Iran wanaangusha sana, sidhani kama anawaelewa

Iran wanaangusha sana, sidhani kama anawaelewa

Allah amesema kisasi ni haki, sasa Iran baada ya kupokea kichapo toka kwa marubani wakike wa ISRAEL, eti mpaka sasa ni zaidi ya mwezi wanaogopa kulipa kisasi.

Mwanzo walikuwa na mbwembwe sana, lakini sasa wamelowa chepechepe. Ayatollah sijui anahofia nini yani ukiangalia uso wake anaona mauzauza tu midomo yake inatetemeka.

Mimi nadhani wanamleti dauni Allah. Akiona walivyo nyong'onyea anajisikia vibaya sana, yani wamezidiwa ujasiri na nyuzi za Ritz
Nyie Walakole ni mzigo mzito Kwa Taifa tumebebeswa !!! Mmejaza nyuzi za kilokole mapambio na mengine mengi lkn tujiuliize izi kelele zinasababishwa na nini kikubwa je Iran imeanguka jibu hapana kwani msingi wa vifo vyote ndani ya Israel mzamini nani jibu ni Iran, sasa kwanini iyo Israel au marekani Wasiende angusha Utawala wa Ayatollah Wanaogopa nini wkt wazayuni Wamekufa Wanakufa Wanaendelea kufa kwann kama wao wananguvu Wasiende Iran kupambana nao ili Wapate Salama ya kweli. Sasa ukweli huu amtaki kuusema mwisho mnajipa moyo na kule Nyizi kibao lkn wenye akili wanajua nyinyi Walokole mmekwama seem y AKILI.
 
Acha uongo, Israel ilifeli wapi?, pia acha kujilisha upepo eti Iran iko bora mara 1000 ya Israel wakati Israel kila dakika anayojisikia anafanya mauaji ya vigogo wa Iran au kupiga mabomu atakavyo, sasa Iran wangekuwa bora wangeruhusu hayo yatokee?
kwan hao israel walikuwa bora lini mifumo yao ya iron dome ilifanikiwa kufanya nini waliposhambuliwa na iran wewe elewa hivyo
 
Allah amesema kisasi ni haki, sasa Iran baada ya kupokea kichapo toka kwa marubani wakike wa ISRAEL, eti mpaka sasa ni zaidi ya mwezi wanaogopa kulipa kisasi.

Mwanzo walikuwa na mbwembwe sana, lakini sasa wamelowa chepechepe. Ayatollah sijui anahofia nini yani ukiangalia uso wake anaona mauzauza tu midomo yake inatetemeka.

Mimi nadhani wanamleti dauni Allah. Akiona walivyo nyong'onyea anajisikia vibaya sana, yani wamezidiwa ujasiri na nyuzi za Ritz
Kumbe walishiriki ni wanawake uwenda ndiyo maana shambulio lao(Israel) linaliitwa kulipa kisasi limekuwa la uoga na unyonge uku wakipiga kelele hovyo kuficha haibu kubwa waliopata kwenye mifumo yao iron dome David string na allow 3 kulala usingizi wakati wa makombola ya Iran yakimwagika
 
Mpo Tayali kum'beza ALLAH lkn mnashindwa kijiuliza kwann Wachungaji wanamtumia au wanatumia j9na YESU kama kitegauchumi chao yani andiko lipo linasema wana macho lkn awaoni wana wanamasikio lkn awasikii wanamidomo lkn awasemi!!!!!! Nijibuni wachungaji na walakole kwann mnadanganya watu kuusu uponyaji yani muombezi na muombewa uponyaji WaFake Uponyaji kisha et et et et et et anasingiziwa YESU ndio kaponya na misifa kibao yeye ndio mwamba yeye Alfa na Umega kutoka apo kifuatacho sasa kutoboka mifuko ya Wadanganywaji kuusu YESU watoe Sadaka ya YESU unaambiwa Mtolee Bwana YESU haaaa huu sio Utapeli na wizi kupitia YESU kwanini wezi awa bado wanafanya Utapeli wao walitakiwa wawe jela lkn ajabu bado wapo na wanaendelea kuwakusanya watu, sipingi watu kutoa Sadaka lkn napinga upumbavu wa kuFake vilema na mengine Waumini nao Binadam wanastaili Kueshimiwa KuFake matukio na sifa anabebeshwa Yesu kisha unakamuliwa pesa ukiambiwa unatoa Sadaka!!! Kama ivyo si bola kwenda kwenye mazingaumbwe kalatasi inageuka pesa!!! Kule RWANDA wamefuta vikanisa kausha Damu kibao vimefungwa kalibu 250 aina Tofaut. Uku kwetu sijui tunasubili yatokea ya Makenzi pale Kilifi!!! au Kibwetele kule Uganda.
 
