Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao watakuwa ni watoto wa MadrasaHilo swali hata mtoto wa vidudu anaweza lijibu hilo taifa si wao ndio wamelitengeneza sa UK na US si ndio hao hao. Watawacha kulitetea hilo taifa walilo liunda 😄
Anayepiga huwa haongei ......ni kama mwanamke ukimmuudhi anapiga kelele mchana kutwa ,...usiku unamuweka halafu asubuhi anakupigia pasi anaandaa breakfast anakuwish ka,I njemaManeno ya Iran ni kweli Israel ĥana uwezo wa kupigana na Iran, we huoni nchi za Europe pamoja na America na badhi ya nchi za kiarabu wamepanic wanataka kumprotect Israel. Kipigo cha mbwa koko ni tarehe 14/8 na ha Israel wanajua hilo sababu ni siku yahuzuni kwa Israel ili waendelee kuhuzunika zaidi.
Si bora hao wa madrasa kuliko hao wa kanisani ni sifuri kabisa, ndio mana wanapigiwa kengele kama ngo'mbeHao watakuwa ni watoto wa Madrasa
Iran kama demu wa kizaramoIran yadai Israel inapenda kuchochea migogoro na vita nchi nyingine lakini yenyewe Haina Uwezo Wala Nguvu za kuanzisha Vita dhidi ya Iran!
Wadau hamjamboni nyote?
Siyo maneno yangu hayo ni mapya kutoka Tehran Kwa naibu waziri mambo ya nje Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ALI BAGHER.
Naibu waziri huyo ameituhumu Israel kupenda sana kuchochea vita na migogoro kwenye nchi mbalimbali.
Pia soma: Iran yaweza kuishambulia Israel ndani ya saa 48
Hata hivyo Waziri huyo amedai kuwa taifa hilo la Kizayuni halina Uwezo kabisa Wala Nguvu za kuanzisha vita dhidi ya nchi yake!
Ameendelea kusema kuwa Mazayuni watalipa gharama kubwa Kwa kosa la kuhusika na mauaji ya haniyeh
=====
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
Tehran says Israel lacks the ‘capacity and the strength’ to start a war with Iran.
“The act that the Zionists carried out in Tehran was a strategic mistake because it will cost them gravely,” Ali Bagheri says one day after attending an extraordinary session of the Organization of Islamic Cooperation (OIC) in the Saudi coastal city of Jeddah.
Bagheri accuses Israel of wanting “to expand tension, war and conflict to other countries,” while asserting it was not in a position to fight Iran.
“The Zionists are in no position to start a war against the Islamic Republic of Iran,” he says.
“They neither have the capacity nor the strength.”
The meeting on Wednesday of foreign ministers from the 57-member OIC produced a declaration holding Israel “fully responsible” for the “heinous” killing of Haniyeh, the leader of the Hamas terror group, who lived in Qatar and was a major player in talks to release the Israeli hostages held by Hamas and halt the war in the Gaza Strip.
Times of Israel staff contributed.Iran yaweza kuishambulia Israel ndani ya saa 48
Wapi Iran kasema atapiga lini, kasema kipigo cha mbwa koko kiko palepale. Hata Israel si alisema ataenda piga Iran, vipi hapo mbona kwingine hasiti kupiga 😄Anayepiga huwa haongei ......ni kama mwanamke ukimmuudhi anapiga kelele mchana kutwa ,...usiku unamuweka halafu asubuhi anakupigia pasi anaandaa breakfast anakuwish ka,I njema
Kitendo cha kuongea atapiga hata kama ni mwakani tayari ashakuwa demWapi Iran kasema atapiga lini, kasema kipigo cha mbwa koko kiko palepale. Hata Israel si alisema ataenda piga Iran, vipi hapo mbona kwingine hasiti kupiga 😄
Makobazi club wanabwabwaja tu. Wenzao wanafanya uvuvi wa kimya kimya wakishavua tunaona MatokeoIran yadai Israel inapenda kuchochea migogoro na vita nchi nyingine lakini yenyewe Haina Uwezo Wala Nguvu za kuanzisha Vita dhidi ya Iran!
