Iran wanaamini ajali hio ya kawaida. Je, Ni kweli?

wote tumeona hali ya hewa ina ukungu,subiria ndoa yako maana papa alishatangaza,hivyo huwezi kuiepuka
 
Wanajuana hao,,,,,jini la ayatolah likapigwa chenga ,myahudi kitu chake kikapita hadi kwa raisi,,,,,,hao walitakiwa kuja kuomba utaalam kwa bwana Makonda alivyopona kwenye ajali kule kusini
 
Kitalaam Helicopter ya Rais tena anayewindwa mnapokuwa kwenye convoy lazima muiweke kati na all the time muwe mnaiona na kuisport.

Sasa Helicopter imebeba Rais imeanguka na wengine mnakwenda kutua salama huku hamjui Helicopter ya Rais iko wapi - watu wa ulinzi hapa walifail na inawezekana hata adui alishajua udhaifu wao katikati ya milima either akaingilia convoy na kuwabwaga au aliswitch off some of the important devices hasa engine controller kupitia wireless communication na jamaa wakapoteza altitude wakalala mapolini huko.
 
Hivi hio thread ungeiandika kwa kiingeleza yaani jukwaa la kiingeleza ungeandika mambo ya makobazi, hivi watanzania haiwezikani kujadili bila kukejeliana kiimani au kisiasa, au kiswahili kinavutia kutukanana, mbona maoni kwenye majukwaa ya kiingeleza hatuoni hayo
 
Na ukiangalia helicopter aliyopanda imetengenezwa marekani
 
Mkuu siyo kukejeliana hapa jamvi linachangamshwa. Yani kuna malumbano yanaleta mada kinzani. Mimi naona haina shida.
 
Hamna bana wayahudi wateule wamefanya yao.
 
Ni Hatari sana, huwezi kuishambulia Israeli halafu ukawa unaishi kiboyaboya hivyo lazima wakueliminate tu maana tayari ni easy target.

They have got satellite, they can track you down, unatumia Helicopter waliyotengeneza wao na ina electronic control module (ECM)zaidi ya moja ambazo unaweza kufanya remote communication nazo kukiwa na internet, it's easy to shut down engine controller na mkalamba mchanga.

Kufight na mataifa yenye high tech na watalaam unapaswa nawewe kuwa level hizo maana vita ni akili sio miguvu.
 
Huwa husomi tu.Kuna watu wanajua kuichezea lugha ya kiingereza kama mtumiaji mwingine tu wa lugha ya Khoisan/Hotetonts.
 
Man of the match in Israel.
Nikiangalia interview za Netanyahu anavyojiamini najuaga tu this country (Israel) got extra-power ambayo walimwengu hatuijui vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…