Kawaida mbona US aliwakimbia watu wakining’inia kwenye ndege kama Popo kule Afghastan , mambo yakiwa magumu unatulia tuVita ipi tena sheikh?hizbu hawa kwa wasa wapo hoi sana. Walishindwa hata kumsaidia mtu wetu Assad kaondolewa kwa aibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida mbona US aliwakimbia watu wakining’inia kwenye ndege kama Popo kule Afghastan , mambo yakiwa magumu unatulia tuVita ipi tena sheikh?hizbu hawa kwa wasa wapo hoi sana. Walishindwa hata kumsaidia mtu wetu Assad kaondolewa kwa aibu
Hawezi labda wafe wote ambao anatofautiana nao misimamoIsrael amedhamiria kumaliza kitisho cha ugaidi hapo Middle East
Kwahiyo Allah kapelekewa moto hadi anajipanga?Anajipanga maana pale anapambana na Israel, US pamoja na umoja wa Ulaya sio jambo la kufanya haraka , wewe si umeona THAAD mfumo wa kisasa umeletwa Israel pale? shida Israel hayuko mwenyewe lazima ujipange
mkoa wa UyghurMkoa gani huo utaje mi nipo china Taipel
Taiwan ni China.Taipei ni Taiwan sheee
Hakuna mkoa wa jina hilo China.mkoa wa Uyghur
Wananyanyasika ki vipi ?Halafu kuna mkoa mmoja kule China una waislamu wengi wananyanyasika kweli, hadi jumuia za kimataifa zinaingilia kati.
Acha uongo, Israel ilifeli wapi?, pia acha kujilisha upepo eti Iran iko bora mara 1000 ya Israel wakati Israel kila dakika anayojisikia anafanya mauaji ya vigogo wa Iran au kupiga mabomu atakavyo, sasa Iran wangekuwa bora wangeruhusu hayo yatokee?Hayo maneno ya kulipa kisasi katika uislamu hayakuishia hapo, yaliendelea tena kwa kusema ukiweza kusamehe na kuvumilia ni bora zaidi. Hii haimaanishi woga inamaanisha mambo mengi zaidi kutokana na faida zake.
Irani yuko vizuri mara 1000 zaidi kuliko Israel akiamua kuingia kwenye uwanja wa vita. lakini haya mambo ni mkakati wewe huwez fahamu chochote. Kwani hukuwahi kujiuliza kwa nini Israel ilifeli vita na hizbollah? Ingawa walisema wataingia Lebanon kwa miguu?
Asha elewa anaetafutwa ni yye,hawa wengine wanafyekwa ni msitu tu,Allah amesema kisasi ni haki, sasa Iran baada ya kupokea kichapo toka kwa marubani wakike wa ISRAEL, eti mpaka sasa ni zaidi ya mwezi wanaogopa kulipa kisasi.
Mwanzo walikuwa na mbwembwe sana, lakini sasa wamelowa chepechepe. Ayatollah sijui anahofia nini yani ukiangalia uso wake anaona mauzauza tu midomo yake inatetemeka.
Mimi nadhani wanamleti dauni Allah. Akiona walivyo nyong'onyea anajisikia vibaya sana, yani wamezidiwa ujasiri na nyuzi za Ritz
Kwa sababu wayahudi na wakristo wanaufahamu ukweli na wanamtambua mwamedi kama nabii wa uongo.Waislam Ndoto zao ni kuwaangamiza Wayahudi na Wakristo tu.. Wahindu na wachina na Budha hawana time nao
Kawaida mbona hata Yehovah alisha chapwa sana tu, ndio maana waisrael walikaa utumwani sanaKwahiyo Allah kapelekewa moto hadi anajipanga?
Kuna tofauti kati ya kutofautiana misimamo na ugaidiHawezi labda wafe wote ambao anatofautiana nao misimamo
Iendeleze hyo aya hadi mwisho halafu upo biased na wanawake hv huamini kama mama ako anaweza kukuzaaaAllah amesema kisasi ni haki, sasa Iran baada ya kupokea kichapo toka kwa marubani wakike wa ISRAEL, eti mpaka sasa ni zaidi ya mwezi wanaogopa kulipa kisasi.
Mwanzo walikuwa na mbwembwe sana, lakini sasa wamelowa chepechepe. Ayatollah sijui anahofia nini yani ukiangalia uso wake anaona mauzauza tu midomo yake inatetemeka.
Mimi nadhani wanamleti dauni Allah. Akiona walivyo nyong'onyea anajisikia vibaya sana, yani wamezidiwa ujasiri na nyuzi za Ritz
Allah amesema kisasi ni haki, sasa Iran baada ya kupokea kichapo toka kwa marubani wakike wa ISRAEL, eti mpaka sasa ni zaidi ya mwezi wanaogopa kulipa kisasi.
Mwanzo walikuwa na mbwembwe sana, lakini sasa wamelowa chepechepe. Ayatollah sijui anahofia nini yani ukiangalia uso wake anaona mauzauza tu midomo yake inatetemeka.
Mimi nadhani wanamleti dauni Allah. Akiona walivyo nyong'onyea anajisikia vibaya sana, yani wamezidiwa ujasiri na nyuzi za Ritz