Iran: Watu 36 wajeruhiwa katika maandamano kupinga kifo cha mwanamke ambaye alishikiliwa na polisi kwa kutositiri kichwa

Hao walioandamana siwamepewa kichapo!Safi sana.Na wewe kama imekuuma nenda Iran ukaungane na maandamano upasuliwe kichwa.Iran ni nchi ya kiislamu na katiba yake imezingatia dini,ukienda kinyume utashughulikiwa tu.
Mbona huku kwetu wake zenu hua hawavai
 
Uislamu ndio dini pekee ambayo Mungu ametuchagulia na kutupa miongozo ya namna ya kuishi hapa ulimwenguni, na kila jambo lipo katika kitabu kitakatifu.,

Unapoona baadhi ya dini hazina fatwa juu ya namna mwanadamu anavyohitaji kuishi hapa ulimwenguni juwa kuna walakini kwenye hiyo dini., fuatilia hata picha zinazoshabihishwa na mama Maryam mama yake yesu utakuta amevaa hijab, kaa na jiulize japo kwa dakika moja ni kwanini alivaa hijabu?
 

uislamu ungekua pekee humu duniani tungekua tumechinjana na kumalizana maana mnaishi kizombi zombi kuuana na kulipuana mabomu, nashukuru sana mataifa kama China yamewapumulia na kuhakikisha hampeleki huo uzombi wenu huko.
Hata huyu Putin mnayemuabudu siku hizi, huwa amewapiga pini sana kwake huko Urusi, huwa namkubali sana sema kapoteza step kwenye uvamizi wake wa Ukraine.
 
Kuna shida mahali Acha tu nikae kimya.
Shida ni kurudi kwa muumba na kuitambua dini sahihi ni ipi na miongozo yake ni ipi, uislamu ni dini nyepesi sana., kuishi unavyotaka na kujiona uko salama kwa kila jambo lazima utakuwa na shida mahali, tafakari.! huu ulimwengu si wa kwetu tunakuja na kuondoka jiulize itakuwaje maisha baada ya hapa ulimwenguni yatakuwaje?
 
Mi hata ningezaliwa Islamic ningebadili dini tu huu ni ujinga wa kiwango cha lami ...mwache mtu akahukumiwe huko kulingana na sheria ya mungu mwenyewe
 
hilo halikuuhusu mpe mafundisho akikaidi mwache mambo ya kuuwana yanatoka wapiii sasa kuna mahali umeagizwa mtu akikosea umuuwe??
 
Leo napita tu..ila wa vaa kobazi mjitahtimini..hakuna mwenye haki duniani...ukute hao mapolisi walio muua niwatindua mitaro wakuu.

Hukumu ni juu ya Mungu pekee sio mwanadamu likija suala ka kiimani.

#MaendeleoHayanaChama
 
Uislamu ulitambulishwa rasmi miaka 600 baada ya Ukristo na huku Uislamu ukiwa 0% ya watu duniani dhidi ya Ukristo.Leo hii Uislamu umeukaribia kwa karibu sana Ukristo.
Kifupi kusema kwenu ndiyo kuutangaza zaidi Uislamu na kuufanya uzidi kukua zaidi.
Lakini mjue mnahangaika bure kwa ujinga wenu hakuna dini itakayomuingiza mtu mbinguni, hizi dini ni za hapa hapa duniani.

Sasa unasema leo waislamu ni wengi wakati unasahau kwamba ni dini ambayo eti ukishaingia hauruhusiwi kutoka na ukitaka kutoka unakabiliwa na kifo sasa hiyo ni dini gani, bure kabisa.
 
Sasa kama mnajua hivyo kwanini mnaua wengine. Naami sisi sote hua ni watenda dhambi kila siku hata wewe hapo ulipo ni mtenda dhambi kila siku. Na ndo maana una swali Sala 5 kwa siku. Iweje umhukumu mwingne ili hali na wewe mdhambi kila siku
 
Halafu utasikia kwa matamshi wanasema Dini ya Kh'aki inajali na kuheshimu haki za mwanamke!!! Ila kwa dunia ilikofikia hawawezi kuendelea na mfumo dume wa medieval period, dunia sasa hivi ni kijiji watatafuta haki zao kwa nguvu na kuwazuia ni sawa na kuzuia mafuriko kwa mikono. Dini ya KHA'KI dini ya AMAN
 
Sasa kama mnajua hivyo kwanini mnaua wengine. Naami sisi sote hua ni watenda dhambi kila siku hata wewe hapo ulipo ni mtenda dhambi kila siku. Na ndo maana una swali Sala 5 kwa siku. Iweje umhukumu mwingne ili hali na wewe mdhambi kila siku
Mkuu sharia za kiislamu hazikutungwa Beijing China wala kutoka Ulaya na Marekani ni hukumu zilizoletwa na mwenyewe Mungu kwenye kitabu chake kitakatifu Qur-an, kwaiyo zile nchi zilizokubali kusimamisha dola ya kiislamu hazina budi kutekeleza tu.,
 
Uislamu ulitambulishwa rasmi miaka 600 baada ya Ukristo na huku Uislamu ukiwa 0% ya watu duniani dhidi ya Ukristo.Leo hii Uislamu umeukaribia kwa karibu sana Ukristo.
Kifupi kusema kwenu ndiyo kuutangaza zaidi Uislamu na kuufanya uzidi kukua zaidi.
Wingi wa nyumbu kwenye hifadhi hakuwafanyi kuwa wafalme wa mwitu.
 
Huko roma papa amebariki ushoga nenda kaolewe!
 
Uislamu ulitambulishwa rasmi miaka 600 baada ya Ukristo na huku Uislamu ukiwa 0% ya watu duniani dhidi ya Ukristo
Weka wazi uislamu ulitambulishwa rasmi lini? kuna waislamu wanasema ulitambulishwa toka Adamu kuumbwa na kuna vitabu vya kiislamu kabla ya Muhammad vilikuwepo na vilikuwa vinatumiwa na waislamu , Kuna kitabu cha Muislamu Musa, Isa, Daudi n.k (ila hakuna ata verse moja ya ivyo vitabu imebaki)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…