Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Iran yadai Israel inapenda kuchochea migogoro na vita nchi nyingine lakini yenyewe Haina Uwezo Wala Nguvu za kuanzisha Vita dhidi ya Iran!
Wadau hamjamboni nyote?
Siyo maneno yangu hayo ni mapya kutoka Tehran Kwa naibu waziri mambo ya nje Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ALI BAGHER.
Naibu waziri huyo ameituhumu Israel kupenda sana kuchochea vita na migogoro kwenye nchi mbalimbali.
Pia soma: Iran yaweza kuishambulia Israel ndani ya saa 48
Hata hivyo Waziri huyo amedai kuwa taifa hilo la Kizayuni halina Uwezo kabisa Wala Nguvu za kuanzisha vita dhidi ya nchi yake!
Ameendelea kusema kuwa Mazayuni watalipa gharama kubwa Kwa kosa la kuhusika na mauaji ya haniyeh
=====
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
Tehran says Israel lacks the ‘capacity and the strength’ to start a war with Iran.
“The act that the Zionists carried out in Tehran was a strategic mistake because it will cost them gravely,” Ali Bagheri says one day after attending an extraordinary session of the Organization of Islamic Cooperation (OIC) in the Saudi coastal city of Jeddah.
Bagheri accuses Israel of wanting “to expand tension, war and conflict to other countries,” while asserting it was not in a position to fight Iran.
“The Zionists are in no position to start a war against the Islamic Republic of Iran,” he says.
“They neither have the capacity nor the strength.”
The meeting on Wednesday of foreign ministers from the 57-member OIC produced a declaration holding Israel “fully responsible” for the “heinous” killing of Haniyeh, the leader of the Hamas terror group, who lived in Qatar and was a major player in talks to release the Israeli hostages held by Hamas and halt the war in the Gaza Strip.
Times of Israel staff contributed.Iran yaweza kuishambulia Israel ndani ya saa 48
Wadau hamjamboni nyote?
Siyo maneno yangu hayo ni mapya kutoka Tehran Kwa naibu waziri mambo ya nje Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ALI BAGHER.
Naibu waziri huyo ameituhumu Israel kupenda sana kuchochea vita na migogoro kwenye nchi mbalimbali.
Pia soma: Iran yaweza kuishambulia Israel ndani ya saa 48
Hata hivyo Waziri huyo amedai kuwa taifa hilo la Kizayuni halina Uwezo kabisa Wala Nguvu za kuanzisha vita dhidi ya nchi yake!
Ameendelea kusema kuwa Mazayuni watalipa gharama kubwa Kwa kosa la kuhusika na mauaji ya haniyeh
=====
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
Tehran says Israel lacks the ‘capacity and the strength’ to start a war with Iran.
“The act that the Zionists carried out in Tehran was a strategic mistake because it will cost them gravely,” Ali Bagheri says one day after attending an extraordinary session of the Organization of Islamic Cooperation (OIC) in the Saudi coastal city of Jeddah.
Bagheri accuses Israel of wanting “to expand tension, war and conflict to other countries,” while asserting it was not in a position to fight Iran.
“The Zionists are in no position to start a war against the Islamic Republic of Iran,” he says.
“They neither have the capacity nor the strength.”
The meeting on Wednesday of foreign ministers from the 57-member OIC produced a declaration holding Israel “fully responsible” for the “heinous” killing of Haniyeh, the leader of the Hamas terror group, who lived in Qatar and was a major player in talks to release the Israeli hostages held by Hamas and halt the war in the Gaza Strip.
Times of Israel staff contributed.Iran yaweza kuishambulia Israel ndani ya saa 48