Sio ka side israel ni kama project yake na hufuatilii historia marekani hiyo plan ya kuanzisha tawi lake ni ya muda mrefu ,biden miaka ya 50 wakati yupo bungeni alisema lazima kuwe na israel middle east for the interest of america , america ndio ameianzisha anaigharamia na ataailinda kwa sababu zake za kiuchumi kama wanavyoilindana marekani na uingereza its for economic reason nothing personal