Iran yadai Israel inapenda kuchochea migogoro na vita nchi nyingine lakini yenyewe Haina Uwezo Wala Nguvu za kuanzisha Vita dhidi yake!

Iran yadai Israel inapenda kuchochea migogoro na vita nchi nyingine lakini yenyewe Haina Uwezo Wala Nguvu za kuanzisha Vita dhidi yake!

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Iran yadai Israel inapenda kuchochea migogoro na vita nchi nyingine lakini yenyewe Haina Uwezo Wala Nguvu za kuanzisha Vita dhidi ya Iran!

Wadau hamjamboni nyote?

Siyo maneno yangu hayo ni mapya kutoka Tehran Kwa naibu waziri mambo ya nje Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ALI BAGHER.

Naibu waziri huyo ameituhumu Israel kupenda sana kuchochea vita na migogoro kwenye nchi mbalimbali.

Pia soma: Iran yaweza kuishambulia Israel ndani ya saa 48

Hata hivyo Waziri huyo amedai kuwa taifa hilo la Kizayuni halina Uwezo kabisa Wala Nguvu za kuanzisha vita dhidi ya nchi yake!

Ameendelea kusema kuwa Mazayuni watalipa gharama kubwa Kwa kosa la kuhusika na mauaji ya haniyeh

=====

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

Tehran says Israel lacks the ‘capacity and the strength’ to start a war with Iran.

“The act that the Zionists carried out in Tehran was a strategic mistake because it will cost them gravely,” Ali Bagheri says one day after attending an extraordinary session of the Organization of Islamic Cooperation (OIC) in the Saudi coastal city of Jeddah.

Bagheri accuses Israel of wanting “to expand tension, war and conflict to other countries,” while asserting it was not in a position to fight Iran.

“The Zionists are in no position to start a war against the Islamic Republic of Iran,” he says.

“They neither have the capacity nor the strength.”

The meeting on Wednesday of foreign ministers from the 57-member OIC produced a declaration holding Israel “fully responsible” for the “heinous” killing of Haniyeh, the leader of the Hamas terror group, who lived in Qatar and was a major player in talks to release the Israeli hostages held by Hamas and halt the war in the Gaza Strip.

Times of Israel staff contributed.Iran yaweza kuishambulia Israel ndani ya saa 48
 
Taarabu kibao
images (15).jpeg
 
Mpaka Sasa tunasubiri majibu ya Tehran baada ya mauaji ya mgeni wake Ismael Haniyel. Masaa 72 Bado tu wakuu. Hapa Afrika mashariki tupo mbele ya muda maana Hawa wenzetu walisema ndani ya masaa 72 watalipa kisasi lakini mpaka leo Bado tantarira tu.


Death to America
 
Breaking News Iran yadai Israel inapenda kuchochea migogoro na vita nchi nyingine lakini yenyewe Haina Uwezo Wala Nguvu za kuanzisha Vita dhidi ya Iran!

Wadau hamjamboni nyote?

Siyo maneno yangu hayo ni mapya kutoka Tehran Kwa naibu waziri mambo ya nje Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ALI BAGHER

Naibu waziri huyo ameituhumu Israel kupenda sana kuchochea vita na migogoro kwenye nchi mbalimbali.

Hata hivyo Waziri huyo amedai kuwa taifa hilo la Kizayuni halina Uwezo kabisa Wala Nguvu za kuanzisha vita dhidi ya nchi yake!

Ameendelea kusema kuwa Mazayuni watalipa gharama kubwa Kwa kosa la kuhusika na mauaji ya haniyeh

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

#Tehran says Israel lacks the ‘capacity and the strength’ to start a war with Iran


“The act that the Zionists carried out in Tehran was a strategic mistake because it will cost them gravely,” Ali Bagheri says one day after attending an extraordinary session of the Organization of Islamic Cooperation (OIC) in the Saudi coastal city of Jeddah.


Bagheri accuses Israel of wanting “to expand tension, war and conflict to other countries,” while asserting it was not in a position to fight Iran.

“The Zionists are in no position to start a war against the Islamic Republic of Iran,” he says.

“They neither have the capacity nor the strength.”

The meeting on Wednesday of foreign ministers from the 57-member OIC produced a declaration holding Israel “fully responsible” for the “heinous” killing of Haniyeh, the leader of the Hamas terror group, who lived in Qatar and was a major player in talks to release the Israeli hostages held by Hamas and halt the war in the Gaza Strip.

Times of Israel staff contributed.
Iran ndio mwazilishi wa migogoro kwa kusaidia makundi ya kigaidi ka hezbollah, hamas, houth dhidi ya israel
 
Breaking News Iran yadai Israel inapenda kuchochea migogoro na vita nchi nyingine lakini yenyewe Haina Uwezo Wala Nguvu za kuanzisha Vita dhidi ya Iran!

