazo ni dk 7-15 kufika Israel , na sote tunajua nini kingetokea.
Hakuna nayetaka vita kirahisi hivyo, wote wanafanya Show of force na kuwekeana mipaka.