Iran wanaangusha sana, sidhani kama anawaelewa

Iran wanaangusha sana, sidhani kama anawaelewa

Vita ipi tena sheikh?hizbu hawa kwa wasa wapo hoi sana. Walishindwa hata kumsaidia mtu wetu Assad kaondolewa kwa aibu
Kawaida mbona US aliwakimbia watu wakining’inia kwenye ndege kama Popo kule Afghastan , mambo yakiwa magumu unatulia tu
 
Anajipanga maana pale anapambana na Israel, US pamoja na umoja wa Ulaya sio jambo la kufanya haraka , wewe si umeona THAAD mfumo wa kisasa umeletwa Israel pale? shida Israel hayuko mwenyewe lazima ujipange
Kwahiyo Allah kapelekewa moto hadi anajipanga?
 
Hayo maneno ya kulipa kisasi katika uislamu hayakuishia hapo, yaliendelea tena kwa kusema ukiweza kusamehe na kuvumilia ni bora zaidi. Hii haimaanishi woga inamaanisha mambo mengi zaidi kutokana na faida zake.

Irani yuko vizuri mara 1000 zaidi kuliko Israel akiamua kuingia kwenye uwanja wa vita. lakini haya mambo ni mkakati wewe huwez fahamu chochote. Kwani hukuwahi kujiuliza kwa nini Israel ilifeli vita na hizbollah? Ingawa walisema wataingia Lebanon kwa miguu?
Acha uongo, Israel ilifeli wapi?, pia acha kujilisha upepo eti Iran iko bora mara 1000 ya Israel wakati Israel kila dakika anayojisikia anafanya mauaji ya vigogo wa Iran au kupiga mabomu atakavyo, sasa Iran wangekuwa bora wangeruhusu hayo yatokee?
 
Hahaha Iran alikuwa anakiburi kwa silaha za Russia, kwa sasa kiburi kimeisha, wameona mfano jinsi ASad alivyo kimbizwa Russia kama vile mgonjwa mahutihuti wakati Russia walimuhakikishia atakalia kiti milele.

Ayatollah sasa hivi hata Drone zake haziruki tena, yale ma baloon alikuwa anajaza milipuko anayasafirisha kwa wiki moja kwenda Israel hawezi tena kufanya utoto ule.

Sasa hivi kajikita kuhakikisha wananchi wana Swali sala 10 kwa siku, vita waachieni mayahudi.
 
Allah amesema kisasi ni haki, sasa Iran baada ya kupokea kichapo toka kwa marubani wakike wa ISRAEL, eti mpaka sasa ni zaidi ya mwezi wanaogopa kulipa kisasi.

Mwanzo walikuwa na mbwembwe sana, lakini sasa wamelowa chepechepe. Ayatollah sijui anahofia nini yani ukiangalia uso wake anaona mauzauza tu midomo yake inatetemeka.

Mimi nadhani wanamleti dauni Allah. Akiona walivyo nyong'onyea anajisikia vibaya sana, yani wamezidiwa ujasiri na nyuzi za Ritz
Asha elewa anaetafutwa ni yye,hawa wengine wanafyekwa ni msitu tu,
Hakuna aliyepigana na wayahudi akashinda, hata urusi ilisambaratika
Wengi mnamuona Myahudi katika jicho la mwili kama ni kstaifa kadogo, lkn kiroho ni taifa teule LA Mungu.
Soma Bible, vizazi na vizazi Falme kubwa zilizo jaribu kuwateka na kupigana na Israel Leo zipo wapi?
Hebu fikiria anguko LA Syria ni kama move Fulani hivi, Just Syria isingefika hapa kama isingemsaidia Irani, Hamas na Hezbollah.
Ndiyo maana nchi kama Misri, Jordan, Saudi Arabia etc ni nchi za kiarabu baada ya kungundua nguvu na uwezo wa asili wa Myahudi waliamua kufanya Amani na taifa hili.
Iran atapotea kwa namna yetote ile
Iwe kwa kupigwa ama kwa mgogoro wa ndani
 
Waislam Ndoto zao ni kuwaangamiza Wayahudi na Wakristo tu.. Wahindu na wachina na Budha hawana time nao
Kwa sababu wayahudi na wakristo wanaufahamu ukweli na wanamtambua mwamedi kama nabii wa uongo.
Kwa mayahudi nabii wa mwisho ni Yohana
 
Labda wamepata nyepesi nyepesi kuwa kule peponi bikira 72 ziko out of stock. Hamas wamelamba mzigo wote. Labda mpaka Allah afyatue mzigo mwingine
Allah hana huo muda, yuko mapangoni huko kuinusuru nafsi yake.
 
Allah amesema kisasi ni haki, sasa Iran baada ya kupokea kichapo toka kwa marubani wakike wa ISRAEL, eti mpaka sasa ni zaidi ya mwezi wanaogopa kulipa kisasi.

Mwanzo walikuwa na mbwembwe sana, lakini sasa wamelowa chepechepe. Ayatollah sijui anahofia nini yani ukiangalia uso wake anaona mauzauza tu midomo yake inatetemeka.

Mimi nadhani wanamleti dauni Allah. Akiona walivyo nyong'onyea anajisikia vibaya sana, yani wamezidiwa ujasiri na nyuzi za Ritz
Iendeleze hyo aya hadi mwisho halafu upo biased na wanawake hv huamini kama mama ako anaweza kukuzaaa
 
Allah amesema kisasi ni haki, sasa Iran baada ya kupokea kichapo toka kwa marubani wakike wa ISRAEL, eti mpaka sasa ni zaidi ya mwezi wanaogopa kulipa kisasi.

Mwanzo walikuwa na mbwembwe sana, lakini sasa wamelowa chepechepe. Ayatollah sijui anahofia nini yani ukiangalia uso wake anaona mauzauza tu midomo yake inatetemeka.

Mimi nadhani wanamleti dauni Allah. Akiona walivyo nyong'onyea anajisikia vibaya sana, yani wamezidiwa ujasiri na nyuzi za Ritz

Umekuwa msemaji wa Iran ?
 
Back
Top Bottom