Iran wanaangusha sana, sidhani kama anawaelewa

Iran wanaangusha sana, sidhani kama anawaelewa

Rozela

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
845
Reaction score
2,235
Allah amesema kisasi ni haki, sasa Iran baada ya kupokea kichapo toka kwa marubani wakike wa ISRAEL, eti mpaka sasa ni zaidi ya mwezi wanaogopa kulipa kisasi.

Mwanzo walikuwa na mbwembwe sana, lakini sasa wamelowa chepechepe. Ayatollah sijui anahofia nini yani ukiangalia uso wake anaona mauzauza tu midomo yake inatetemeka.

Mimi nadhani wanamleti dauni Allah. Akiona walivyo nyong'onyea anajisikia vibaya sana, yani wamezidiwa ujasiri na nyuzi za Ritz
 
Allah amesema kisasi ni haki, sasa Iran baada ya kupokea kichapo toka kwa marubani wakike wa ISRAEL, eti mpaka sasa ni zaidi ya mwezi wanaogopa kulipa kisasi.

Mwanzo walikuwa na mbwembwe sana, lakini sasa wamelowa chepechepe. Ayatollah sijui anahofia nini yani ukiangalia uso wake anaona mauzauza tu midomo yake inatetemeka.

Mimi nadhani wanamleti dauni Allah. Akiona walivyo nyong'onyea anajisikia vibaya sana, yani wamezidiwa ujasiri na nyuzi za Ritz
Hayo maneno ya kulipa kisasi katika uislamu hayakuishia hapo, yaliendelea tena kwa kusema ukiweza kusamehe na kuvumilia ni bora zaidi. Hii haimaanishi woga inamaanisha mambo mengi zaidi kutokana na faida zake.

Irani yuko vizuri mara 1000 zaidi kuliko Israel akiamua kuingia kwenye uwanja wa vita. lakini haya mambo ni mkakati wewe huwez fahamu chochote. Kwani hukuwahi kujiuliza kwa nini Israel ilifeli vita na hizbollah? Ingawa walisema wataingia Lebanon kwa miguu?
 
Hayo maneno ya kulipa kisasi katika uislamu hayakuishia hapo, yaliendelea tena kwa kusema ukiweza kusamehe na kuvumilia ni bora zaidi. Hii haimaanishi woga inamaanisha mambo mengi zaidi kutokana na faida zake.

Irani yuko vizuri mara 1000 zaidi kuliko Israel akiamua kuingia kwenye uwanja wa vita. lakini haya mambo ni mkakati wewe huwez fahamu chochote. Kwani hukuwahi kujiuliza kwa nini Israel ilifeli vita na hizbollah? Ingawa walisema wataingia Lebanon kwa miguu?
Vita ipi tena sheikh?hizbu hawa kwa wasa wapo hoi sana. Walishindwa hata kumsaidia mtu wetu Assad kaondolewa kwa aibu
 
Allah amesema kisasi ni haki, sasa Iran baada ya kupokea kichapo toka kwa marubani wakike wa ISRAEL, eti mpaka sasa ni zaidi ya mwezi wanaogopa kulipa kisasi.

Mwanzo walikuwa na mbwembwe sana, lakini sasa wamelowa chepechepe. Ayatollah sijui anahofia nini yani ukiangalia uso wake anaona mauzauza tu midomo yake inatetemeka.

Mimi nadhani wanamleti dauni Allah. Akiona walivyo nyong'onyea anajisikia vibaya sana, yani wamezidiwa ujasiri na nyuzi za Ritz
Labda wamepata nyepesi nyepesi kuwa kule peponi bikira 72 ziko out of stock. Hamas wamelamba mzigo wote. Labda mpaka Allah afyatue mzigo mwingine
 
Hayo maneno ya kulipa kisasi katika uislamu hayakuishia hapo, yaliendelea tena kwa kusema ukiweza kusamehe na kuvumilia ni bora zaidi. Hii haimaanishi woga inamaanisha mambo mengi zaidi kutokana na faida zake.

Irani yuko vizuri mara 1000 zaidi kuliko Israel akiamua kuingia kwenye uwanja wa vita. lakini haya mambo ni mkakati wewe huwez fahamu chochote. Kwani hukuwahi kujiuliza kwa nini Israel ilifeli vita na hizbollah? Ingawa walisema wataingia Lebanon kwa miguu?
Aaaaaiiiseeee kumbe Israel kashinda Hezbollah?
 
Allah amesema kisasi ni haki, sasa Iran baada ya kupokea kichapo toka kwa marubani wakike wa ISRAEL, eti mpaka sasa ni zaidi ya mwezi wanaogopa kulipa kisasi.

Mwanzo walikuwa na mbwembwe sana, lakini sasa wamelowa chepechepe. Ayatollah sijui anahofia nini yani ukiangalia uso wake anaona mauzauza tu midomo yake inatetemeka.

Mimi nadhani wanamleti dauni Allah. Akiona walivyo nyong'onyea anajisikia vibaya sana, yani wamezidiwa ujasiri na nyuzi za Ritz
Anajipanga maana pale anapambana na Israel, US pamoja na umoja wa Ulaya sio jambo la kufanya haraka , wewe si umeona THAAD mfumo wa kisasa umeletwa Israel pale? shida Israel hayuko mwenyewe lazima ujipange
 
Labda wamepata nyepesi nyepesi kuwa kule peponi bikira 72 ziko out of stock. Hamas wamelamba mzigo wote. Labda mpaka Allah afyatue mzigo mwingine
Acha porojo wewe bikira haziwezi kuisha kama ambavyo watu hawawezi kuacha kutiana mimba
 
Back
Top Bottom