Wadau hamjamboni nyote?

Siyo maneno yangu hayo ni mapya kutoka Tehran Kwa naibu waziri mambo ya nje Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ALI BAGHER

Naibu waziri huyo ameituhumu Israel kupenda sana kuchochea vita na migogoro kwenye nchi mbalimbali.

Hata hivyo Waziri huyo amedai kuwa taifa hilo la Kizayuni halina Uwezo kabisa Wala Nguvu za kuanzisha vita dhidi ya nchi yake!

Ameendelea kusema kuwa Mazayuni watalipa gharama kubwa Kwa kosa la kuhusika na mauaji ya haniyeh

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

#Tehran says Israel lacks the ‘capacity and the strength’ to start a war with Iran


“The act that the Zionists carried out in Tehran was a strategic mistake because it will cost them gravely,” Ali Bagheri says one day after attending an extraordinary session of the Organization of Islamic Cooperation (OIC) in the Saudi coastal city of Jeddah.


Bagheri accuses Israel of wanting “to expand tension, war and conflict to other countries,” while asserting it was not in a position to fight Iran.

“The Zionists are in no position to start a war against the Islamic Republic of Iran,” he says.

“They neither have the capacity nor the strength.”

The meeting on Wednesday of foreign ministers from the 57-member OIC produced a declaration holding Israel “fully responsible” for the “heinous” killing of Haniyeh, the leader of the Hamas terror group, who lived in Qatar and was a major player in talks to release the Israeli hostages held by Hamas and halt the war in the Gaza Strip.

Times of Israel staff contributed.
Iran iaache matisho na taarabu nyingi ijibu mapigo tuone nguvu zake sio uswahili
 
Breaking News Iran yadai Israel inapenda kuchochea migogoro na vita nchi nyingine lakini yenyewe Haina Uwezo Wala Nguvu za kuanzisha Vita dhidi ya Iran!

Wadau hamjamboni nyote?

Siyo maneno yangu hayo ni mapya kutoka Tehran Kwa naibu waziri mambo ya nje Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ALI BAGHER

Naibu waziri huyo ameituhumu Israel kupenda sana kuchochea vita na migogoro kwenye nchi mbalimbali.

Hata hivyo Waziri huyo amedai kuwa taifa hilo la Kizayuni halina Uwezo kabisa Wala Nguvu za kuanzisha vita dhidi ya nchi yake!

Ameendelea kusema kuwa Mazayuni watalipa gharama kubwa Kwa kosa la kuhusika na mauaji ya haniyeh

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

#Tehran says Israel lacks the ‘capacity and the strength’ to start a war with Iran


“The act that the Zionists carried out in Tehran was a strategic mistake because it will cost them gravely,” Ali Bagheri says one day after attending an extraordinary session of the Organization of Islamic Cooperation (OIC) in the Saudi coastal city of Jeddah.


Bagheri accuses Israel of wanting “to expand tension, war and conflict to other countries,” while asserting it was not in a position to fight Iran.

“The Zionists are in no position to start a war against the Islamic Republic of Iran,” he says.

“They neither have the capacity nor the strength.”

The meeting on Wednesday of foreign ministers from the 57-member OIC produced a declaration holding Israel “fully responsible” for the “heinous” killing of Haniyeh, the leader of the Hamas terror group, who lived in Qatar and was a major player in talks to release the Israeli hostages held by Hamas and halt the war in the Gaza Strip.

Times of Israel staff contributed.
Muangalie pia nguvu za israel upande wa pili kumbuka Israel atajibu mapigo maana kasema amejizuia sana dhidi ya iran na hezbollah hajatumia nguvu zake zote kumbuka Iran na hezbollah hawana mifumo yeyote ya kujikinga zaidi ya makombora tu na hawana washirika wa uhakika halafu israel ina ndege bora za kisasa kama f 35 f 16 na marekani kashasogeza f 22 msije mkaleta madhara makubwa kwa mataifa yenu kama iran na lebanon
 
Breaking News Iran yadai Israel inapenda kuchochea migogoro na vita nchi nyingine lakini yenyewe Haina Uwezo Wala Nguvu za kuanzisha Vita dhidi ya Iran!

Wadau hamjamboni nyote?

Siyo maneno yangu hayo ni mapya kutoka Tehran Kwa naibu waziri mambo ya nje Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ALI BAGHER

Naibu waziri huyo ameituhumu Israel kupenda sana kuchochea vita na migogoro kwenye nchi mbalimbali.

Hata hivyo Waziri huyo amedai kuwa taifa hilo la Kizayuni halina Uwezo kabisa Wala Nguvu za kuanzisha vita dhidi ya nchi yake!