Halafu kuna mkoa mmoja kule China una waislamu wengi wananyanyasika kweli, hadi jumuia za kimataifa zinaingilia kati.
Mkoa gani huo utaje mi nipo china Taipel
Huo mkoa unaitwa Xinjiang.
Wanapewa kibano kikali mno na serikali ya China.
Hata uzazi wanafungwa ili wasiendelee kuzaliana...
👇
The Chinese government has reportedly arbitrarily detained more than a million Muslims in reeducation camps.

Most of the people who have been detained are Uyghur Muslims, a predominantly Turkic-speaking ethnic group primarily in China’s northwestern region of Xinjiang.

Beyond the detentions, Uyghurs in the region have been subjected to intense surveillance, forced labor, and involuntary sterilizations, among other rights abuses.

The United States and several other foreign governments have described China’s actions in Xinjiang as genocide, while the UN human rights office said that the violations could constitute crimes against humanity...
 
Allah amesema kisasi ni haki, sasa Iran baada ya kupokea kichapo toka kwa marubani wakike wa ISRAEL, eti mpaka sasa ni zaidi ya mwezi wanaogopa kulipa kisasi.

Mwanzo walikuwa na mbwembwe sana, lakini sasa wamelowa chepechepe. Ayatollah sijui anahofia nini yani ukiangalia uso wake anaona mauzauza tu midomo yake inatetemeka.

Mimi nadhani wanamleti dauni Allah. Akiona walivyo nyong'onyea anajisikia vibaya sana, yani wamezidiwa ujasiri na nyuzi za Ritz
Sawa kijana kumbuka KUEPUKA UDINI HUMU AU SIO
 
kikanisa eti kina Mchungaji kinaombea Wanawake wazae kwa kuwanyoa chini kidogo mwengine Mchungaji anakula Denda et anafundisha kula Denda mchungaji mwengine yeye anafundisha namna Bint anaweza kukojoa kwa alaka kwa kumshika shika chini kwenye Uke wake. Aya yote Yanafanyika mbele za watu kibao na sifa zote kwa YESU na vigelegele kama vyote lkn cha kujiuliza wenye Akili kwann Uduma hii Wanapewa Wadada tu na sio Wanaume ndio mana Uwa Nasema Mwanamke na Wanawake awa Viumbe wanapitia mengi sana ni Wagumu sana kusema maumivu yao lkn wapo wabatembeya na sumu kali kwenye vifua vyao na ukiwaona ni kama Wamezaliwa Jana wanaficha mateso wanayopitia KAGAME yapo mazuli mengi kafanya likiwepo ili la kufungia Makanisa mengi sana 250 ukweli atua hii inaweza kuwalinda Mabint wengi kwenye mikono ya Wachungaji waovu Wazinifu wezi NK.
 
Ni kweli Rwanda walifunga ila siyo makanisa pekee, ni pamoja ni misikiti
Kweli ipo misikiti imefungwa tuwe wa wakweli tukitaka kusema ukweli na kuisaidia jamiii tuseme kweli Dini zisitufanye tuwe Waji nga.,
 
Huo mkoa unaitwa Xinjiang.
Wanapewa kibano kikali mno na serikali ya China.
Hata uzazi wanafungwa ili wasiendelee kuzaliana...
👇
The Chinese government has reportedly arbitrarily detained more than a million Muslims in reeducation camps.

Most of the people who have been detained are Uyghur Muslims, a predominantly Turkic-speaking ethnic group primarily in China’s northwestern region of Xinjiang.

Beyond the detentions, Uyghurs in the region have been subjected to intense surveillance, forced labor, and involuntary sterilizations, among other rights abuses.

The United States and several other foreign governments have described China’s actions in Xinjiang as genocide, while the UN human rights office said that the violations could constitute crimes against humanity...
Asante mkuu kwa ufafanuzi.
 
Back
Top Bottom