Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Aliye wambia masaa 72 Iran au ni US, aisay mpaa kina Trump wakawa wao ndio ma commander wa Iran, wanamuambia Israel leo usiku Iran anapiga😄Siyo masaa 72 tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliye wambia masaa 72 Iran au ni US, aisay mpaa kina Trump wakawa wao ndio ma commander wa Iran, wanamuambia Israel leo usiku Iran anapiga😄Siyo masaa 72 tena?
Duh sasa mkuu Biden miaka ya 50s mbona alikuwa aged kati ya 7-16 yrs (1950-1959), au aliingia bungeni akiwa underage?Sio ka side israel ni kama project yake na hufuatilii historia marekani hiyo plan ya kuanzisha tawi lake ni ya muda mrefu ,biden miaka ya 50 wakati yupo bungeni alisema lazima kuwe na israel middle east for the interest of america , america ndio ameianzisha anaigharamia na ataailinda kwa sababu zake za kiuchumi kama wanavyoilindana marekani na uingereza its for economic reason nothing personal
Apige Iran mara ngapi??Wapi Iran kasema atapiga lini, kasema kipigo cha mbwa koko kiko palepale. Hata Israel si alisema ataenda piga Iran, vipi hapo mbona kwingine hasiti kupiga 😄
Mzayuni hanaga maneno mengi.mazayuni kipindi kama hiki yanakaaga kimya utadhani ni ma loser kumbe hayalali yanakesha yakikupanga uovu mkubwa dhidi yako , unapewa nafas tu kubwabwaja ili ukipigwa ionekane ulikua unachonga sana ukastahili kipindo
America, UK, France karibu dunia nzima inambembeleza Iran asimpige Israel. Wako wana mwambia basi piga kidogo. Wako wanao mtisha Iran kwa kumpiga vita na kumfanyia sunction, afu bado mnamuona Israel Super power wa mchongo labda 😄Apige Iran mara ngapi??
I wonderSiyo masaa 72 tena?