Ameendelea kusema kuwa Mazayuni watalipa gharama kubwa Kwa kosa la kuhusika na mauaji ya haniyeh

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

#Tehran says Israel lacks the ‘capacity and the strength’ to start a war with Iran


“The act that the Zionists carried out in Tehran was a strategic mistake because it will cost them gravely,” Ali Bagheri says one day after attending an extraordinary session of the Organization of Islamic Cooperation (OIC) in the Saudi coastal city of Jeddah.


Bagheri accuses Israel of wanting “to expand tension, war and conflict to other countries,” while asserting it was not in a position to fight Iran.

“The Zionists are in no position to start a war against the Islamic Republic of Iran,” he says.

“They neither have the capacity nor the strength.”

The meeting on Wednesday of foreign ministers from the 57-member OIC produced a declaration holding Israel “fully responsible” for the “heinous” killing of Haniyeh, the leader of the Hamas terror group, who lived in Qatar and was a major player in talks to release the Israeli hostages held by Hamas and halt the war in the Gaza Strip.

Times of Israel staff contributed.
Iran anauwezo gani zaidi ya makombora mengi na madrone hata rais wao aliporomoka na helkopta ya kizamani
 
Breaking News Iran yadai Israel inapenda kuchochea migogoro na vita nchi nyingine lakini yenyewe Haina Uwezo Wala Nguvu za kuanzisha Vita dhidi ya Iran!

Wadau hamjamboni nyote?

Siyo maneno yangu hayo ni mapya kutoka Tehran Kwa naibu waziri mambo ya nje Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ALI BAGHER

Naibu waziri huyo ameituhumu Israel kupenda sana kuchochea vita na migogoro kwenye nchi mbalimbali.

Hata hivyo Waziri huyo amedai kuwa taifa hilo la Kizayuni halina Uwezo kabisa Wala Nguvu za kuanzisha vita dhidi ya nchi yake!

Ameendelea kusema kuwa Mazayuni watalipa gharama kubwa Kwa kosa la kuhusika na mauaji ya haniyeh

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

#Tehran says Israel lacks the ‘capacity and the strength’ to start a war with Iran


“The act that the Zionists carried out in Tehran was a strategic mistake because it will cost them gravely,” Ali Bagheri says one day after attending an extraordinary session of the Organization of Islamic Cooperation (OIC) in the Saudi coastal city of Jeddah.


Bagheri accuses Israel of wanting “to expand tension, war and conflict to other countries,” while asserting it was not in a position to fight Iran.

“The Zionists are in no position to start a war against the Islamic Republic of Iran,” he says.

“They neither have the capacity nor the strength.”

The meeting on Wednesday of foreign ministers from the 57-member OIC produced a declaration holding Israel “fully responsible” for the “heinous” killing of Haniyeh, the leader of the Hamas terror group, who lived in Qatar and was a major player in talks to release the Israeli hostages held by Hamas and halt the war in the Gaza Strip.

Times of Israel staff contributed.
Maneno ya Iran ni kweli Israel ĥana uwezo wa kupigana na Iran, we huoni nchi za Europe pamoja na America na badhi ya nchi za kiarabu wamepanic wanataka kumprotect Israel. Kipigo cha mbwa koko ni tarehe 14/8 na ha Israel wanajua hilo sababu ni siku yahuzuni kwa Israel ili waendelee kuhuzunika zaidi.
 
Apimwe akili huyo waziri, anataka uchokozi upi wakati kuna vipngozi wake hapo wameuliwa na mazayuni

wanajeshi wangapi wa Iran wameuliwa na majeshi ogopeshi ya Israel? Halafu anasema hajachokozwa?
 
Mpaka Sasa tunasubiri majibu ya Tehran baada ya mauaji ya mgeni wake Ismael Haniyel. Masaa 72 Bado tu wakuu. Hapa Afrika mashariki tupo mbele ya muda maana Hawa wenzetu walisema ndani ya masaa 72 watalipa kisasi lakini mpaka leo Bado tantarira tu.


Death to America
Kuna taarifa za uhakika Muddy kaishiwa akiba ya wale viumbe 72 kwa hiyo Iran wamekuwa discouraged
 
Maneno ya Iran ni kweli Israel ĥana uwezo wa kupigana na Iran, we huoni nchi za Europe pamoja na America na badhi ya nchi za kiarabu wamepanic wanataka kumprotect Israel. Kipigo cha mbwa koko ni tarehe 14/8 na ha Israel wanajua hilo sababu ni siku yahuzuni kwa Israel ili waendelee kuhuzunika zaidi.
Jiulize kwanini US ana side na Israel na kwa ajili ya Israel yupo tayari kutofautiana na dunia
 
Jiulize kwanini US ana side na Israel na kwa ajili ya Israel yupo tayari kutofautiana na dunia
Hilo swali hata mtoto wa vidudu anaweza lijibu hilo taifa si wao ndio wamelitengeneza sa UK na US si ndio hao hao. Watawacha kulitetea hilo taifa walilo liunda 😄
 
Back
Top Bottom