Wadau hamjamboni nyote?
Siyo maneno yangu hayo ni mapya kutoka Tehran Kwa naibu waziri mambo ya nje Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ALI BAGHER.
Naibu waziri huyo ameituhumu Israel kupenda sana kuchochea vita na migogoro kwenye nchi mbalimbali.
Pia soma: Iran yaweza kuishambulia Israel ndani ya saa 48
Hata hivyo Waziri huyo amedai kuwa taifa hilo la Kizayuni halina Uwezo kabisa Wala Nguvu za kuanzisha vita dhidi ya nchi yake!
Ameendelea kusema kuwa Mazayuni watalipa gharama kubwa Kwa kosa la kuhusika na mauaji ya haniyeh
=====
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
Tehran says Israel lacks the ‘capacity and the strength’ to start a war with Iran.
“The act that the Zionists carried out in Tehran was a strategic mistake because it will cost them gravely,” Ali Bagheri says one day after attending an extraordinary session of the Organization of Islamic Cooperation (OIC) in the Saudi coastal city of Jeddah.
Bagheri accuses Israel of wanting “to expand tension, war and conflict to other countries,” while asserting it was not in a position to fight Iran.
“The Zionists are in no position to start a war against the Islamic Republic of Iran,” he says.
“They neither have the capacity nor the strength.”
The meeting on Wednesday of foreign ministers from the 57-member OIC produced a declaration holding Israel “fully responsible” for the “heinous” killing of Haniyeh, the leader of the Hamas terror group, who lived in Qatar and was a major player in talks to release the Israeli hostages held by Hamas and halt the war in the Gaza Strip.
Times of Israel staff contributed.Iran yaweza kuishambulia Israel ndani ya saa 48
Ila hauwezi ukawadanganya kama unavyodanganywa weweSi bora hao wa madrasa kuliko hao wa kanisani ni sifuri kabisa, ndio mana wanapigiwa kengele kama ngo'mbe
Choma bendera kupunguza hasira.Mpaka Sasa tunasubiri majibu ya Tehran baada ya mauaji ya mgeni wake Ismael Haniyel. Masaa 72 Bado tu wakuu. Hapa Afrika mashariki tupo mbele ya muda maana Hawa wenzetu walisema ndani ya masaa 72 watalipa kisasi lakini mpaka leo Bado tantarira tu.
Death to America
Yamevaa sketi nyepesi inaitwa gagulo.Haya maneno ni ya kike sana
Sio ka side israel ni kama project yake na hufuatilii historia marekani hiyo plan ya kuanzisha tawi lake ni ya muda mrefu ,biden miaka ya 50 wakati yupo bungeni alisema lazima kuwe na israel middle east for the interest of america , america ndio ameianzisha anaigharamia na ataailinda kwa sababu zake za kiuchumi kama wanavyoilindana marekani na uingereza its for economic reason nothing personalJiulize kwanini US ana side na Israel na kwa ajili ya Israel yupo tayari kutofautiana na dunia
Aisay hata funza hawezi danganywa Yesu ni MunguIla hauwezi ukawadanganya kama unavyodanganywa wewe
Anaua kiongozi wa nchi nyingine ndani ya nchi yako hiyo mbona ni kuanzisha vita? Israel imeshaanzisha vita ila Iran ameshindwa kujibu mapigo hayo.
Kuna taarifa za uhakika Muddy kaishiwa akiba ya wale viumbe 72 kwa hiyo Iran wamekuwa discouraged
Ni kweli mkuu, lazima niitie kiberiti bendera ya AmericaChoma bendera kupunguza hasira.
Khee! Saa hizi ungekuta hata lile hema la "Msibaaa" limesha anuliwa kitambo.Blabla, blabla,blabla, wanatafuta njia yakutokea waoga sana hawa jamaa imagine wao ndio wange fanya kitendo kama hicho kwa waisrael.